Message from Juma Mwapachu

Message from Juma Mwapachu

Hivi anadhani sisi wapiga kura hiyo lugha yake tunaielewa, katusomesha?

Lowassa ni Fisadi na hatakaa aache ufisadi.

...alishawaambia mumpeleke mahakamani nyie vibuyu mbona hamsikii!!
 
Mkuu wangu ikiwa tangu enzi ya Mwl...Nyerere huyu ndg alikuwa anaiba imekuwaje akaachwa bila kupelekwa Mahakamani manake unaungana na wanaoikataa CCM kwamba inaelea WEZI nahawastahili kupewa muhula mwingine sini afadhali huyu 1alietoka manake anakuja kusimamia Sera ya CDM sio CCM khs SLAA mkuu wangu zamani tulipokuwa tunatoka mishipa ya Shingo kuwaaminisha watu kwamba Slaa angeweza kushinda uchaguzi nilikuwa sielewi kwanini tulikuwa tunachekwa ila baada ya EL kuja UKAWA ndio nimeelewa kung'oa Utawala uliodhani kuwa unahatimiliki nahii NCHI sio kazi nyepesi hebu nambie jinsi hii Game ilivyotaiti na CCM wanavyopambana kutumia hadi senti yao ya Mwisho nivipi Slaa au Lipumba angeweza kushinda uchaguzi....Ila Mara hii mshindi wa uRAIS atapatikana kwa KURA sio kwa BEI yake nahii ndio inawaliza CCM cz El aliitaka hiyo nafasi miaka mingi nahana njaa watampa nini ili akubali so mkuu ndio maana JK anahangaika....so nikwambie jambo 1 tu ndg Lowasa akishinda NCHI hii itasogea sana kuliko akishinda Magufuli...watu wanamsifia kwa Jazba zake lkn uRAIS nizaidi yakukariri km za Barabara mbovu alizojenga

Mkuu hakuna mahali nimesema kwamba CCM iendelee kukaa madarakani, nimesema pia kura yangu nampa Lowassa kwa sababu siwezi kuipa CCM kamwe.

Lakini pamoja na kumpa Lowassa, kura yangu naitoa kwa kinyongo kwa sababu Lowassa ni mwizi, na hatakaa aache kuwa mwizi, kalelewa na system ya CCM ambayo imejaa wezi, na huku anakokuja kama akichaguliwa kuwa rais atatengeneza mfumo ambao utafavor deal zake na rafiki zake walio mfinance, hivyo tegemea mfumo ule ule wa kulinda wezi kwa sababu rais ni mwizi, unaweza kuona hata saa hizi kwenye kampeni swala la ufisadi limekuwa siyo nguzo kuu ya ilani kama ilivyokuwa nyuma kwa sababu mtarajiwa hawezi kulitamka, yeye ni namba kuu kwenye kundi la mafisadi.

Lowassa akiwa rais shida zetu zitaendelea kuwa zile zile mkuu, Lowassa na kundi lake la akina Mbowe, Rostam, Karamagi, Lissu, Lema et al hawana uchungu na hili taifa, wote ni opportunists tu, ni political entrepreneurs!

Labda upinzani utakaokuja baada ya huu ninaweza kuupa imani, kwa sababu moja kubwa, hawa wakiingia then wakatoka, atakayeingia atakuwa anajua nikizubaa nitatoka pia kama wenzangu, hivyo atajitahidi kula kwa kupulizia ili aweze kulinda nafasi yake.
 
Then he deserves to be a messenger in a chamber of commerce office or a messenger in a diplomatic mission not a politician

You dont get it! Thats why I retorted that you are a rookie, too green to understand; Juma Volter has never been a practicing politician If you can get what I mean!! kwa bahati mbaya sana you are a rookie!! kuwa na kadi ya CCM haimfanyi kuwa mwanasiasa lakini he is a man of substance hapa Tanzania, a who is who in Tanzania! Unazungumzia a former ambassador to France na immediate former secretary general wa East African Community weye mburula!!!!
 
Shame on you and your companion, you can't brush our mind,except the fools ,we know what you are after guys ,but we won't let you succeed the ballots will tell, we have only five days on hand let's go
Under free, fair and peaceful election Magufuli cannot hit the target enough to be the next presida. Tanzanians are tired of CCM's unfruitful promises and economic speed. Change is necessary and mandatory now now..
 
My dear friends, UKAWA and Lowassa supporters. We have five days to go before the election of our lives. We are all mobilised and galvanised to vote CCM out of power.

Our resolve and commitment is to change a government that has failed to transform our lives. We need a new government better able to deliver on our wishes and expectations.Edward Ngoyai Lowassa is the person to transform our miserable lives; to bring happy faces to us and our families. January Makamba has published an article in the Mail and Guardian of South Africa malagning Lowassa and accusing him in subtle ways of corruption.

We are not stupid not to flesh out his desperate manoeuvre to distort facts about the Richmond issue and in trying to criticise the opposition for embracing Lowassa ostensibly in contradiction to its stand on Lowassa in 2007.

CCM lacks the effective ammunition to knock Lowassa done. Majority Tanzanians are decided on Lowassa as their next President. They will not be moved by silly and unfounded smear from pedestrian politicians like January Makamba who still fail to understand why they never made it in their premature Presidential ambitions.

Tanzanians love Lowassa because they are satisfied of his leadership experience and capabilities. They trust him and trust his guts. They adore the sanctity of his marriage life. Lowassa is not corrupt; there has been no evidence to justify any of the accusations levelled against him.

He did not resign as Prime Minister early in 2008 on corruption charges. Re-read the Mwakyembe report. The opposition has already shown regret for its 'List of Shame' Mr Makamba. They put Lowassa's name in the list in 2007 as part of politics against CCM.

On Sunday 25 th October Tanzanians will make history by electing Lowassa their new President. It is so decided and Almighty God will ensure an election free of rigging so notoriously practised in our country

Can you attach his original memo! Are we really putting our nation's stakes on Lowassa brand instead of a political system.. If it was a system... Mwapachu may have point but if it's more of person. A BAD BET!.. Mwapachu never uttered a word in his years a CCM political technocrat. To hear him saying all these at the 11th hour when crossing to UKAWA depicts a big picture of back stage maneuvering for reasons and cohesion known to only Lowassa's mtandao and money cards. What a shame!
 
Mkuu hakuna mahali nimesema kwamba CCM iendelee kukaa madarakani, nimesema pia kura yangu nampa Lowassa kwa sababu siwezi kuipa CCM kamwe.

Lakini pamoja na kumpa Lowassa, kura yangu naitoa kwa kinyongo kwa sababu Lowassa ni mwizi, na hatakaa aache kuwa mwizi, kalelewa na system ya CCM ambayo imejaa wezi, na huku anakokuja kama akichaguliwa kuwa rais atatengeneza mfumo ambao utafavor deal zake na rafiki zake walio mfinance, hivyo tegemea mfumo ule ule wa kulinda wezi kwa sababu rais ni mwizi, unaweza kuona hata saa hizi kwenye kampeni swala la ufisadi limekuwa siyo nguzo kuu ya ilani kama ilivyokuwa nyuma kwa sababu mtarajiwa hawezi kulitamka, yeye ni namba kuu kwenye kundi la mafisadi.

Lowassa akiwa rais shida zetu zitaendelea kuwa zile zile mkuu, Lowassa na kundi lake la akina Mbowe, Rostam, Karamagi, Lissu, Lema et al hawana uchungu na hili taifa, wote ni opportunists tu, ni political entrepreneurs!

Labda upinzani utakaokuja baada ya huu ninaweza kuupa imani, kwa sababu moja kubwa, hawa wakiingia then wakatoka, atakayeingia atakuwa anajua nikizubaa nitatoka pia kama wenzangu, hivyo atajitahidi kula kwa kupulizia ili aweze kulinda nafasi yake.

Kwanza katika yote nashukuru ikiwa unamaanisha kwamba utaichagua UKAWA maana KURA yako niyamuhimu sana....Pia nataka uelewe akichaguliwa LOWASA Itakuwa System mpya manake itatekelezwa Ilani ya UKAWA sio mazoea ya CCM nakitu kingine nataka watapenda maendeleo tubadilike Kuna tatizo 1 watanganyika wanadhani wakishamchagua MTU basi hawana muda wakuMonitor ndio sababu CCM imetuumiza kwa miaka mingi nabado wanatuahidi nw tubadilike tunapochagua Chama or MTU baada ya 5yrs km ametudanganya tunamuondoa tukifika hapo Nchi itasogea mfano Mimi mwaka huu niko UKAWA ikichaguliwa baada ya 5yrs ikizingua usishangae kunikuta humu nikiSupport chama kingine Hakuna kitu watawala wanaogopa km kuondolewa madarakani Nchi za wenzetu zimesonga baada yakutathimini watawala wao je walitimiza walichoahidi? Mfano mzuri hapa kwetu nikwenye majimbo ya upinzani walioshinda 2010 km walidanganya mwaka huu hawana uhakika wakushinda manake atakae chaguliwa lazima afanyekazi...sasa hapa kwetu watu tangu UHURU watu wamechagua CCM then wanategemea chama hicho kilete maendeleo sijui nani kawadanganya......Kwahiyo ndg yangu pamoja na kutomkubali EL lkn umeahidi kumpa KURA sivibaya ukahamasisha wengine pia lengo Kwanza tuvunje Mgongo wa hili JOKA linaloitwa CCM then mbele tuendako NCHI itarudi kwenye Mstari lkn watu wanaoamini ktk Magufuli kwamba atakuwa najipya lakuifanyia NCHI hii zaidi yakulinda uozo wa wanaotaka kumuweka hapo......wanaota ndoto za mchana pole kwao
 
