Kwisense
JF-Expert Member
- Sep 7, 2017
- 475
- 1,138
Heshima kwenu wakuu,<br /><br />Baada ya kuona Watu wanawaandikia wapenzi wao meseji za kawaida zisizo romantic, nmeona niwakusanyie meseji japo uwe unacopy na kumpastia umpendae. <br /><br />Hii itasaidia kuamsha mapenzi na kumfanya mpenzi wako ajisikie poa<br /><br />Just mtumie meseji moja kati ya hizi uone majibu yake;.<br /><br />Niseme nini ujue nakupenda? Nifanye nini ujue nakupenda? <br /><br />Nikuite jina gani ujue ni wewe peke yako upo moyoni <br /><br />mwangu? Hakika hakuna ila moyo wangu ndio unaosema kuwa <br /><br />nakupenda, niamini mpenzi<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br /><br />upendo ni jibu kwamba kila mmoja anataka. . . .<br />upendo ni lugha ,<br />kwamba kila mmoja anaongea,<br />upendo hauwez kununuliwa,<br />na isiyo kadirika na ya bure,upendo kama uchawi safi,ni <br />siri ya maisha matamu<br /> nakupenda mpenzi<br />*°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />"Mimi sitaki kuwa kila kitu kwa kila mtu, lakini napenda <br />kuwa kitu kwa mtu.na mtu mwenyewe ni wewe"<br />nakupenda laazizi<br />"Kama mimi nilikuwa na maua kila wakati<br />mawazo yangu <br />yangekuwa juu yako,nisingefikiri wa kumpa mwingine kabla <br />yako je wewe ungekuwepo nayo<br /> ungempa nani kwanza? "<br />*°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />ningependa nikuambie neno ambalo halina gharama na <br />likutumiwa vibaya halina maana wala thamani. neno hilo <br />haliandikiki kwenye karatasi wala hata halitamkiki ila tu <br />Linatokea Bila kujua na halina sababu.neno hilo mi <br />mwenyewe silijui ila ndo linatufanya tuwe pamoja Japo tupo <br />Kasi Na Kusi. Nakupenda sana Dear Figganigga<br /> •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• <br />naukunjua moyo wangu huishi milele maishani ,nafungua <br />nafsi nikupende wewe pekee,nafunga milango ya moyo wangu <br />ili <br />kutokupokea ugeni wowote wa moyo zaidi yako <br />mpenzi.nakupenda sana laazizi <br /> •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br />sipo tayari kuukabidhi moyo wangu kwa mwingine zaidi <br />yako,wewe ni wa pekee maishani mwangu mwenye kujua hisia <br />moyoni mwangu <br />mpenzi nipende daima pendo lako nitalienzi, nakupenda <br /> •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• <br />mapenzi si pombe lkn yanalewesha, wala si kidonda lakini <br />yanatonesha,wala si maradhi lakini yanaumiza, wala si <br />njaa lakini yanakondesha ,mapenzi ni uvumilivu kwa <br />unaempenda<br /> •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• <br />mapenzi ni safari=unifanye nauli ya moyo, mapenzi ni <br />maradhi=unifanye daktari ni kutibu maradhi yako,mapenzi ni <br />kiu=niwe maji jangwani,mapenzi ni chakula=nikulishe <br />maishani mwako na uwe asali moyoni mwangu<br /> •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• <br />wengi hupenda fanta kwa ladha yake,wengine hupenda <br />pilipili kwa muwasho wake,wengine hupenda asali kwa utamu <br />wake ila mimi nakupenda wewe kwa upendo wako.<br /> •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• <br />nimetuma ndege wangu auzunguke ''moyo'' wako kwa '' upendo <br />'' auguse ''uso'' wako kwa ''faraja'' na mwisho <br />akunong'oneze sikioni taratibu kuwa nakupenda.<br /> •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br />mapenzi ni utoto,deka ulie nitakubembeleza,mapenzi ni <br />zawadi tabasamu nibusu niambie kiasi gani unanpenda,naweza <br />kusema asilimia kubwa jina lako limezunguka kuta wa moyo <br />wangu.kamwe jina lako haliwezi kufutika.nakupenda sana Figganigga<br /> •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• <br />teke la kuku halimuumzi mwanaye sawa na dhati ya mapenzi <br />haiumzi moyo wa ampendaye,tugombane sasa hivi tupatane <br />badaye,najua hakuna wasiogombana ,kama wapo siku <br />wakigombana wataachana.<br /> •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• <br />yapitayo mdomon yametokea moyon,uyaonayo hadharani <br />nimeagizwa na manani yakuridhishayo nafsini ni utamu wa <br />yakini. <br /> •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• <br />nakupenda sana mpenzi wangu ,we ndo wa pekee mwenye kujua <br />furaha ya moyo wangu nikiwa na majonzi huwa upo karibu <br />nami,nikiwa na furaha huja kushea nami,ahsante wangu <br />tabibu ,we ndo wangu wa manani.<br /> •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• <br />kila niamkapo mawazo yangu huwa kwako na upepo uvumapo <br />huhitaji uwepo wako na hasa nikukumbukapo kumbato <br />lako,nakupenda mpenzi<br /> •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• <br />Furaha yangu ni kuwa nawe kwani u zaid ya mboni <br />yangu,najisifu kuwa nawe maishani mwangu naamini itatokea <br />kutokuwa mbali nawe mpz wangu,unisahaulishe machungu na <br />karaha za huu ulimwengu .nakupenda dia<br /><br />•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• <br /><br />>>--------->>> Mshale huu unamtafuta mtu muhimu sana ktk <br />maisha yangu na kama umekutana nao<br /> usiukwepe uache <br />uchome Moyo wako gharama<br /> za matibabu juu yangu.<br />•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• <br /><br />sioni zawadi ya kukupatia kwa mapenzi<br />unayonipatia,<br />moyoni nimekuridhia wewe pekee penzi langu daima<br />kukupatia nakupenda<br /> •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• <br />hakika kama ni mume MUNGU kanipatia,kuwa nawe najiona<br /> kama malkia ,nakupenda mpz na daima nitaenzi penzi<br /> lako.<br /> •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• <br />Nina habari nzuri nataka kukuambia kuna mgeni leo kaja<br />kunitembelea,nguo nyekundu amevalia yaani!utamu wako kwa <br />sasa siwezi kukupatia<br />kwa maana mgeni kashakuharibia<br /> nakupenda dear<br /><br /> •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• <br />Ni yangu mazoea kila cku cm yako<br /> kuipokea kama si meseji <br />kunitumia<br />leo naumia kila napo fikiria nini<br /> kimetokea hadi <br />mawasiliano yetu<br />yameanza kupotea,sawa tu.naamini hali<br /> ya kawida itarejea <br />na<br />majonzi moyoni yatanipotea<br /> nakupenda mpz<br /> •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• <br />Nimezunguka pande zote za Tanzania macho<br /> nikiyaangaza <br />kumsaka mrembo<br /> wakumkabidhi wangu moyo wenye upendo<br />ndani yake na kulila <br />TUNDA lake<br />kwa nafasi huku nikimpa mahaba ya dhati na sikuwahi kuhisi <br />kama wewe ndiye<br />ulie uteka moyo wangu. <br /> nakupenda laaziz<br /> •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• <br />Raha ya ucngz ni ucngz . . . .''tamu''ya penzi ni ndoto . <br />Na furaha ya ndoto ni yule umpendaye kwa dhati,nitafurahi <br />nikiwa mimi,<br /> •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• <br />Kipepeo kipeperushe kunipenda maamuz yako kamwe usijute <br />nakupenda mpz moyoni mwako unitulize.<br /> Nakupenda mpz<br /> •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• <br />Moyo wangu unajua kupenda katu haujui kutenda <br />mpz,nakupenda tukwepe fitina mpz.<br /> •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• <br />Nenda sms taratibu kwa yule ma BEST nimpendaye,ukimkuta <br />amelala ucmuamshe mpige busu kisha mnong'oneze mwambie <br />nampenda sanaaaa<br /> Nilivyokutana nawe cku ya kwanza nilikupenda kwa dhati <br />,nikakueleza ukweli ukanikaribisha moyoni mwako,cwezi <br />kuchezea nafac hyo laaziz nitakushika daima.<br /> •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• <br />Je unakubali au unakataa kwa mujibu wa sheria ya mahakama <br />ya mapenzi kifungu cha mahaba unahukumiwa kuwa na mimi <br />milele,unaweza kukata rufaa kama hujatendewa haki.sawa?<br /> •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br /> sura yako haifutiki usoni mwangu kirahic,ingawa upo mbal <br />nami lkn penzi lako bado nalikumbuka,hakuna anayeweza <br />kukata kiu yangu zaidi yako,nakupenda mpenzi wangu!<br /> •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• <br />kamwe cwez kuacha kukupenda,utaendelea kujificha moyo <br />mwangu cku zote za maisha yang,maana wewe ndiye mhimili wa <br />maisha yangu,tafadhal naomba unipende milele!<br />•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• <br />mapenzi ni upepo,mimi sivumi na kupotea,mapenzi ni mahaba <br />sili nikamaliza,mapenzi ni raha kamwe cwez <br />kuipeza,nakupenda wewe pekee<br />•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br />Kama safari tumeianza,kama chakula sinto kusanza,kama <br />nyumba wewe kibaraza na kama ukingo wewe kiambaza.<br />•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br />kiangazi aumasika<br /> kukupenda nitawajibika kwenye chupa au birika chai yako <br />ya uhakika ,iwe ndoo au pipa ujazo wa penzi kimiminika.<br />•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br />nikipoteza kitu cha thamani nitauzunika nitasahau ila <br />nikikupoteza wewe ni pengo lisilozibika kamwe.