Message from Juma Mwapachu

Message from Juma Mwapachu

Hivi anadhani sisi wapiga kura hiyo lugha yake tunaielewa, katusomesha?.
Sio wapiga kura tu, hata baadhi ya wagombea urais hawajui kiingereza, mfano JPM amasema "you was ..."
 
Hivi anadhani sisi wapiga kura hiyo lugha yake tunaielewa, katusomesha?

Lowassa ni Fisadi na hatakaa aache ufisadi.
Usimlaumu yeye kwa kutokusoma kwako kilaumu Chama cha Mapinduzi!
Nawashangaaga sana mazombie kama wewe.....unakiri hujasoma then unaung'ang'ania mfumo mbovu ulokuweka hapo katika dimbwi la umaskini, ujinga na maradhi!
AMKA ndugu yangu!
 
Karani wa Vibaka Ltd ukitapatapa dakika za mwisho..kibarua chako kinakoma jumamosi hii..


Is shame for me to reply to 🐗🐗

It is really unreasonable & losing my status...!! So keep on 🐙🐙🐗🐗
Whatsoever, whoever ur, pumbavu wee, majizi ya CCM, shit..!!! Mmeua nchi hii..!! 🐗🐗
 
kwa nini mlishindwa kumpeleka mahakamani mbona mna maneno mengi ambayo hayewezi vunja hata mfupa
 
Kwani huyu baba Mwapachu hajui kiswahili, kila siku anaandika kiinglish
 
  • Thanks
Reactions: R.B
Hivi anadhani sisi wapiga kura hiyo lugha yake tunaielewa, katusomesha?

Lowassa ni Fisadi na hatakaa aache ufisadi.

Laumu CCM kukufanya kilaza, NUSU MFU... dead walking man..🐙

So, hata mgombea wako, hajui what is written here..!! So, upo kama haupo, haupo kama upo..!!! Ndio CCM imekufanyia UFIRAUNI... usha chafukwa, kazi kukariri tu..!!!

Lowassa is the next President..!!!
 
Yo damn right Ambasador! Change is at the door. Cant ignore this rare opportunity.

Am only concerned two matters

1. Police. Citizens have always been asked by police to participate in "ulinzi shirikishi". But this time, no citizen, no ulinzi shirikishi shit! Just vote and go home!!

2. Once a voter shifts his residence, say from Dar to Mbeya, all his voting details are left in dar. Whats the essence of BVR then, if voters details cant be accessed throughout polling stations? Bad enough is, one has to shift his details "manualy", something which we've all missed deadline by now.

I see "bao la mkono"!
 
Haya maneno yako umewaandikia Watanzania wangapi bwna Mwapachu??,,,hivi huoni kama Watanzania lugha yao ni kiswahili? Na hapa wametoka kapa??

Lowassa anavyosema elimu elimu elimu unadhani anakosea ??
 
Juma Mwapachu is a 73 year old man who is only known in top government official circles.He is not known by CCM members.So we don`t even feel his absence.What he has written has no weight in the hearts of many Tanzania voters because they don`t know him or his high life living styles.

We know him very well and stop lying to yourself that he has less impact. That is where you ccm supporters you having it all wrong. You always think Tanzanians are fools and stupid. Wake from your slumber, and be worned do not think that 2015 elections is business as ussual.
You will be surprised by the end results. We are voting for Lowassa because we are tired of ccm. Remember its agame of tyranny of numbers. Tanzanians of 1995 are not the very ones of 2015, we are different and time has come, we need a change and yes we will change the political face of this country come October, 25, 2015. Viva UKAWA and Lowassa, freedom is coming next Sunday.
 
Kwani huyu baba Mwapachu hajui kiswahili, kila siku anaandika kiinglish

Mwapachu huwa anaongea kiingereza ili kiwasiliana na wasomi wenzake na sio kubishana na watu wasio na elimu.

Unalalamika kwa sababu haujui kiingereza, tatizo ambalo ni kwasababu;
1. Hauna elimu au
2. Elimu yako uliopewa ni duni.
Vyote hivyo ni zao la serikali mbovu isio na VISION KITAALUMA! Sio kosa lako. So i guess now you atleast know "WHO NOT TO VOTE FOR"
 
Yale yale eee... ya kuwaambia mama ntilie na waendesha boda boda wakasome ilani kwenye website!
 
  • Thanks
Reactions: R.B
Usimlaumu yeye kwa kutokusoma kwako kilaumu Chama cha Mapinduzi!
Nawashangaaga sana mazombie kama wewe.....unakiri hujasoma then unaung'ang'ania mfumo mbovu ulokuweka hapo katika dimbwi la umaskini, ujinga na maradhi!
AMKA ndugu yangu!

Mkuu una haki ya kunilaumu, CCM wamenifanya Zombie, na kuna kila dalili za kuendelea kunifanya Zombie, kwa sababu, this time ni either uchague CCM Mama (ambayo ndiyo iliyotufikisha kwenye huu umaskini) au CCM Branch (UKAWA) ambayo mgombea wake na baadhi ya wafuasi wake wamemeguka kutoka CCM Mama na wameshiriki moja kwa moja katika kutufikisha hapa.

Uamuzi ni wako.


Laumu CCM kukufanya kilaza, NUSU MFU... dead walking man..

So, hata mgombea wako, hajui what is written here..!! So, upo kama haupo, haupo kama upo..!!! Ndio CCM imekufanyia UFIRAUNI... usha chafukwa, kazi kukariri tu..!!!

Lowassa is the next President..!!!

Ni kweli CCM kanifanyia ufirauni, lakini je huyu Lowassa, Mwapachu, Masha na Sumaye si ni moja ya member wa CCM iliyonifanyia uhuni? Atawezaje kuacha kuendelea kunifanyia uhuni wakati ameshaprove kwamba ni muhuni, kajitenga na wahuni aliokuwa nao, nitaamini vipi kwamba huyu jamaa hajaja kutengeneza kundi lingine la kihuni?

Lowassa hata kama atakuwa rais, maisha ni yale yale, hatakaa aache ufisadi, na maumivu yatakuwa yale yale kwa sababu tunamjua, ni Fisadi na hajawahi kuahidi kwamba atapambana na mafisadi au wala rushwa kwa moyo dhati.
 
Usimlaumu yeye kwa kutokusoma kwako kilaumu Chama cha Mapinduzi!
Nawashangaaga sana mazombie kama wewe.....unakiri hujasoma then unaung'ang'ania mfumo mbovu ulokuweka hapo katika dimbwi la umaskini, ujinga na maradhi!
AMKA ndugu yangu!

Aise bora umemueleza vizuri. Nilitaka kumjibu hivihivi ulivomjibu!
 
Is shame for me to reply to 🐗🐗

It is really unreasonable & losing my status...!! So keep on 🐙🐙🐗🐗
Whatsoever, whoever ur, pumbavu wee, majizi ya CCM, shit..!!! Mmeua nchi hii..!! 🐗🐗
Unasikitisha sana!! unasisitiza kuwa ukinijibu utakuwa mjinga, lakini wakatihuohuo unaendelea kuandika mistari...jitambue, kuwa na msimamo na simamia na amini unachokisema.
 
Fortunately the way is clear, and all Tanzanians have been strugling to pave the way to Presidential seat for LOWASA

so Dont worry be Strong and take a good courage, the Seat is for LOWASA AND NOT MAGUFULI
 
Good post...from Mr Mwapachu...A glimpse into the future....CCM u can fool people at once but not twice....Viva ukawa...!!!
 
Sio kuandika tu hata sura huwa anajipodoa na mkorogo ili aonekane kama mzungu.Ana UZUNGUPHOBIA

Sikubaliani na wewe ila ngoja nikusaidie kitu;

Unajua maana ya "phobia"? Inamaanisha uwoga wa kitu fulani.

Unavosema mzee mwapachu anapenda aonekane mzungu halafu unasema "uzungu-phobia" unakosea. Wewe ulitaka kusema "UZUNGU-PHILIA"!

Haya , edit pale halafu ndo nianze kukupinga! Na kukufundisha ugonjwa unaoitwa "Vitiligo" unaosababisha ngozi kuwa nyeupe na yenye mabakabaka.

Jinga kabisa wewe! ELIMU, ELIMU, ELIMU!
 
Back
Top Bottom