mtzmweusi
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 8,593
- 8,876
Wakuu jana Messi kaendelea kuonyesha kuwa bila Barcelona hawezi kushine baada ya timu yake ya Argentina kulambwa 3 kwa moja toka kwa wahuni wa Venezuela hii inaashiria kuwa messi ni kama wifi disvonnect him from barca hamna network hahahaj
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app