<br />•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br /> mapenzi ni safari,mapenzi ni ahadi,mapenzi ni <br />ujasiri,mapenzi ni zawadi,mapenzi mitihani,mapenzi <br />ramani,mapenzi ajali na ndiyo maana nakupenda wewe bila <br /><br />kujali.<br />•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br /> mapenzi ni utoto,deka ulie nitakubembeleza,mapenz ni <br />zawadi,tabasamu,nibusu niambie kiasi gani <br />unanipenda,naweza kusema asilimia kubwa jina lako <br />limezunguka ukuta wa moyo wangu,na kamwe jina lako <br />haliwezi futika.<br /> NAKUPENDA<br />•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br />yapitayo mdomoni yametokea moyoni ,uyaonayo hadharani <br />nimeagizwa na manani yakuridhishayo nafsini ni utamu wa <br />yakini.<br />•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br />upendo wa moyoni ndiyo dhati niliyoamini amini kwa haya <br />nisemayo nakupenda wewe ndiyo kaburi nitakalozikwa nalo.<br />•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br />Nakupéndä mpènzi wèwè ùnåumuhimu mkubwa kwenye maisha <br />yangu kwani ukiniacha mpenzi utanisababishia kovu ambalo <br />halitapona .nakupenda sana Figganigga<br />•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br />Mapigo yangu ya moyo huongezeka pindi nisipokuona japo kwa <br />dakika plz mpenzi kaa karibu yangu utulize mapigo <br />•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br />Siku zote kwangu ni sherehe ni wewe unishereheshaye,ukweli <br />usio na kejeli mapenzi yako yanatii kiu yangu,moyoni <br />mwangu nimeridhia. . . .nakupenda daima mpenzi!<br />•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br />Mapenzi ni upepo,mimi sivumi na kupotea,mapenzi ni mahaba <br />sili nikamaliza,nikimaliza nitakula nini kesho?nakuahidi <br />kukupenda leo hata kesho ukiwepo na hata usipokuwepo.<br />•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br />pongezi kwako mpenzi kuwa wangu mtetezi kwenye jahazi la <br />mapenzi,ufundi na ujuzi unao hasa tuwapo wawili <br />chumbani.penzi lako halichakai daima huzaliwa upya.<br />•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br />Nakupenda kwa kuwa umegundua thamani ya penzi langu <br />nakuahidi utafaidi utamu wa mapenzi yangu.<br />•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br />Wanafiki tusiwaombee kifo daima na milele washuhudie penzi <br />letu linavyozidi kukua,na tunavyopambana na mapito.<br />•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br />Mpenzi usiende mbali nami,njoo ufaidi utamu usioisha <br />hamu,nitakupa mwili wangu ucheze nao hadi <br />asubuhi,nitakulisha unachokitaka,sitakubania kwani naogopa <br />wengine wanaweza kukupa. . . .njoo leo uniambie unataka <br />nini?<br />•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br />Mapenzi mazuri yanasifa zifuatazo,kuridhishana,kupeana <br />bila <br />kubaniana,kubusiana,kuheshimiana,kujaliana,kusubiriana,kus<br />ikilizana.je utaweza kujifanyia yote hayo?nijibu mpenzi. . <br />•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br />Ikiwa penzi langu kwako litakufa halitazikwa,ikiwa moyo <br />wangu ni mwandiko hautafutika na kama dhati yangu ni <br />machozi daima hayatokauka na wewe kwangu ni damu ngozini <br />haitochuruzika ila mishipani. . . .<br />•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br />Anayekupenda ni mimi,watakaokutamani ni wengi,tafuta dunia <br />nzima penzi langu la kweli huwezi kulipata,penzi langu <br />kwako ni nuru daima halizimiki.<br />•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br />mpenzi usiende mbali nami,njoo ufaidi utamu usioisha <br />hamu,nitakupa mwili wangu ukeshe nao,nitakulisha <br />unachokitaka,sitakubania naogopa wengine wataniibia. . <br />.njo leo uniambie unataka nini?<br />•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br />nipe niridhike,nionjeshe usinilambishe,nikigonga <br />nikaribishe na penzi le2 2listawishe.<br />•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br />mapenzi mazuri yanasifa zifuatazo<br /> kuridhishana,kupeana bila <br />kubaniana,kubusiana,kuheshimiana,kujaliana,kusubiriana,kus<br />ikilizana,je utaweza kujifanyia yote hayo?<br />•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br />Utakuwa wangu wa maisha daima na penzi le2 litakuwa km <br />mfuko wa hazina,2talitunza km zaidi ya mboni la jicho.<br />•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br />ni bora mnara ukitikisika kuliko kupata pengo lisilozibika <br />moyoni umeniachia jeraha lisilotibika na ufa <br />usiozibika.rudi mpenzi unautesa mtima wa moyo wangu.<br />•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br />Swt ulivyoumbika wengi wanateseka juu yako ,najua <br />wanakusumbua ni vema usiwakubalie, ukweli umebarikiwa <br />uzuri umeshushiwa na dhati ya penzi umetunukiwa nakupenda<br />•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br />wengi walisema penzi letu lisingedumu,lakini leo twawaacha <br />midomo wazi kwa misengenyo yao isiyo na maana ,tuendelee <br />kupendana,wanafiki roho ziwaume!<br />•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br />kama ni usafiri wewe ni gari salama,kama ni kiwanda wewe <br />ni namba moja ,kama ni maji kwako kuna chemchem,kama ni <br />mapenzi kwako nimefika,niahidi utakuwa nami siku zote <br />maishani mwangu.<br />•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br />nilivyokutana nawe siku ya kwanza nilikupenda kwa <br />dhati,nikakueleza ukweli ukanikaribisha moyoni <br />mwako,siwezi kuchezea nafasi hiyo laaziz,nitakushika <br />daima.<br />•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br />sura yako haifutiki usoni mwangu kirahic,ingawa upo mbali <br />nami lkn penzi lako bado nalikumbuka,hakuna anayeweza <br />kukata kiu yangu zaidi yako,nakupenda mpenzi.<br />•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br />Ucku ulalapo jua kuna m2 akupendaye,mchana uwajibikapo <br />tambua yupo anayekuwaza ,jioni uwapo mazoezini jua yupo <br />anayekuonea wivu,hata uwapo kwenye kumbi za burudani <br />tambua mwenzio nakulilia,usitoe penzi kangu akilini hata <br />km upo mbali nami!moyoni mwangu hutafutika milele!<br />•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br /> Hakika nimepata tabibu, maradhi yangu wajua kujyatibu, <br />napenda jinsi unavyonitibu, huna papara yaani ni taratibu, <br />mpenzi usijemuonyesha mwingine hizo zako zabibu, maswahibu <br />yakatayonisibu hakuna atakayeweza kuyatibu, nakupenda.<br />•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br />Joto ndio kitu nachotarajia kutoka kwao mke wangu <br />mtarajiwa, usisikilize maneno yakuambiwa, ni wewe tu <br />mwenye thamani kwangu katika hii dunia.<br />•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br />Kila niamkapo mawazo yangu huwa kwako na upepo uvumapo <br />huhitaji uwepo wako na hasa nikumbukapo kumbato lako, <br />nakupenda mpenzi.<br />•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br />Hakika wewe ndiye wangu mahabuba unayejua kunipa huba, <br />napenda unavyoniganda mithili ya ruba, nahahidi kukupa <br />mahaba yanayozidi shaba. Nakupenda Figganigga[ mtaje jina].<br />•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br />Kila nikuonapo napata weweseko, yako miondoko si ya kitoto <br />na zaidi wajua kuweka mikogo, umeumbika si kitoto, <br />nahitaji uwe wangu mama watoto!<br />•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br />nashtumiwa kwa kumpenda mcchana mmoja aliyeutesa moyo <br />wangu<br /> mahakama imenihukumu kifo kwa kunyongwa na kamba upendo <br /> lkn kwa msamaha wa raisi mapenzi <br /> nmehukumiwa kuwa mwaminif kwake nakumpenda zaidi ya hapo <br />daima milele.<br /> nakupenda mpz<br />•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br />mahakama ya upendo iliyopo mtaa wa busu imenihukumu <br />kufungwa kwenye gereza la moyo la mcchana huyo milele kwa <br />kuutesa mtima wa moyo wa mcchana mmoja ,asiye na <br />mashauz,mwenye wing upendo ,maneno matamu ,mahaba ya dhat <br />na mapenz mazito zito, <br />•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br /> macho yang hutaman kukuona,mdomo wang hutaman <br />kukubusu,mikono hutaman kukutomasa,uko mbali nami ila <br />mwili wangu upo kwa ajili yako dear<br />•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br />nimeulizwa nmependa nin kwake huyo ninaye mtumia ujumbe <br />huu nami nikajb saf roho yake nzur tabia yake ,majvuno <br />hayapo kwake,<br />nkaulzwa je unampenda kwa dhati ?nami nikajibu ndiyo nacpo <br />tayar kumsaliti na lbd aanze yeye<br />•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br />Najua kuna vishawishi vingi sana uko ulipo, lakini nikiwa <br />moyoni mwako, siku hii itakuwa nzuri zaidi kwetu, <br />tupendane daima lahazizi…<br />•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br />Wewe pekee upo moyoni mwangu, nitaendelea kukupenda siku <br />zote za maisha yangu! Katika siku hii ya wapendanao, wewe <br />ndiyo ua la moyo wangu!