mkuu SEMBO umeona hapo kwa season ni ronaldo ndiye top score . na nafikiri umeona hapo record aliyoeweka messi top score kwa season 4 mfululizo top score from 2008-2012 hakuna mpaka sasa aliekua kwa mara nne zilizofatana c.ronaldo ni x2 tu sijui mwaka huu umenielewa?
Messi alichezea Barcelona kipindi chote..na timu imekuwa juu muda wote! Imagine na CR angekuwa Real Madrid muda wote!
We jamaa vipi? Mi nazungumzia magoli aliyofunga CR7 tangu aanze kucheza mpira, na magoli aliyofunga Messi tangu aanze kucheza mpira. Hujaelewa kipi sasa? Au ndo umeamua kubisha tu? Alafu kwani CR7 ameanza kucheza la liga lini? Na Mesi kaanza lini?
Ronaldo amefunga hayo magoli kwa miaka 12, sio 10 kama ulivyosema. Kama Messi hatopata majeruhi ya muda mrefu atakuwa na magoli zaidi ya 300 ya ligi kwani kwake kufunga goli 25 za ligi kwa msimu 1 sio issue. Pia wakati Gaucho na Deco waking'aa Barca, Messi bado hakuwa na play time ya kutosha pale.
Kwa miaka 5 aliyoichezea la liga Ronaldo amefunga magoli zaidi ya nusu ya yale ya Messi ambayo ametumia 10 years
Kwa miaka 5 aliyoichezea la liga Ronaldo amefunga magoli zaidi ya nusu ya yale ya Messi ambayo ametumia 10 years
Vyovyote iwavyo messi amechuja with just 27. Nawahakikishia CL will be crowned king in January 2015
Vyovyote iwavyo messi amechuja with just 27. Nawahakikishia CL will be crowned king in January 2015
aje england tuone hayo magoli