Messi moto; Aweka rekodi mpya UCL

Messi moto; Aweka rekodi mpya UCL

Messi alichezea Barcelona kipindi chote..na timu imekuwa juu muda wote! Imagine na CR angekuwa Real Madrid muda wote!

kabla sijakujibu labda tafuta tu CR kacheza final ngapi akiwa Man U na kacheza Semi Final ngapi akiwa Man U?? Performance ya Man U kwenye CL kuanzia CR ameanza kucheza mpaka anaondoka na ya Madrid, Man U ilikua juu. Ronaldo magoli mengi ya CL kayafungia Man U sio Madrid
 
kabla sijakujibu labda tafuta tu CR kacheza final ngapi akiwa Man U na kacheza Semi Final ngapi akiwa Man U?? Performance ya Man U kwenye CL kuanzia CR ameanza kucheza mpaka anaondoka na ya Madrid, Man U ilikua juu. Ronaldo magoli mengi ya CL kayafungia Man U sio Madrid

Sasa Man U utaifananisha na Barcelona?
 
CR7 kazaliwa 1985 na Messi kazaliwa 1987.

CR7 alianza kucheza 1st team msimu wa 2002/03 Sporting Cp ya ureno akiwa na miaka 17 na Mesi alianza msimu wa 2004/5 pale Barcelona akiwa na miaka 17.

Katika club zote alizopitia CR7 yani Sporting Cp, Man United na Madrid, ametupia jumla ya goli 294 katka miaka 10 ya kucheza soka na Messi katupia goli 253 pale Barcelona katika miaka yake 10 ya kucheza soka.

Hayo magoli waliyofunga ni katka mechi za ligi tu.

Hivyo ukiamua nani mkali kwa kuangalia mwenye goli nyingi CR7 ni superior kwa Messi. Maana ametupia goli za kutosha, alafu alipoteza msimu wa kwanza kwenye timu isiyo na mbele wala nyuma Sporting CP tofauti na Messi aliyekua kazungukwa na Mafundi kama Gaucho na Deco.

NB: Asante Google kwa hizo data.

Ronaldo amefunga hayo magoli kwa miaka 12, sio 10 kama ulivyosema. Kama Messi hatopata majeruhi ya muda mrefu atakuwa na magoli zaidi ya 300 ya ligi kwani kwake kufunga goli 25 za ligi kwa msimu 1 sio issue. Pia wakati Gaucho na Deco waking'aa Barca, Messi bado hakuwa na play time ya kutosha pale.
 
Ngoja niwasiliane na Mr. Google, then i will be back.

NB: Statistics Never Lie.

Hilo ndio kosa unalofanya kutegemea google kufanya maamuzi badala ya kutegemea misingi ya vitu vinavyotazamwa kupima uchezaji bora...

Kuna wachezaji walikuwa ni mafundi wa kufunga magoli lakini hawakuwahi kuitwa wachezaji bora katika enzi zao mathalani Mario Jadel n.k
 
Sasa Man U utaifananisha na Barcelona?

Mkuu Man U ya 2004 mpaka 2010 ilikua ina tofauti gani na Barca?? Hiyo Man U unayoisema hapa ilicheza Final 3 za CL kati ya miaka mitano then unaibeza?? Au umeanza kuangalia mpira juzi asee?? Man U unayoibeza ilicheza 2 consecutive Finals in a raw moja akashinda dhidi ya Chelsea nyingine akapoteza dhidi ya Barca. Vipi bado unaibeza ile timu??
 
Mwenye rekodi hiyo alihangaika kuiweka kwa miaka 17 na mess ameweka rekodi wakati hata hiyo miaka haijatimia ndo ujue messi is a super killing machine.
 
Messi hamuhitaji ronaldo kuthibitisha ubora wake ila ni kinyume cha ronaldo anamuhitaji Messi kuthibitisha ubora wake
 
Hilo ndio kosa unalofanya kutegemea google kufanya maamuzi badala ya kutegemea misingi ya vitu vinavyotazamwa kupima uchezaji bora...

Kuna wachezaji walikuwa ni mafundi wa kufunga magoli lakini hawakuwahi kuitwa wachezaji bora katika enzi zao mathalani Mario Jadel n.k
watu8 uko sahihi kabisa kuwa bora ni zaidi ya magoli, ila zinasaidia, mf. pele tunaamishwa ni "best ever" kisa alifunga goli zaidi ya buku, pia alifunga goli zilizoiwezesha Brazil kuchukua WC mara 3.

Hizo data nimeweka kuonesha kuwa CR7 si wa kumpuuza hata kidogo. Messi kuvunja rekodi 2 wiki hii si kwamba ndo amekua the "best ever". Kulikua na mafundi kama puskas na di stefano ambao mpaka tuzo za kupachika magoli zinaitwa majina yao.