<br />•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br />Weupe wa penzi lako ni kama mwezi angani.Ucheshi na mahaba <br />yako nifananishe na nini? Kupata mfano wako hatotokea <br />amini. Elewa mimiwako sikuachi asilani<br />•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br />Penzi langu kwako ni la milele, nitakuhifadhi moyoni <br />mwangu siku zote za maisha yangu, uwe wangu nami niwe wako <br />daima, nakupenda dear…<br />•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br />Hata kama nitajidanganya kwamba sikupendi, moyo wangu <br />umeganda kwako na hakuna dalili za kukuacha, wewe ni wangu <br />peke yako dear...<br />•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br />Hata kama watasema mengi kiasi gani, kwako wewe <br />nitaendelea kuwa mpole, maana nakupenda sana...<br />•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br />upendo ni jibu kwamba kila mmoja anataka. . . .<br />upendo ni lugha ,<br />kwamba kila mmoja anaongea,<br />upendo hauwez kununuliwa,<br />na icyo kadirika na ya bure,upendo kama uchawi safi,ni <br />siri ya maisha matamu<br /> nakupenda mpz<br />•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br />mapenzi ni hisia zilizopo moyoni mwetu,hujidhihirishe pale <br />unapopata umpendaye,utamu wake ni zaidi ya sukari uchungu <br />wake ni zaidi ya shubiri je kwako yapo je?<br /> •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br />pendo ni silaha kali zaidi duniani hu uwa wasio na hatia <br />na hujeruhi bila kutarajia,wengine hujitolea muhanga nayo <br />,silaha hiyo itumikapo vizuri huleta marafiki na kuongeza <br />furaha,je we unaitumiaje silaha hiyo?<br /> •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br />,,,,,,,,,,,,,<br /> |~<¤>~|<br /> """'''''''''"""<br />Naomba upokee zawadi hii ya kiwembe. <br />Amini ndicho kilichotumika kufanyia operation kwa <br />kupasuliwa moyo wangu, kwa sababu nimeoza kwa ajili yako, <br />nimeambiwa ili <br />nipone maradhi haya nipate:- (1)ushirikiano wako (2)furaha <br /><br />yk, (3)upendo wk, (3)tabasam yk.<br />Je! uko tayari kuokoa maisha yangu? <br />•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br /> Nina huzuni moyoni sijui kwa kuwa siku hizi sikuoni, <br />naishia kukuota ndotoni, <br />hivi kweli nipo kwako moyoni? Nakupenda<br />•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br />Hakika sikutaraji kulikosa lako penzi, wataka kuniacha <br />kuniacha ningali nakuhitaji, mpenzi tambua nahitaji yako <br />hifadhi na niko radhi kukupeleka hadi kwa wangu wazazi, <br />amini kwenda kwa mwingine sihitaji. Nakupenda.<br />•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br />nimeulizwa nmependa nin kwake huyo ninaye mtumia ujumbe <br />huu nami nikajb saf roho yake nzur tabia yake ,majvuno <br />hayapo kwake,<br />nkaulzwa je unampenda kwa dhati ?nami nikajibu ndiyo nacpo <br />tayar kumsaliti na lbd aanze yeye<br />•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br />Mpenzi huwa unanipagawisha unaponipumulia pumzi masikioni <br />nasikia raha.<br />Niliandika upendo wangu kwako kwenye majani ng'ombe <br />akala,nikaandika kwenye jiwe mvua ikafuta ,nikaandika <br />kwenye sms likafutwa lakini nimeandika moyoni mwangu <br />halitafutika kamwe.<br />•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br />Imara hautikisiki,kakamavu halishikiki penzi langu kwako <br />ni nuru daima halizimiki.upo juu katika mapenzi.<br />•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br />Mmmh!mpz cjui n kwann nahamu ya kufaid penz lako kiac <br />hk,?na taman lait ungekuwa krb yang unipme gonjwa hl na <br />unitibu pia.kwan ww ndiye daktar wa pekee n naye mwamin. <br />Nmemic kila k2 toka kwako nahc nazd kuchanganyikiwa kwa <br />ukosef wa penz lako.nakutaman sn wangu laaziz.<br />Nakupenda kipenz cha moyo wangu.<br /> •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• <br />Nakutakia kila la kheri katika maisha yako ya ndoa,wengi<br />watakuambia maneno kila kukicha,lakini nakuambia wapo<br />ambao kwa hakika watakaokuwa wamelenga kutia doa ndoa yako<br />,rafiki yangu kipenzi kwani wengi waitamani ndoa lakini<br /> hawajapata wa kuwaowa<br /> •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• <br /><br /> /"""""""""/!<br /> / %¤ / !<br /> !"""""""""! !<br /> !.........!/<br /><br /> Ndani ya box hili kuna silaha tatu za maisha ambazo ni<br />Aman, Upendo na Furaha, zawadi maalumu kwa watu muhimu <br /><br />kama wewe.''<br /> •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• <br />mpnz wangu ninavyo jua mm huwezi kutupa mawe kwenye mti <br />usiokuwa na matunda mazuri maana hivyo basi tambua ww ni <br />mrembo xanandani ya moyo wangu usiniache pekeyangu kwani <br />na kupenda xana tabua hilo mpnz wangu<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br /><br />upendo sio tigo eti ongea kwa nusu shilingi wala sio voda <br />kazi ni kwako, pia sio airtel jisikie huru bali upendo ni <br />zawadi pekee sana mungu aliyoiweka ndani ya mioyo <br />yetu.hili ni la kuzingatia dear nakupenda sana<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />yakumbuke haya sana katika maisha yako wahurumie wenye <br />kukupenda hasa mwenye pendo la dhati kama langu,wapende <br />wanaokupenda japo kwa chembe ya upendo,thamini pendo la <br />akupendae kwa kila mara japo sekunde moja. <br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />nalia ukiwa mbali, nachukia nisipo kuona ,najuta ninapo <br />kuudhi ,naumia unapo nitenga , nateseka ukiwa kimya <br />,nafurahi ukinikumbuka, nakupnda mpz Figga.<br /> ●´¯`´¯`●¡¡●´¯`´¯`●<br />utamu wa penzi hunogeshwa na pendo la dhati pia utamu wa <br />penzi ni uwepo wangu na wako,ladha yake ni zaidi ya nazi <br />kwenye wali au royco kwenye mchuzi au pilipili kwenye <br />kachumbari, utamu wake ni zaidi ya asali au jam kwenye <br />mkate ,blueband kwenye uji.penzi tamu halina kifani<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />unaweza ukafunga macho kwa usilolitaka kuliona lakini <br />hauwez kufunga moyo wako kwa Unalo Lipenda. Nakupenda <br />Mpenzi<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />upepo wangu wakupuliza wewe kutokana na joto kali <br />usijaribu kwa kuvaa sweta ukapunguza ukali ninachotaka mi <br />nikuwa na wewe naomb unielewe .<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br /> maumivu ya kulipoteza penzi lako ni kubwa,lakini ni <br />makubwa zaidi baada ya kugundua haukuwa yule nileyedhani. <br />inaniuma sana<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />Kuna miezi 12 katika mwaka…siku 30 katika mwezi…siku 7 <br />katika wiki, masaa 24 katika siku…dakika 60 katika saa……<br />lakini wewe ni mmoja tu maishani mwangu.<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />Bongo zenye fikra kali huwa na mawazo, suluhu na sababu; <br />ubongo wa kisayansi huwa na kanuni, nadharia na takwimu; <br />wangu una wewe tu!<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />penzi linaweza kuelezewa kwa namna nyingi. Namna moja <br />niijuayo nikumtumia mapenzi hayo mtu asomaye meseji hii.<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />Kama ningeweza kubadili herufi, ningeweka yangu na yako <br />kuwa pamoja<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />Mapenzi ni nini? Wale wasiopenda huita majukumu, wale <br />wanaoyachezea huita mchezo, wale wasiokuwa nayo huita <br />ndoto, na wale wanaoelewa huyaita mwisho wa safari, na <br />mimi, mwisho wangu ni wewe.<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />Ni mapenzi gani yanayofanya simu yako ilie kila nitumapo <br />meseji?<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />Unaonekana kung’ara leo nilijuaje…….ni kwasababu <br />unaonekana hivyo kila siku<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />Kama mapenzi huweza kukimbiwa kwa kufumba macho yetu tu, <br />basi nisingefunika macho kabisa. Sitaki sekunde ipite bila <br />kukupenda wewe.<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />Nilikuwa nikifiria kwamba ndoto haziwezi kuwa kweli, <br />lakini nilibadili mawazo yangu pale tu nilipokuona wewe.<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />Baadhi ya watu huzaliwa na vipaji. Huweza kufanya mambo <br />mazuri kwa ujuzi wao, lakini hamna anayekufikia wewe, <br />kwani ukinisogelea tu kila kitu huwa kizuri.<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />Mwanamke ni yule amfanyaye mwanamme auhisi uanaume wake, <br />wewe ni mwanamke mwenye sifa hizo.<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />Kukusahau wewe ni ngumu lakini kunisahau mimi ni juu yako. <br />Usinisahau kamwe, unaweza kuisahau meseji hii, lakini si <br />mtumaji.<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />Simu huboa wakati mwingine, kwani ni lazima ufungue meseji <br />na kuzisoma, kuichaji simu kila mara, lakini usichoke <br />kwani ndiyo inayotuwezesha tuwasiliane<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />Maneno huanza na ABC. Namba 123. Muziki na do re mi na <br />mapenzi huanza na mimi na wewe.<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />Mvua na jua haviwezi kuwa pamoja, usiku na mchana <br />hazigongani, lakini mimi na wewe, hata wasemaje, <br />‘tunafiti’ kuwa pamoja.<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />Kuna bahari kati yetu. Misitu na milima inatutenganisha, <br />mimi si ‘Supamani’ lakini nipe sekunde moja nitavuka nchi <br />nyingi kukutumia mapenzi yangu. Umeipata hiyo?<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />Natamani ningekuwa chozi jichoni mwako ambapo ningetelemka <br />na kuishia midomoni mwako, lakini kamwe sitamani uwe chozi <br />jichoni mwangu nitakupoteza kila muda niliapo.<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />Naweza kuishiwa ujumbe wa kukutumia. Naweza kuishiwa utani <br />pia. Naweza kuishiwa chaji lakini moyo wangu hauwezi <br />kukosa nafasi ya kukuweka. <br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />Penzi, maisha yangu yote nimesoma juu ya neno hili, <br />nimeota juu yake, nimelilia, nimelihitaji. Sasa pamoja <br />nawe nimelipata.<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />Kila mtu anataka kuwa jua linalong’arisha maisha yako, <br />lakini ni afadhali niwe mwezi, ili nikuangazie wakati wa <br />giza ambapo jua limechwea na haliangazi tena.<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />Unaweza usione kamwe ni kwa kiasi gani ninavyokujali. <br />Unaweza usisikie ni kwa kiasi gani nilivyokushiba, unaweza <br />usihisi namna gani ninavyokukumbuka. Sababu ni moyo wangu <br />tu uliyoyaficha hayo.<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />Kama busu ni maji ningekupatia bahari, kukumbatia ni <br />majani, ningekupa msitu. Mapenzi ni maisha ningekupa yangu <br />bure.<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />Ni ngumu kwa watu wawili kupendana wanapoishi Dunia <br />tofauti, lakini Dunia hizo zikutanapo na kuwa kitu kimoja, <br />hiyo ndiyo maana ya kuitwa wewe na mimi.<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />Watu husema kwamba, awapo mtu mmoja tu akupendaye, maisha <br />hayajapoteza maana, kwa hiyo, ukijihisi mpweke hauhitaji <br />kuishi nikumbuke mimi.<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />Watu waliniambia ninaweza kufanya chochote kama tu <br />nitaweka mawazo yangu juu ya hicho kitu. Lakini kila <br />nikijitahidi unaipoteza akili yangu<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />Furaha yangu kubwa ni kuliona tabasamu lako, kujua uko na <br />furaha, na kuhisi upendo wako. Najua kuwa maisha mara <br /><br />nyingine huwa ni makatili, na hiyo ni sababu niko hapa <br /><br />kukuonyesha kuwa maisha yanaweza kuwa mazuri kama kuna mtu <br /><br />anayekujali.<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />Chuki huharibu akili; mapenzi huitibu. Umeitibu akili <br /><br />yangu.<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />Kumjali mtu ni rahisi, lakini kumfanya mtu akujali ni <br /><br />vigumu, nashangaa umewezaje kunifanya nikujali?<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />Nitafute wakati una huzuni, nitafute wakati hamna wa <br /><br />kukusikiliza. Sijali kama mimi ni kimbilio lako la mwisho, <br /><br />bali sipendi ulie peke yako.<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />Ningependa siku moja utamani sana kuwa na mimi, na <br /><br />uhangaike sana kunitafuta, ili ujue ni kwa kiasi <br /><br />ninavyotamani kuwa nawe sasa.<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />Kila unachokifanya natamani niwepo, nikitumainia kila <br /><br />ndoto yako itimie kila muda na sehemu, niwepo nikikutakia <br /><br />mafanikio mema kwasababu nakujali.<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />Kama ungekuwa kidonda kwenye moyo wangu, ningekiacha na <br /><br />maumivu yake ndani yangu.<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />Kusumbuliwa na mlio wa simu yako, humaanisha kuwa muda <br /><br />fulani, mahali fulani, kuna mtu anakufikiria muda huu, na <br /><br />huyo ni mimi mara zote nakujali.<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />Nimekuapata! Kama unanichukia, nipige mshale, lakini <br /><br />tafadhali si moyoni sababu hapo ndipo wewe ulipo.<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />Naweza kukuazima mabega yangu upande, masikio yangu <br /><br />usikilizie mikono yangu ushikie, miguu yangu, utembelee, <br /><br />lakini si moyo wangu kwani tayari unao wewe.<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />Lazima utakuwa mwizi sababu umeiba moyo wangu, umechoka <br /><br />sababu unakimbia mara zote akilini mwangu, na labda mimi <br /><br />sina shabaha sababu mara zote nikikulenga nakukosa.<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />Mpenzi kwa mara ya kwanza nilipokuana niliogopa kukuambia, <br /><br />hata nilipokuambia niliogopa kukupenda, nilipokupenda sasa <br /><br />naogopa mno kukupoteza. Kusema kweli siko tayari kukukosa <br /><br />katika maisha yangu.<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />Wanasema mtu huanguka katika mapenzi mara moja, jambo <br /><br />ambalo mimi naliona si la kweli kwa maana kila <br /><br />ninapokutazama najikuta nakupenda tena na tena.<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />Mpenzi wangu kukutana nawe ilikuwa ni bahati, kukuchagua <br /><br />kuwa rafiki yangu ilikuwa ni maamuzi yangu, lakini <br /><br />kuanguka kwenye penzi lako haikuwa hiyari yangu. Umeniteka <br /><br />moyo na akili yangu pia.<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />Imani hufanya mambo yote yawezekane, Matumaini hufufua <br /><br />yaliyopoteza uhai, lakini mapenzi hufanya mambo yote <br /><br />yaonekane mazuri. Sina linalonihuzunisha maishani mwangu <br /><br />kwa kuwa tunapendana!<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />Mpenzi wangu T tambua kuwa ulimwengu tunaoishi una mambo <br /><br />muhimu matatu. Jambo la kwanza ni kumpata umpendaye, la <br /><br />pili ni kupata atakayekupenda la tatu ambalo ni kubwa <br /><br />kuliko yote ni kwa jambo la kwanza na la pili kuungana <br /><br />pamoja.<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />Ni vigumu kumpata mwenye mapenzi ya kweli na zaidi yule <br /><br />atakayekuwa tayari kukupenda zaidi, hivyo nafasi <br /><br />inapopatika si busara kuichezea tudumishe penzi letu <br /><br />laazizi wangu.<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />Nakupenda mpenzi W nafasi uliyotawala moyoni mwangu ni <br /><br />kubwa, hakuna ambaye anaweza kufikia uhodari wako, wewe ni <br /><br />mtu muhimu sana maishani mwangu.<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />Nakupenda sana mwandani wangu ndiyo maana moyo wangu <br /><br />hupatwa kidonda ninaokuona na mwingine hasa anapokuwa hana <br /><br />sifa, nahisi kama anakutumia wewe kama mdori wake wa <br /><br />kumfurahisha. Uwe makini ua la moyo wangu.<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />Nakupenda mpenzi wangu, sifikirii kitu chochote zaidi yako <br />na kwa kuwa nakupenda sipendi kuwa na urafiki hata na <br />msichana kwani atakuwa anabana nafasi niliyokuwekea wewe. <br />Noamba unipende nami nakupenda kila sikunde inayopita <br />maishani mwangu. Mwaaaaaaaaa Figga.<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />Penzi lako ndiyo pumzi yangu nawezaje kukuacha laazizi, <br />ina maana nife??? Siwezi kukuacha nakupenda. Nitakupenda <br />mpaka mwisho wa uhai wangu.<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />Asali wa moyo wangu, fahamu kuwa unaweza kuamini kwamba <br />mwanga wa nyota unaweza kuunguza nyumba, jua linaweza <br />kusimama, lakini usiwaze hata siku moja kuwa naweza <br />kukuacha.<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />Nakupenda sana P tafadhari usinikasirikie, nimekukumbuka <br />nahitaji kukuona unipoze moyo wangu, njooo mwandani wangu <br />nakusubiri daktari wangu.<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />Mpenzi unawafahamu maadui wa mapenzi yetu ? Ni wale rafiki <br />zako wanaokuletea maneno ya uongo, ndugu zako <br />wanaotugombanisha na wachawi wanotuotea mabaya, <br />tujihadhari tusiwape ushindi. Mapenzi yetu yadumu daima.