kibogo
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 9,739
- 4,745
Hivi anadhani sisi wapiga kura hiyo lugha yake tunaielewa, katusomesha?
Lowassa ni Fisadi na hatakaa aache ufisadi.
Ili uaminike naomba angalau kidogo tu uniwekee hapa Ufisadi wa Lowassa na amelitia hasara Taifa la Tanzania kwa upotevu wa fedha kiasi gani, maana tulishuhudia Basil Mramba na Yona wakihukumiwa kwa kosa la kulisababishia hasara Taifa sasa kwa Lowassa naona mnajikalilisha tu kuwa ni fisadi lakini sijawahi kuona sehemu yeyote mkiorodhesha ni nini alichokifisadi.