Juma Mwapachu is a 73 year old man who is only known in top government official circles.He is not known by CCM members.So we don`t even feel his absence.What he has written has no weight in the hearts of many Tanzania voters because they don`t know him or his high life living styles.

kila post upo!! Hongera sana
 
CCM lacks the effective ammunition to knock Lowassa done. Majority Tanzanians are decided on Lowassa as their next President. They will not be moved by silly and unfounded smear from pedestrian politicians like January Makamba who still fail to understand why they never made it in their premature Presidential ambitions

​nimeipenda hii!
 
Mkuu wangu ikiwa tangu enzi ya Mwl...Nyerere huyu ndg alikuwa anaiba imekuwaje akaachwa bila kupelekwa Mahakamani manake unaungana na wanaoikataa CCM kwamba inaelea WEZI nahawastahili kupewa muhula mwingine sini afadhali huyu 1alietoka manake anakuja kusimamia Sera ya CDM sio CCM khs SLAA mkuu wangu zamani tulipokuwa tunatoka mishipa ya Shingo kuwaaminisha watu kwamba Slaa angeweza kushinda uchaguzi nilikuwa sielewi kwanini tulikuwa tunachekwa ila baada ya EL kuja UKAWA ndio nimeelewa kung'oa Utawala uliodhani kuwa unahatimiliki nahii NCHI sio kazi nyepesi hebu nambie jinsi hii Game ilivyotaiti na CCM wanavyopambana kutumia hadi senti yao ya Mwisho nivipi Slaa au Lipumba angeweza kushinda uchaguzi....Ila Mara hii mshindi wa uRAIS atapatikana kwa KURA sio kwa BEI yake nahii ndio inawaliza CCM cz El aliitaka hiyo nafasi miaka mingi nahana njaa watampa nini ili akubali so mkuu ndio maana JK anahangaika....so nikwambie jambo 1 tu ndg Lowasa akishinda NCHI hii itasogea sana kuliko akishinda Magufuli...watu wanamsifia kwa Jazba zake lkn uRAIS nizaidi yakukariri km za Barabara mbovu alizojenga

Kidogo nifikiri unataka kusema mshindi safari hii atapatikana kwa matuta, maana ulivyoliingiza neno GAME nimejisahau nikaona kama ni mpira vile. Ifike tu 25th October tumalizane na mtanange huu maana kila siku ni Lowassa-Magufuli.
 
Can you attach his original memo! Are we really putting our nation's stakes on Lowassa brand instead of a political system.. If it was a system... Mwapachu may have point but if it's more of person. A BAD BET!.. Mwapachu never uttered a word in his years a CCM political technocrat. To hear him saying all these at the 11th hour when crossing to UKAWA depicts a big picture of back stage maneuvering for reasons and cohesion known to only Lowassa's mtandao and money cards. What a shame!

He was promised by Lowasa to be a foreign minister if he wins.Imagine Tanzania having a foreign minister called Mwapachu who is 73 years old!!! (another Robert Mugabe in Tanzania)!!!! wuuuuuuuuu!!!!!
 
My dear friends, UKAWA and Lowassa supporters. We have five days to go before the election of our lives. We are all mobilised and galvanised to vote CCM out of power.

Our resolve and commitment is to change a government that has failed to transform our lives. We need a new government better able to deliver on our wishes and expectations.Edward Ngoyai Lowassa is the person to transform our miserable lives; to bring happy faces to us and our families. January Makamba has published an article in the Mail and Guardian of South Africa malagning Lowassa and accusing him in subtle ways of corruption.

We are not stupid not to flesh out his desperate manoeuvre to distort facts about the Richmond issue and in trying to criticise the opposition for embracing Lowassa ostensibly in contradiction to its stand on Lowassa in 2007.