<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />Uchungu wa kifo hauna tofauti na maumivu nitakayoyapata <br />ukiniachana, mpenzi usiniache nami siko tayari kukuacha<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />Watu wanao pendana daima hukumbukana!!! Na salamu <br />kusalimiana!!! Afya njema kutakiana!!! Huruma <br />huoneana!!! Kwenye shida husaidiana!!! Makosa <br />husameheana!!! Katika dhiki huvumiliana!!! Kila <br />jambo zur hupeana!!! Maneno mazur yaliyo jaa upendo <br />huambiana!!! Ushaur mwema hushauriana na njia <br />za mafanikio huonyeshana!!! Mbele ya madui hulindana!!!nai <br />ni mmoja katia ya wakupendao,hakika ni <br />mm wa kwanza kwanza wengine wanafata<br /><br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br /> <br />USikimbie nyuki ukakosa asali, utamu wa samaki ni kula na <br />wali, <br />usizidishe siki akawa mkali. <br />Ni <br />mimi niliye na dhiki nakujulia tu hali. <br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />Kama upendo ni tone la mvua nakutumia <br /> !!!!!<br /> !!!!!<br /> !!!!!<br />Kama furaha ni ua nakutumia maua<br /> <br /><br /> *%*%*<br /> )!(<br /> ( )<br />kama tabasamu ni sekunde nakutumia masaa<br /> . '12' .<br />9 _/ 3<br /> ' <br />.6. '<br />kama maombi ni maji nakutumia bahari<br />-_-_-_-_-_-<br />-_-_-_-_-_-<br />-_-_-_-_-_-<br />kama mafanikio ni majani <br />nakutumia miti<br /> ,:*"*;, ,:*"*;, <br />*;% ,,* *; %,,*<br />__)(__ __)(__ <br />kwasababu nataka uwe na furaha <br />cku zote<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br /><br /> .:""""\_____.-.-._<br />( 0 .-----------'<br /> '---'<br />Tunza ufunguo huu,utautumia kufunga mwaka 2011 & <br />kufungulia 2012. Mungu alizigawa nikakuchukulia na wewe<br />..............................<br /><br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />Mapenzi ni magumu na yatabaki kuwa hivyo, lakini kumbuka <br />kuna akupendaye naye ni MIMI!.<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />Furaha ni kawaida yangu, kununa si busara kwangu, kuishi <br />nawewe vizuri ni sehemu ya Maisha yangu, <br />kukusalimia ni hulka ya Moyo wangu, Uhali gani mpenzi<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br /><br />Fungua macho yako uone kopa za mahaba ninazokumwagia, <br />fungua mikono yako na upokee mapenzi yangu, <br />fungua simu yako uone ni jinsi gani ninavyokukumbuka japo <br />kwa kukutumia sms mpenzi wangu, <br />Nakutakia usiku mwema<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />Utamu wako ni zaidi ya asali, ni wa asili usiohitaji <br />kuongezewa ladha ya sukari, nitaumiss endapo <br />kama ukiwa mbali "NIACHE NIKUPENDE SWEET FIGGANIGGA "<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />Moyo wangu umehifadhi hisia zako, nakuahidi kamwe <br />sintopunguza upendo kwako, tunza sms hii ya <br />ahadi kwenye simu yako, iwe kumbukumbu kila uisomapo! <br />"NAKUPENDA MALAIKA WANGU"<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />Si vibaya mimi kukusifia kwani wewe ni wangu, nivingi <br />umejaaliwa, vinavyouvutia moyo wangu, ama <br />hakika uzuri wako umedhibiti matamanio yangu "SINTOMPENDA <br />MWINGINE ZAIDI YAKO" <br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />Thamani ya Mapenzi yako nikubwa kwangu, haifanani <br />nachochote kwenye huu ulimwengu, sina budi <br />kumshukuru mungu, kwa kunijaalia mpenzi mwema unaejali <br />hisia zangu, USICHOKE KUNIPENDA MPENZI<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />Mpenzi kila tunapokuwa chumbani huwa napenda kuwa mbunifu, <br />huwa najitahidi kuepuka udhaifu, ili <br />mapenzi yangu yasikukifu, ENDELEA KUFURAHIA MAPENZI YANGU. <br />Mchana mwema<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />Wewe ni wapekee ninaekupenda, sifikirii kukusaliti na wala <br />sina wazo la kukutenda, nakuomba <br />tuendelee kupendana siku zote habbity wangu<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />Mapenzi ni matamu napia yana raha, wewe hauni ishi hamu, <br />siku zote wanipa raha, wewe kwangu ni mtu <br />muhimu, unaeng'aa moyoni mwangu kama nyota ya jaha. <br />"NAKUOMBA USINIACHE MPENZI WANgu<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />Pokea sms yangu iliyojaa utamu, nimeipamba kwa maneno <br />laini yenye ladha adimu, utamu wake ni kama <br />apple haufanani na ndimu, nimeituma kwako sms hii ikuletee <br />salamu "UHALI GANI MPENZI?"<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />tazama, nimezama<br />ndani ya bahari<br />la penzi lako<br />siwezi<br />kusonga mbele<br />kurudi nyuma<br />sijielewi<br />haya mapenzi ya fujo hayafai<br />kama wanipenda<br />jaribu kunipa raha<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />ningependa nikuambie neno ambalo halina gharama na <br />liku2miwa vbaya halna maana wala thaman. neno hlo <br />haliandikiki kwenye karatasi wala hata halitamkiki ila 2 <br />Linatokea Bila Kujua Na Halina 7bb.neno Hlo Mi Mwenyewe <br />Silijui Ila Ndo Lina2fanya 2we Pamoja Japo 2po Kas Na Kus. <br />Nakupenda Xana Dia<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />Mungu akubariki uwe mwiz wa ujuzi na maarifa, mlafi wa <br />kushauri, mroho wa busara, mchoyo wa matusi, mlevi wa <br />upendo na kiherehere cha kuabudu.say Amen! Ucku mwema <br />mpenz<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />Ckia ckupend, cktaki na wala ckhitji tena ww ni kikwzo <br />ktka maisha yangu ucnizoee! Mwmbie shtan maneno hya kabla <br />hjalala.g9t<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />pindi nikukumbukapo chozi langu huwa linatoka bila <br />sababu,kasi Ya mapigo ya moyo Huongezea Pasipo <br />Sababu,nimegundua Nakuhtaji Naomba Unikubalie.<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />pendo la dhati lina sifa <br />zifuatazo,kuvumilana,kusubiriana,kujaliana,kushauriana,na <br />La Mwisho Ni Mimi Na Wewe.<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />Neno Nakupenda Hutamkwa Kwa Lugha Legeeevu Yenye <br />Kuambatana Na Hisia Nzito Zilizofikicha Mioyoni <br />Mwetu,hutamkwa Kwa Kauli Bashasha,nakshi Na Hofu Ndani <br />Yake.raha Yake Umpate Anayekujali Kama Mi Ninavyokujali <br /><br />Nakupenda Mpz <br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />Napenda Kuiga Na Kujifunza Nisivyovijua Lakini Kukupenda <br /><br />Wewe Siwezi Kuiga Wala Kujifunza. Nakupenda Saaana<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br /> ahsante mpz kwa kujua thaman yangu kwako,nashukuru <br />umegundua hisia zangu mapema naomba unipe hifadh ya kudumu <br />ndani ya wigo wa mtima wako.<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />Nakupenda zaidi ya Armasi inayo chimbwa ardhin,sipendi <br />nikupoteze nikajutia Moyoni,naitaji nikuenzi,km mboni yng <br />machoni.<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />Naitaji kuku enzi na si nikutoe machozi,sababu we ndo <br /><br />wangu kipenZ,na sina mwengine lahazz.<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />Mapenz yk hasari kwa mwengine sitamani,umeniteka <br />akiri,mpaka najihisi punguani,nakupenda sana mpenzi!!<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />Ewee wangu wa huba,mwenye tabasamu la mahaba,hakika <br />n/penda, kwa mwengine sito kwendaaa....!!!<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />Wangu hayuni mwenye upendo wa dhati,hakika <br /><br />nakupenda,mwengine sitamani,hamin mpenz kwa zangu hiz <br />tenzi..!<br /> *°·.¸¸.° °·.¸¸.°*<br />Moyo hauna nafasi kwa pendo lilo na nia, sijali <br />wala sihisi kwako nimejitolea, kwangu toa<br />wasiwasi sishindwi kukuridhia, kwa yangu hii <br />nafasi moyo umekuchagua<br />..............<br />Moyoni mwangu hutoki nakuomba ukubali, nawala <br />sibadiliki hilo kwangu ni muhali, si km <br />sikukumbuki zimenijaa shuhuli, ww kwangu si <br />rafiki ni ndugu nnaekujali<br />.........<br />Ewe ulo2lizana chaguo la moyo wng kila <br />nnapokuona huniondoka machungu tabia zako <br />mwanana zmeuteka moyo wangu yoyote atakaekuona <br />mwambie ww ni wangu<br />.......<br />Moyo unasikitika hauto acha daima. Machozi <br />yatiririka siusiku si mchana. Huzuni imenishika <br />kwa vile sijakuona <br />.........<br />ndege tausi alimuuliza kasuku "hivi kuna viumbe <br />wazuri kuliko sisi duniani?"kasuku akajibu,ndio <br />wapo kama hujui mtizame huyu anayesoma msg hii<br />...........<br /> Giza ndiyo laingia natamani ungekuwepo<br />nipate kukumbatia, hakika nimechoka mto<br />kukumbatia nakukesha ndotoni nikikufikiria, <br />nakumiss dear fanya hima nyumbani<br />kujongea wazazi wapate kukutambua! Nakupenda <br /><br />dear<br />.........<br />Penzi langu maarufu nakupa unienzie, Tena ni <br />penzi nadhifu hilo lazima ujue, Wala si penzi <br />la khofu wasiwasi likutie, Ni penzi la insaaf <br />nampa nimpendae,Kama kupenda mauti kwako <br />nitayarikufa,kama kupenda maradhi dawa kwako <br />natafuta, kama kupenda bahati mwenzako <br />naitafuta ,naomba nipe nafasi mwenzako nataab <br />Na wala sitampa mwengine anayefanana na wewe<br />........................................<br /> UPENDO si ndege ukaonekana angani, <br />UPENDO si tunda lichumwalo mtini,<br /> UPENDO si wimbo ningekuimbia, <br />UPENDO si vazi ningekushonea,<br /> UPENDO si picha yangu<br /> ningekutumia bali<br /> UPENDO ni thamani iliyoko<br /> moyoni mwangu.