Messi asishangilie sana kutangulia. Anatakiwa awe makini maana UEFA ya msimu huu inaweza isha CR7 yupo juu yake.
 
Last edited by a moderator:
Hii inaonesha Messi ni bora kuliko CR7 ........

Mkuu hii ligi lakini bado haijaisha.
Kuhusu nani ni bora kwa sasa, nadhani ni CR7. Kwasababu ni;
1. current ballon d or holder
2. current UEFA CL holder
3. current la liga top goal scorer akiwa katulia na goli zake 22 juu, huku akiwachungulia kina messi.
4. mchezaji bora wa ulaya kwa sasa [UEFA footballer of the year]
5. mfungaji bora wa ulaya kwa sasa [current pichichi holder] akiwa kafungana na luis suarez wakitulia kileleni na goli zao 31
6. mfungaji bora wa mda wote wa michuano ya Euro [mechi za michuano na zile za kufuzu]
7. kaiwezesha timu yake [real madrid] kuongoza la liga na kundi lao uefa kwa kutupia hat trick zaidi ya 4.
 
Mkuu Man U ya 2004 mpaka 2010 ilikua ina tofauti gani na Barca?? Hiyo Man U unayoisema hapa ilicheza Final 3 za CL kati ya miaka mitano then unaibeza?? Au umeanza kuangalia mpira juzi asee?? Man U unayoibeza ilicheza 2 consecutive Finals in a raw moja akashinda dhidi ya Chelsea nyingine akapoteza dhidi ya Barca. Vipi bado unaibeza ile timu??

Ngoja nikupe Statistics za mechi za Champion League kati ya Man U na Barca (head to head) kwa kipindi ulichosema; ndipo utakapojua kuwa Barca ilikuwa ni zaidi ya Man U

2007/8 - Semi Final ManU 0 - Barca 0
2007/8 - Semi Final Man U 1 - Barca 0
2008/9 - Final Man U 0 - Barca 2
2010/11 - Final Man U 1 - Barca 3

CL aliondoka Man U msimu wa 2009.
Kwahizi data; Man U ilikuwa ni timu dhaifu kwa Barca; pili CL akiwa na timu hii dhaifu hakuweza kuonyesha uwezo wake sana.

Pia ukumbuke kuwa CL na Messi sio Diego Maradona ambaye aliichukua Napoli, timu ya vijijini toka daraja la pili hadi kuwa machampion wa Italy.
Hawa watu (CL na Messi) wanategemea sana teamwork; ndio maana CL hakung'ara sana na Man U kwa kuwa timu work kwenye Champions League ilikuwa haifanani na ya Barca. Sijui kama unanielewa lakini?
 
Mabao yake matatu dhidi ya Apoel Nicosia yamemfanya Lionel Messi kuweka rekodi ya mabao 74 katika michuano ya Klabu Bingwa Ulaya. Hiyo ni rekodi mpya kupata kuwekwa katika UCL. Sasa Messi anamzidi Christiano Ronaldo mabao 4.

Messi ni moto. Ni rekodi juu ya rekodi

hata ronaldo angefanikiwa kuchezea timu nzuri kama ya mess angekuwa na magoli 500 kifupi wote wazuri
 
Ngoja nikupe Statistics za mechi za Champion League kati ya Man U na Barca (head to head) kwa kipindi ulichosema; ndipo utakapojua kuwa Barca ilikuwa ni zaidi ya Man U

2007/8 - Semi Final ManU 0 - Barca 0
2007/8 - Semi Final Man U 1 - Barca 0
2008/9 - Final Man U 0 - Barca 2
2010/11 - Final Man U 1 - Barca 3

CL aliondoka Man U msimu wa 2009.
Kwahizi data; Man U ilikuwa ni timu dhaifu kwa Barca; pili CL akiwa na timu hii dhaifu hakuweza kuonyesha uwezo wake sana.

Pia ukumbuke kuwa CL na Messi sio Diego Maradona ambaye aliichukua Napoli, timu ya vijijini toka daraja la pili hadi kuwa machampion wa Italy.
Hawa watu (CL na Messi) wanategemea sana teamwork; ndio maana CL hakung'ara sana na Man U kwa kuwa timu work kwenye Champions League ilikuwa haifanani na ya Barca. Sijui kama unanielewa lakini?

CR7 alishinda Balon D'or yake ya kwanza akiwa wapi??? Unasema team work ilikua mbovu kivipi?? Team work mbovu wangecheza final 3 kwenye miaka mitano?? acha visingizio visivyo na msingi, Messi is way better than CR7
 
I declare that Lionel Messi is the #SUPER FOOTBALL MACHINE# I Would like to say He is not human in football wolrd and that is small guy no one like him *The real best ever football player LIONEL MESSI.😛eace::happy::smile-big::smile-big:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom