KoreaKaskazini
JF-Expert Member
- Nov 25, 2014
- 219
- 51
La Pruga
kipimo cha uchezaji bora sio magoli tu
messi anacheza mpira kutumia akili nyingi sana
"What messi can do, CR7 can do it better"
Kenda haipo mbali na kumi, na tusubiri hiyo J5 pale CR7 atakapoweka rekodi mpya.
Hawa Cr7 na Messi watakimbizana milele na milele yaani inabidi mmoja wao afe au avunjike mguu ili ligi hii iishe
​Wachezaji wote uwanjani wanacheza kwa kutumia akili, sijawahi kumuona mchezaji anayetumia makalio. Tafuta credit nyingine, hii sio.
Messi is two years younger than Ronaldo.. Ronaldo kaanza kucheza CL mapema zaidi ya Messi lakini cha kushangaza Messi ndiye anayeongoza.. Tukiweka ushabiki pembeni huyu andunje ni exceptional
Jamaa aliongea kule juu akamaliza kabisa, sasa hivi ukiwaweka sokoni CR7 na Messi, mabosi wa vilabu vikubwa wote chaguo lao la kwanza litakuwa Ronaldo.
Wachambuzi wa soka wangelikuwa kama wewe tusingelikuwa wasomaji wa makala za soka katu...
Kwa hiyo mchezaji bora ni yule anayefunga magoli mengi ya ligi alizocheza maishani mwake?
Vipi kuhusu assists, magoli katika mechi zote, uwiano wa mechi na magoli, ushindi wa vikombe na medali, msaada kwa timu n.k
We mtu? Si ni magoal ya la liga tuu hayo messi aliyofunga kwa misimu na kuvunja rekod ya zarra ya magoal 251, statistically messi kamzidi vibaya kwa magoal ronaldo. La liga 253, uefa 74, argentina....!! Usiongee vitu kama haujui au google
jamaa anajua,...mwenye wivu ajinyonge
Jamaa aliongea kule juu akamaliza kabisa, sasa hivi ukiwaweka sokoni CR7 na Messi, mabosi wa vilabu vikubwa wote chaguo lao la kwanza litakuwa Ronaldo.
CR7 kazaliwa 1985 na Messi kazaliwa 1987.
CR7 alianza kucheza 1st team msimu wa 2002/03 Sporting Cp ya ureno akiwa na miaka 17 na Mesi alianza msimu wa 2004/5 pale Barcelona akiwa na miaka 17.
Katika club zote alizopitia CR7 yani Sporting Cp, Man United na Madrid, ametupia jumla ya goli 294 katka miaka 10 ya kucheza soka na Messi katupia goli 253 pale Barcelona katika miaka yake 10 ya kucheza soka.
Hayo magoli waliyofunga ni katka mechi za ligi tu.
Hivyo ukiamua nani mkali kwa kuangalia mwenye goli nyingi CR7 ni superior kwa Messi. Maana ametupia goli za kutosha, alafu alipoteza msimu wa kwanza kwenye timu isiyo na mbele wala nyuma Sporting CP tofauti na Messi aliyekua kazungukwa na Mafundi kama Gaucho na Deco.
NB: Asante Google kwa hizo data.
UEFA CL:
Messi goal 74 mechi 91.
CR7 goal 70 mechi 107.
mess namkubal sana zaid ya wachezaj wote dunian he is my best player all the time.
kipimo cha uchezaji bora sio magoli tu
messi anacheza mpira kutumia akili nyingi sana
Ha ha ha ha kweli Mkuu, harafu hana papara kama Ronaldo.