<br /> nakupenda na nakutakia <br />usku mwema.<br />.......................<br /> salaam ni <br />1,nuru humfariji aliye na huzuni <br /> 2 ni jahazi huvusha aliye ng'ambo <br /> 3,pia ni nuru huangaza gizani,<br /> wewe ni lulu yangu nakupenda xana,<br />......................<br /> "Umbali si shari ila kujua hali ni mali",<br /> "jambo la wema ni asali ukimya ni ajali", <br />"japo nipo mbali thamani yako kwangu ni kama medali"<br />I LOVE U<br />................................<br /> Nikwambie ki2? Kuna m2 nimetokea kumpenda,,,,<br /> STATISTICS ya tabia yake ni ana RELATION nzur na wa2,<br /> SERIES ya maisha yake ni PROBABILITY kuijua,<br /> ila napenda jinsi anavyo CORDINATE na wa2,<br /> nafurah kwa kuwa naongea nae SIMULTANEOUSLY,<br /> ila naamin ubongo wake una FUNCTION atajua <br />kuwa nampenda yaan nahic kama niko<br /> kwny CIRCLE kwan najitahd kumpuuza<br /> lakin is very long MATRIX .<br />Nafikir <br />ushamjua kwan shep yake ni SIMPLE POLYGON<br /> namzungumzia MATHEMATICS!! Chezea<br />...............................<br />Naitaji kuku enzi na si nikutoe machozi,<br />sababu we ndo wangu kipenZ,<br />na sina mwengine lahazz.<br />..............................<br />wee wangu wa huba,mwenye tabasamu la mahaba,<br />hakika n/penda, kwa mwengine sito kwendaaa....!!!<br />...........................<br />Nashndwa kulala haja ya moyo wng <br />naijua machoz hayansh homa ya mapenzi naugua<br />...................................<br />Usiku wa leo uwe ni wenye faraja kwako,<br /> utawaliwe na<br /><br />usingizi wa mahaba kwenye kope zako,<br /> naomba<br /><br />ujenge taswira yangu katika mawazo yako,<br /> Usisahau kuniota<br />sweet wangu. USIKU MWEMA<br />......................<br />Asali wa moyo wangu,<br /> fahamu kuwa unaweza kuamini kwamba<br /> mwanga wa nyota unaweza kuunguza nyumba,<br /> jua linaweza kusimama, <br /><br />lakini usiwaze hata siku moja kuwa naweza kukuacha.<br />*°·.¸¸.° ? °·.¸¸.°*<br />Nakupenda sana P tafadhari usinikasirikie,<br />nimekukumbuka nahitaji kukuona unipoze moyo wangu, <br />njooo mwandani wangu Figga<br /><br />nakusubiri daktari wangu.<br />*°·.¸¸.° ? °·.¸¸.°*<br />Mpenzi unawafahamu maadui wa mapenzi yetu ?<br /> Ni wale rafiki zako wanaokuletea maneno ya uongo,<br /> ndugu zako wanaotugombanisha <br /><br />na wachawi wanotuotea mabaya, tujihadhari tusiwape ushindi.<br /> Mapenzi yetu yadumu daima.<br />*°·.¸¸.° ? °·.¸¸.°*<br /> "Umbali si shari ila kujua hali ni mali", <br />"jambo la wema ni asali ukimya ni ajali", <br />"japo nipo mbali thamani yako kwangu ni kama medali"<br />I LOVE U<br />.....................................<br /> Nikwambie ki2? Kuna m2 nimetokea kumpenda,,,, <br />STATISTICS ya tabia yake ni ana RELATION nzur na wa2,<br /> SERIES ya maisha yake ni PROBABILITY kuijua, ila napenda<br />jinsi anavyo CORDINATE na wa2, nafurah kwa kuwa naongea<br /> nae SIMULTANEOUSLY, ila naamin ubongo wake una FUNCTION<br /> atajua kuwa nampenda yaan nahic kama niko kwny CIRCLE <br />kwan najitahd kumpuuza lakin is very long MATRIX .<br />Nafikir ushamjua kwan shep yake <br />ni SIMPLE POLYGON namzungumzia MATHEMATICS!!<br /> Chezea<br />................................<br /> Katu si kila rafiki ni msafi<br /> wa moyo. Wengine ni wanafiki <br />wanakuonea choyo. Hutamani<br />ufariki wachukuwe upendayo. <br />Hawa hawafadhiliki husda ni <br />kazi yao, kila unachomiliki<br />hutamani<br /> kiwe chao. lau kama husadiki <br />jaribu kukaa nao.Mchana mwema.<br />..........................<br /> Ewe sms nenda kwa huyu mtu wangu wa karibu ukimkuta <br />amechoka mpe "POLE" ukimkuta mpweke"MLIWAZE" ukimkuta<br /> anahuzun muulize kwa nn akikupa jibu "MTATULIE"<br />............................<br /><br />Uliposema wanipenda sikuamini ipo siu utaja nitenda!, nilikueleza nini napenda nawe ukaapa yote kutenda kwakuwa wanipenda, leo umebadirika waanza nitenda, hivi kweli bado wanipenda??<br /><br /> •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br /><br />Ulipolihitaji langu penzi ulidiriki hata kulimwaga chozi leo umepata langu penzi waniletea pozi, siwezi lazimisha penzi pasipo na penzi, amini nilikupenda ila nimeshindwa na zako pozi, nakutakia maisha mema na huyo wako mpya mpenzi. Be blessed..!!<br /><br /> •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br /><br />Hakika uliuteka moyo wangu, nikaamini u wangu peke yangu, nikaziba masikio yangu yote niliyoambiwa na rafiki zangu, kumbe naidanganya nafsi yangu. Its over baby!<br /><br /> •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br /><br />Hivi kwanini kila siku mimi nimekuwa mtu wa majonzi, niliamini we ndiye wakunifuta machozi kumbe zilikuwa njozi, siamini kama umeniongezea majonzi, asante sana mpnz!<br /><br /> •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br /><br />Tangu nilipokufunulia pozi waniletea, mawasiliano yamepotea na kila tupangapo mihadi kwako huwa ngumu kutokea, niweke wazi nijue kama ndiyo mwisho wa penzi letu<br /><br /> •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br /><br />Hakika mpenzi nimechoka kuvumilia kila siku naishia utamu kuuckilizia njozini unaponijia, najiuliza lini utanivulia niachane na ndoto tele ndotoni zinazonijia?<br /><br /> •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br /><br />m?y?ni naumia kila napofikiria yale uliyonitendea,<br /><br />sijui ni nini nilikukosea kama mapenzi ya dhati naamini nilikupatia na moyoni nilikuwa najivunia na kujiona zaidi ya mfalme katika hii dunia kumbe kiini macho ulikuwa wanifanyia leo najutia muda ulionipotezea kumbuka nilikupenda<br /><br /> •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br /><br />kama kuvumilia nimevumilia na sasa yatosha,<br /><br />nikoradhi mbivu zako kuzikosa,<br /><br />kuliko kuendelea kujitesa,kumbuka nilikupenda<br /><br /> •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br /><br />nimeamua kwenda kwani sihitaji kukutenda,penzi la<br /><br />dhati nilikupa lakini hukutambua kuwa nakupenda<br /><br /> nakutakia maisha mema na utakaye mpenda<br /><br /> •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br /><br />Ama kweli!vizuri havikosi kasoro ,mapenzi yetu kutwa<br /><br />hayaishi migogoro,hivi sasa giza limetanda totoro<br /><br /> sijui lini tutamaliza hii migogoro?<br /><br /> •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br /><br /> Ulisema wanipenda na katu kwa mwingine hutokwenda na leo umenitenda! Umeamua kwenda ingawa wajua bado nakupenda, leo ni siku kenda toka umekwenda, amini bado nakupenda na kwa mwingine siwezi kwenda!<br /><br />•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br /><br />Kila siku mimi ni mtu wa kulia, ipo siku uvumilivu utaniishia, hivi ni kwa nini hutaki kutulia na kila kitu nimekupatia, wewe wehuka na hao wanaokupapatikia, lakini utaja jutia siku ikiwadia.<br /><br />•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br /><br />· Nilidhani nimepata kumbe nimepatikana, sasa nafsi yangu ishasema hapana, namuomba Maulana akujalie kheri na afya njema daima, kumbuka nilikupenda sana.<br /><br />•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br /><br />Hakika najutia nafsi yangu kukupatia mwanaume kiruka njia kila mwanamke wewe akuvutia, nguo shuruti wataka akuvuliye, katu penzi sitakaa nikupatiye.<br /><br />•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br /><br />Mpenzi mbona mapenzi yetu kama yanapoteza dira, kila siku huishi hila, kitu<br /><br />kidogo wafura hasira. Wanichanganya dia!<br /><br />•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br /><br />Najua ni kweli wanipenda,hata mimi nakupenda laaziz wangu,ila pendo lako litajidhihirisha zaidi kangu ukizidisha uaminifu.nakupenda mpenzi<br /><br /> •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• <br /><br />Wewe pekee upo moyoni mwangu, nitaendelea kukupenda siku zote za maisha yangu! Katika siku hii ya wapendanao, wewe ndiyo ua la moyo wangu!<br />•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• <br /> Najua una majonzi kwa kuwa uliyempenda kakumwaga machozi kwa kukuacha ungali <br />walihitaji penzi lake, nimekuja mwokozi kukufuta machozi kwakukupa la dhati <br />penzi. Nakupenda mpenzi amini sitalimwaga lako chozi, na daima nitakuenzi.<br />•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br /><br />Leo tukiwa katikati ya mwezi wa kumalizia nusu ya kwanza ya mwaka 2013, nachukua fursa hii kuwatakia MAFANIKIO BORA ya MAISHA wale wote wanaonipa ushirikiano mzuri katika maisha yangu..<br />Kila niliposoma sms zako zenye nasaha nyingi niligundua mambo makubwa matano.<br />1:KUNIJALI<br />2:UPENDO<br />3:FURAHA<br />4:WEMA<br />5:KUTHAMINI<br />Nilipogundua hayo nilifarijika na nikayaona MAISHA ni ya maana sana kwangu, pia sikuhisi UPWEKE wa kukosa NDUGU katika huu uso wa DUNIA pia nakuomba unisamehe pale nilipokukosea.