CCM lacks the effective ammunition to knock Lowassa done. Majority Tanzanians are decided on Lowassa as their next President. They will not be moved by silly and unfounded smear from pedestrian politicians like January Makamba who still fail to understand why they never made it in their premature Presidential ambitions.

Tanzanians love Lowassa because they are satisfied of his leadership experience and capabilities. They trust him and trust his guts. They adore the sanctity of his marriage life. Lowassa is not corrupt; there has been no evidence to justify any of the accusations levelled against him.

He did not resign as Prime Minister early in 2008 on corruption charges. Re-read the Mwakyembe report. The opposition has already shown regret for its 'List of Shame' Mr Makamba. They put Lowassa's name in the list in 2007 as part of politics against CCM.

On Sunday 25 th October Tanzanians will make history by electing Lowassa their new President. It is so decided and Almighty God will ensure an election free of rigging so notoriously practised in our country

Juma Mwapachu, you are a lackey and a henchman on pay!!
Ask the Church, KKKT Mbezi to be exact!!
 
My dear friends, UKAWA and Lowassa supporters. We have five days to go before the election of our lives. We are all mobilised and galvanised to vote CCM out of power.

Our resolve and commitment is to change a government that has failed to transform our lives. We need a new government better able to deliver on our wishes and expectations.Edward Ngoyai Lowassa is the person to transform our miserable lives; to bring happy faces to us and our families. January Makamba has published an article in the Mail and Guardian of South Africa malagning Lowassa and accusing him in subtle ways of corruption.

We are not stupid not to flesh out his desperate manoeuvre to distort facts about the Richmond issue and in trying to criticise the opposition for embracing Lowassa ostensibly in contradiction to its stand on Lowassa in 2007.

CCM lacks the effective ammunition to knock Lowassa done. Majority Tanzanians are decided on Lowassa as their next President. They will not be moved by silly and unfounded smear from pedestrian politicians like January Makamba who still fail to understand why they never made it in their premature Presidential ambitions.

Tanzanians love Lowassa because they are satisfied of his leadership experience and capabilities. They trust him and trust his guts. They adore the sanctity of his marriage life. Lowassa is not corrupt; there has been no evidence to justify any of the accusations levelled against him.

He did not resign as Prime Minister early in 2008 on corruption charges. Re-read the Mwakyembe report. The opposition has already shown regret for its 'List of Shame' Mr Makamba. They put Lowassa's name in the list in 2007 as part of politics against CCM.

On Sunday 25 th October Tanzanians will make history by electing Lowassa their new President. It is so decided and Almighty God will ensure an election free of rigging so notoriously practised in our country

Mheshimiwa balozi anatumia kidhungu kuwasiliana na supporters wa UKAWA. Teh teh teh hivi hawa wanywa viroba hata English wanaijua?? Inaonekana mheshimiwa balozi hawafahamu wapiga kura wake vizuriii. Naona balozi analeta mbwembwe tu yupo far from reality. Ndo matatizo ya kuishi Masaki miaka yote na kudhani kwamba nchi unaijuaa vizuri. Watanzania wa kule Tandahimba mheshimiwa balozi anawafahamu? Naona hapa anawa address watanzania wa urban zaidi ambao ni social media literate ambao hata hivo ni wachache sana wanaifahamu lugha anayoiongea teh teh teh. Balozi anajaribu kuchota maji kisimeni kwenda kujaza baharini
 
Kidogo nifikiri unataka kusema mshindi safari hii atapatikana kwa matuta, maana ulivyoliingiza neno GAME nimejisahau nikaona kama ni mpira vile. Ifike tu 25th October tumalizane na mtanange huu maana kila siku ni Lowassa-Magufuli.

Ha ha haaaa....mkuu hii Game lazima mshindi apatikane kwenye dakika90 tu Ukiweka tuta hapatatosha kuna watu wametia cash yao miaka mingi sasa matuta noma
 
Juma Mwapachu is a 73 year old man who is only known in top government official circles.He is not known by CCM members.So we don`t even feel his absence.What he has written has no weight in the hearts of many Tanzania voters because they don`t know him or his high life living styles.

Duh yale yaleeeeee...
 
My dear friends, UKAWA and Lowassa supporters.

Wabongo wana kiwango kidogo sana cha hekima na ziro cha uelewa, mtu kaandika barua kwa marafiki zake, wana ukawa na wale wasio marafiki zake na wala sio ukawa lakini wanamuunga mkono Lowassa. sasa naona wakwanza kujibu wala hawahusiki na barua hii.
 
Back
Top Bottom