NgomaNzito
JF-Expert Member
- Jan 10, 2008
- 559
- 26
Nachoka sana na message message kila wakati ni message tu hana muda wa kufanya kitu ni message tu simu kila saa ni mlio wa triiiii!!! message imeingia hata muda wa kufanya jambo lolote hana ni triii message imeingia, ukikaa sekunde tano trii message wakati mwingine zinaingia daboli au mfululizo zinaingia tano sita zinatokea wapi?
waifu amekuwa busy na message tuuu nifanyaje?
halafu siku hizi kuna message zinasambazwa zinaelezea ohh wakati wa Mwalimu sijui watu walikuwa wanafanye lakini siku hizi watu wanafanya vibaya zaidi au tofauti yaani nachoka sijui nifanyaje?
inafikia unaongea nae anashindwa kukujibu sahihi kisa macho yote yapo kwenye kioo cha simu sms tuuu hadi nawaza sijui nikikamate hicho kisimu nikikanyage au nikipasulie mbali lakini naona sio njia muafaka nifanyeje wajameni???
waifu amekuwa busy na message tuuu nifanyaje?
halafu siku hizi kuna message zinasambazwa zinaelezea ohh wakati wa Mwalimu sijui watu walikuwa wanafanye lakini siku hizi watu wanafanya vibaya zaidi au tofauti yaani nachoka sijui nifanyaje?
inafikia unaongea nae anashindwa kukujibu sahihi kisa macho yote yapo kwenye kioo cha simu sms tuuu hadi nawaza sijui nikikamate hicho kisimu nikikanyage au nikipasulie mbali lakini naona sio njia muafaka nifanyeje wajameni???