<br />Hivyo nami nakutakia mambo makubwa matatu kwa MUNGU;<br />1. RADHI ZAKE<br />2. HAIBA KWA WATU<br />3. MAFANIKIO MEMA. "asante sana"<br />•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• <br /> moyo wangu saafi kama upole wa tausi wingi wa baridi kama maji ya mtungi ,yote ni kutokana na mapenzi unayonipatia.<br />•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• <br /> Mapenz hayana msimu walam majira isipokuwa ni kama majani yaotayo popote kwani siyo mimi ni msukumo na hisia zangu. Nakupenda sana<br />•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br />nashindwa kudanganya moyoni ulivyonijaa<br />faraja na furaha uliyonipa<br />moyoni umeshaniingia kwa tabasamu unalonipa<br />moyo wangu wakuridhia. <br />•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br />Raha ya ndege kichaka si tunduni asilani, RAha ya ndege mpunga na wala sio majani, Raha ya ndege kuruka na kuimbia angani, Ndege salam nakupa zipeleke kwa makini, iwapo hukumkuta msubiri mlangoni, Usije ukaondoka ingia mpaka ndani, mwambie namkumbuka japo kuwa simuoni <br />•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br /> Ewe sms nenda kwa huyu mtu wangu wa karibu ukimkuta <br />amechoka mpe "POLE" ukimkuta mpweke"MLIWAZE" ukimkuta<br /> anahuzun muulize kwa nn akikupa jibu "MTATULIE"<br />•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• <br /> Udugu wa kweli ndio wenye thamani,<br />Utajiri<br /> na mali si chochote maishani,<br />Upendo na <br />kunijali ni faraja yangu moyoni,<br />Hata kama<br /> upo mbali bado nakuthamini, Salam ni amani<br /> kwa yule aijuae,<br />Salamu ni sunna kwa yule<br /> aitoae,<br />Salamu ni thawabu kwa yule aitikiae<br />,<br />Na mimi nasema "Asalam Alykum"<br /> •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•<br />Alikosa raha ulipougua! alipigana na kutukanwa ulipoonewa, alikaa na njaa ili ww ushibe na kufurahi. Aliakikisha halali mpaka ww ulale, na kikubwa zaid mimi na wewe tusingejuana wala kupendana bila yeye, Je unamjua huyu? Si mwingine ni MAMA. KUMBUKA PEPO ZETU ZIKO CHINI YA NYAYO ZA MAMA ZETU. (MPENDE SAANA MAMA)<br />AKIWA HAI MLIWAZE NA KM AMEFARIKI USIACHE KUMUOMBEA DUA. <br />................<br />Ee' kidole changu (jinalo index ka'skosei). . . Ni lini utavaa pete kuthibitisha ushakwalifai leseni ya kuishi na Binti Beyo nimpendae kwa dhati tokea kilindini? <br />...................<br /> "%%%,,"Nina",,%%%,,"busu"%%%,,"tam"%%%,,"kwa"%%%,," ajili"%%%,,"yako"%%%,,"haya"%%%,,"% %%",,"fumba"%%%,,"macho"%%%",,"bac"%%%,,"nikubusu"%%" 1__2__3aah" umevunja"%%%,,",,"masharti"%%%,,",,"bado"%%%,,",,",,","unasoma"%%%,,",, "sms"%%%,,"%%%,," nimeairisha"%%%,,"siku"%%%,,"busu",,"tena"%%%,,"%%%,,"labda"%%%,,"%%%,,"kesho"%%%,,"I "LOVE,,",,"YOU"%%%%%FIGGANIGGA%%%%%%%%%<br />........................... <br />.*""* . *""*.<br />* ""I-""L-""O<br /> "*.""V""E"*<br /> "*.U*" <br /><br />Hii ni mizani ya mapenzi, wengine hutoa mali au zawadi, mimi natowa moyo wangu kwako.Je ww unatoa nini ?<br />...........................<br />Kwenye ubongo nimekusevu "I LOVE YOU," na moyoni nimeandika "ONLY YOU," na kila nimuonae nasema "NO ONE LIKE YOU," wala cogopi kusem I'm "CRAZY" for you,every "SECOND" I think about "YOU" so napenda uamini "ME" for "YOU," nice tym"MY DEAR" MWAAAAAAA!!!!pls kiss 4me ok<br />............................<br /><br /> Kila nilipoona msg yako ndani yake niligundua mambo makubwa manne. 1/ KUNIJALI,<br />2/ UPENDO<br />3/ FURAHA <br />4/ WEMA. Nilipogundua hayo nilifarijika na nikayaon<br />............................<br />Nimepanda gari la "KUKUPENDA" Nimefika kituo cha "KUKUWEKA" (moyoni) Ghafla nikapata ajali mbaya ya kuwa mbali "NAWE", Nimelazwa hospital ya "KUKUMISS" (100%) Nimeandikiwa sindano za "KUKUWAZA" / kila saa,,, Nimetundikiwa dripu ya "UAMINIFU" na nimepewa dawa za kunizuia kumpenda "MWINGINE" zaidi yako!!(.....)<br />...........................<br /> napenda wali nyama , ugali mchicha, pia roast nyama na supu mchemsho ila vyote sipendi zaidi ya ninavyokupenda.<br />..................... <br />Sasa nimegundua DAWA ya MAISHA! N kulipiza VISASI yaani: Ukinichukia NAKUPENDA Ukiniudhi NAKUFURAHISHA, Ukinisahau NAKUKUMBUKA, ukikaa kimya NAKUSALIMIA! MAMBO?<br />..........................<br /><br /> Salamu ni moyo ktk "IMANI". Salamu ni uhai ktk "UPENDO". Salamu ni ufunguo wa "RIZIKI" salamu ni chakula cha "NAFSI" salamu ni "MSAMAHA" wa kudumu milele. Salamu ni kinga ya maradhi" salamu huondosha "UADUI" Hakika salamu ni"UTAKASO" wa "NAFSI". Nami nakupa wewe niliyekutunuku. **<br />.............................<br />Mapenzi ni matamu napia yana raha, wewe hauni ishi hamu, siku zote wanipa raha, wewe kwangu ni mtu muhimu, unaeng'aa moyoni mwangu kama nyota ya jaha. "NAKUOMBA USINIACHE MPENZI WANGU"<br />...................<br />Dhamira kuu ya Moyo wangu ni Mapenzi, kukupenda kwa dhati bila kipingamizi, kuishi nawewe kihalali kwa kudra za wazazi, Nipende nikupende Tudumishe Mapenzi. "NAKUTAKIA MCHANA MWEMA MPENZI WANGU"<br /><br />..............<br />Siku niliyokutana na wewe kwa mara ya kwanza haiwezi kufutika mpenzi, ilikuwa siku nzuri sana kwangu, siku ya kutambulisha hisia zangu kwako! Ukanipokea na kunikaribisha moyoni mwako! Hakika nakupenda sana mpenzi wangu!<br />.........................<br />Samahani mpenzi kwa kukupa habari mbaya! Nimepata ajali ya MOYO, nimelazwa wodi ya MAPENZI, Daktari kaniandikia vidonge aina ya BUSU, nimetafuta katika maduka yote ya dawa nimekosa! Je, wewe waweza kunipatia mpenzi wangu?<br />..................<br />Kila chozi likidondoka linaandika jina lako, kila waridi nilipandalo latoa harufu yako, kila moyo udundapo hutaja jina lako, nakupeda mpenzi wangu wa ubani, kukusaliti siwezi asilani!<br />......................<br />Bongo zenye fikra kali huwa na mawazo, suluhu na sababu; ubongo wa kisayansi huwa na kanuni, nadharia na takwimu; wangu una wewe tu!<br />.....................<br />Kama mapenzi huweza kukimbiwa kwa kufumba macho yetu tu, basi nisingefunika macho kabisa. Sitaki sekunde ipite bila kukupenda wewe.<br />...................<br />Naweza kukuazima mabega yangu upande, masikio yangu usikilizie mikono yangu ushikie, miguu yangu, utembelee, lakini si moyo wangu kwani tayari unao wewe.<br />.......................<br />Lazima utakuwa mwizi sababu umeiba moyo wangu, umechoka sababu unakimbia mara zote akilini mwangu, na labda mimi sina shabaha sababu mara zote nikikulenga nakukosa.<br />.................<br />Mpenzi nakupa pole sana maana nimesikia habari mbaya kwamba unatafutwa na polisi kwa kosa kubwa sana ambalo huwezi kulikana na lina ushahidi wa kutosha kwamba unatuhumiwa kuiba moyo na mawazo yangu kiasi cha kunijeruhi mawazo yangu hadi sasa naonekana kama chizi.<br />........................................................................<br /> STORY NZURI<br /> YA UPENDO <br /><br />Kulikuwa na vipepeo wawili waliokuwa wanapendana sana, siku 1 waliamua kucheza mchezo wa mahaba. Waliweka ua na walipanga kesho ambaye atakuja mapema na kukaa juu ya UA, atakuwa anampenda mwenzake zaidi. Asubuhi kipepeo dume alienda mapema sana na kukaa juu ya UA.<br />Masikini kumbe jike alifika tangu jana kumwonesha mpenzi wake ni jinsi gani anavyompenda...!!<br />Jee...!! wewe, utamuonesha nini umpendaye ili aone ni kiac gani<br />.......................<br /> Tunda gani liwe mfano wako? Hamna ! Ladha gani ishinde ukarimu wako? Hamna! Ni nani nimfananishe na wewe? Hakuna! najickia furaha kukutakia uck mwema<br />..........................<br /> Kwenye ubongo nimekusevu "I LOVE YOU," na moyoni nimeandika "ONLY YOU," na kila nimuonae nasema "NO ONE LIKE YOU," wala cogopi kusem I'm "CRAZY" for you,every "SECOND" I think about "YOU" so napenda uamini "ME" for "YOU," nice tym"MY DEAR" MWAAAAAAA!!!!pls kiss 4me ok<br />........................<br /> Kila nilipoona msg yako ndani yake niligundua mambo makubwa manne. 1/ KUNIJALI,<br />2/ UPENDO<br />3/ FURAHA <br />4/ WEMA. Nilipogundua hayo nilifarijika na nikayaona MAISHA ni ya Maana pia sikuhisi UPWEKE wa kukosa NDUGU katika huu uso wa DUNIA.Mm nakutakia mambo makubwa matatu kwa MUNGU<br />1/ RADHI ZAKE,<br />2/ HAIBA KWA WATU <br />3/ MAFANIKIO KATIKA KAZI ZA MIKONO YAKO.USIKU,,MWEMA,<br />..........................<br /> Nakupenda sana .Tafadhali nionyeshe mapenzi ya kweli kila mara na sio kwa msimu. Ningependa unishike kila mara, uniguse, unikumbatie kila wakati. Mimi ni msaada mkubwa sana kwako, nibusu popote utapokuwa nami usiniogope hakuna mtu wa kukushangaa,, nichukue hata ukiwa safarini sitalipa nauli. Kwani sina gharama kwako, hata kwenye mfuko wako wa nguo nitakaa. Nitumie kila unapojihisi upo mpweke sitaacha kukupa faraja, ni mimi mpenzio wa ukweli 'QUR-AN,,NAKUTAKIA,,RAMADHANI,,KAREEM,,USIKU,,MWEMA!!!!<br />..........................<br /> "%%%,,"Nina",,%%%,,"busu"%%%,,"tam"%%%,,"kwa"%%%,," ajili"%%%,,"yako"%%%,,"haya"%%%,,"% %%",,"fumba"%%%,,"macho"%%%",,"bac"%%%,,"nikubusu"%%" 1__2__3aah" umevunja"%%%,,",,"masharti"%%%,,",,"bado"%%%,,",,",,","unasoma"%%%,,",, "sms"%%%,,"%%%,," nimeairisha"%%%,,"siku"%%%,,"busu",,"tena"%%%,,"%%%,,"labda"%%%,,"%%%,,"kesho"%%%,,"I "LOVE,,",,"YOU" %%%%FIGGA%%%<br />........................<br /> Nimepanda gari la "KUKUPENDA" Nimefika kituo cha "KUKUWEKA" (moyoni) Ghafla nikapata ajali mbaya ya kuwa mbali "NAWE", Nimelazwa hospital ya "KUKUMISS" (100%) Nimeandikiwa sindano za "KUKUWAZA" / kila saa,,, Nimetundikiwa dripu ya "UAMINIFU" na nimepewa dawa za kunizuia kumpenda "MWINGINE" zaidi yako!<br />.........................<br /> Neno "ASUBUHI NJEMA" ni dogo sana lakini huwezi kulipata kwa asiye kujali, kukukumbuka na kukupenda, lakini mimi naona umuhimu wa kukutakia<br />"ASUBUHI NJEMA. JE, UMEAMKA SALAMA? si lazima ujibu kwa meseji! hata ukitabasamu na kutikisa kichwa tu inatosha! Asubuhi njema.<br />........................<br /> AJABU YA PENZI:<br />1. Penzi sio UGONJWA lkn linauguza!<br />2. Penzi sio MSIBA lkn linaliza!<br />3. Penzi sio HARUSI lkn lafurahisha!<br />4. Penzi sio SUMU lkn linaua!<br />5.Penzi c MATESO lkn linatesa!<br />6. Penzi c KIDONDA lkn linatonesha!<br />7. Penzi c CHEO lkn laheshimiwa!<br />8. Penzi c MALI lkn linalindwa!miss u.<br />.......................<br />ITAKUA" Kama "NDOTO" Pale "MOYO" Wangu Utakapozima Kama "MSHUMAA" Uliopulizwa Kwa Upepo. Utatamani Niamke Angalau Usikie "SAUTI" Yangu Lakini Utakuwa Tayari Umeshachelewa. "KILIO, HUZUNI, SIMANZI Na MAJONZI" Zitakuwa Zimetanda Katika Kuta Za "MOYO" Wako. MACHOZI" Yatakutoka Kila Utakapokumbuka UCHESHI Wangu Na Moyo Utakuwa Mpweke Kila Utakapoiona NAMBA Yangu Kwenye Simu Yako. Utatamani Uifute Ila Roho Itakuuma Kwa Kuwa Umenizoea. Hivyo Jaribu Kufurahia uwepo wangu angali nipo hai.tusameheane hakika sisi nibinadamu hatujakamilika.hakuna ambaye sio mkosefu"J.pili njema Hny.<br />........................<br />chozi langu adimu ila wewe waeza litoa,kilio changu cha msimu ila ww waeza niliza,nakupenda xana<br />.......................<br /> chozi ni kimiminika chenye ladha,hutoka kwa sababu fulani au kuajili ya mtu fulani,kwangu mie chozi langu la tiririka bila sababu kila ninapo kuona,nashindwa kuelewa kwanini ?wakati najua chozi halitoki bila sababu,baada ya kutafakari kwa mda niligundua pendo la dhati nililo nalo kuajili yako ndilo hunifanya niwe katika hali hiyo.<br />........................<br />***Pasipo na SALAMU hapana UPENDO***.<br /><br />***Pasipo na UPENDO hapana AMANI***.<br /><br />***Pasipo na AMANI hapana IMANI***.<br /><br />***na bila ya IMANI huingii PEPONI***<br /><br />Kama unayasadiki maneno haya mpe SALAMU yule unaye mpenda na unayemjali.<br /><br />Mimi ninakupenda na ninakujali ndio maana ninakusalim<br />na kukutakia asbh njema <br />...............<br /> => Wahenga walisema;<br />" Salamu ni Nusu ya kuonana "<br />=> Wenye Hekma wamesema;<br />" Raha ya Salamu ni Kusalimiana "<br />=> Waungwana nao wamesema;<br />" Ukipata Salamu, kamata Kalamu "<br />=> Hao wote waliona Umuhimu wa Salamu, na ndio maana wakavumbua Misemo mbali mbali kwa ajili ya kuzidisha :-<br />=> URAFIKI,<br />=> UNDUGU, baina ya watu wanaosalimiana.<br />=> Nami kwa kulijua hilo, nafanya Hima kukusalimia ndugu yangu kwa kusema <br />:UHALI GANI?<br />......................<br /> Nalia ukiwa "MBALI" nachukia nisipo "KUONA" najuta ninapo "KUUDHI" naumia unapo"NITENGA" nateseka ukiwa "KIMYA" ninafurahi "UKINIKUMBUKA. UCKU MWEMA Hny.<br />.......................<br />Kabla ya ndoa mambo huwa hivi;-<br /><br />MME: Natamani sana iwe hivyo.<br />MKE: Vipi, wataka niondoke?<br />MME: Hapana hata kidogo.<br />MKE: unanipenda? <br />MME: Ndo maanake.<br />MKE: Utakuwa na mpenzi mwingine zaidi yangu?<br />MME: Siwezi huo upuuzi.<br />MKE: Utanibusu milele?<br />MME: Kila mara.<br />MKE: Je, utanipiga?<br />MME: Aaaa haiwezi tokea.<br />MKE: Naweza kukuamini?<br />MME: Naam.<br />MKE: Jamani mpenz!!<br /><br />Na pia ukitaka kujua baada ya ndoa mambo huwaje?. Anza kusoma sms hii kuanzia chini kwenda juu.<br />.........................<br />AJABU YA PENZI:<br />1. Penzi sio UGONJWA lkn linauguza!<br />2. Penzi sio MSIBA lkn linaliza!<br />3. Penzi sio HARUSI lkn lafurahisha!<br />4. Penzi sio SUMU lkn linaua!<br />5.Penzi c MATESO lkn linatesa!<br />6. Penzi c KIDONDA lkn linatonesha!<br />7. Penzi c CHEO lkn laheshimiwa!<br />8. Penzi c MALI lkn linalindwa!miss u.<br />..........................<br /> ITAKUA" Kama "NDOTO" Pale "MOYO" Wangu Utakapozima Kama "MSHUMAA" Uliopulizwa Kwa Upepo. Utatamani Niamke Angalau Usikie "SAUTI" Yangu Lakini Utakuwa Tayari Umeshachelewa. "KILIO, HUZUNI, SIMANZI Na MAJONZI" Zitakuwa Zimetanda Katika Kuta Za "MOYO" Wako. MACHOZI" Yatakutoka Kila Utakapokumbuka UCHESHI Wangu Na Moyo Utakuwa Mpweke Kila Utakapoiona NAMBA Yangu Kwenye Simu Yako. Utatamani Uifute Ila Roho Itakuuma Kwa Kuwa Umenizoea. Hivyo Jaribu Kufurahia uwepo wangu angali nipo hai.tusameheane hakika sisi nibinadamu hatujakamilika.hakuna ambaye sio mkosefu"J.pili njema Hny.<br />.......................<br /> Mpita njia kashkwa na kiu kaenda kuomba maji jiran,dogo akampa maziwa jamaa akanywa akasema kiu bado,dogo akampa tena glasi ya maziwa,jamaa akauliza mna maziwa mengi? Dogo akamjibu si hatuyataki kwani jana panya alidumbukia, jamaa kusikia hivyo akashtuka akaangusha glasi,basi dogo akaita mamaa mgeni kavunja ile glasi ya bibi ya kutemea mate!!! Jamaa akazimia...aa!!<br />.........................<br /> ingekuwa upendo unauzwa nisingekuuzia kamwe,ingekuwa pendo ni mwandiko ningeandika counte nzima,ingekuwa pendo ni wino hakika kalamu yangu isiyoisha,ingekuwa pendo ni kisima maji kisimani kwangu kwa ajili yasingekauka.nakupenda hny<br />...........................<br /> pendo ni mwandiko mzuri wenye vina ya kimapenzi,kwa utajo wake ni wenye kutamkwa vizuri,kwa uzuri wake hutufanya tupendane xana,acha nikupe mwandiko wangu nakuomba uuthamini. <br />.........................<br /> Wagunduzi walifanya hivi kujua asali ni tamu walionja kwa ulimi, vile vile shubiri kujua kama ni chungu walionja kwa ulimi. Lakini wanasema mapenzi ni matamu zaidi ya asali na ni machungu kuliko shubiri. Je.? Unaweza kuniambia waliyaonja vipi kabla ya kujua?<br />........................<br /> Udugu wa kweli ndio wenye thamani,<br />Utajiri na mali si chochote maishani,<br />Upendo na kunijali ni faraja ya moyoni,<br />Hata kama upo mbali bado nakuthamini, Sa(.....)<br />..........................<br /> "UPENDO" <br />haupandwi ardhini, "UPENDO"<br />hauoti baharini,<br />"UPENDO"<br />haununuliwi dukani,<br />"UPENDO"<br />hauna ushauri,<br />"UPENDO"<br />haufundishwi darasani,<br />bali"UPENDO"hutoka ktk moyo wa mtu.<br />Na ni tabia ya mtu aliyozaliwa nayo toka kwa"MUNGU". na kudhihirisha hilo Napenda Kuktakia USKU MWMA.<br />..........................<br />mimi ni mkimbizi wa mapenzi na nimekimbilia kwako,sikwenda mwingine wewe ndiye chaguo langu,nipe hifadhi moyo mwako mwenzio sinayo hali. nihifadhi peke yangu nami nitakuhifadhi moyoni mwangu.<br />.........................<br /> nakutakia usiku mwema kwako wewe wangu kipenzi,uote njozi njema,na uniote nami pia., usiku huu uwe wenye baraka kwako nami dua kukuombea,malaika wa kheri wazunguke kitanda chako.usiku mwema.<br />........................<br /> mapenzi ni kama mti huchanua yanaponyeshewa,hunawiri yanapolelewa,na hutoa matunda pindi yanapo thaminiwa,gharama la tunda litokalo mtini hapo hutegemeana na ubora wake.nasi tulifanye penzi letu liwe bora,na lenye kuthaminiwa.<br />..........................<br /> pendo ni dawa ya kidonda cha moyo,huleta faraja ulipokata tamaa,yaleta furaha ulipokwa unaraha,huleta thamani iliyopotea,huleta amani pasipo na amani,nakupa langu pendo kwa sababu nakupenda sana,usisahau kumeza kwani utaharibu dozi.<br /><br />.........................<br /><br /> ILOVE Y0U ''"""""""""""""""""""<br />I NEED Y0U<br />%%%%%%%%%<br />I MISS Y0U<br />=============<br />I'M HAPPY 2 U<br />***************<br />Najua moyo wangu umekuchagua ww na kuku2mia zawadi hii ili uelewe kwamba nakupenda sana, nakujali zaid, nakuthamini kuliko, nakutakia kila la kheri pamoja na dua njema,Ucku mwema hny.<br />.............................<br />Urafiki" "ni" "mzuri" "urafiki" "ni" "raha" "ikiwa" "mtapendana" "urafiki" "ni" "furaha" "kama" "mtasikilizana" "urafiki" "ni" "mtamu" "kama" "mtasaidiana" "urafiki" "ni" "mwema" "kama" "Mtakumbukana" "urafiki" ni hadhina ya maisha" urafiki unazidi undugu kama mtaudumisha" "hakika" "rafiki" "mwema" "ni" "wewe" "mwengine" "sijamuona" "ishaallah" "tumuombe" "M/mungu" "atujaalie" "tuzidi" "kukumbukana" na" Kupendana" "I miss"you" my friend<br />................................<br /><br />STORY NZURI<br /> YA UPENDO <br />Kulikuwa na vipepeo wawili waliokuwa wanapendana sana, siku 1 waliamua kucheza mchezo wa mahaba. Waliweka ua na walipanga kesho ambaye atakuja mapema na kukaa juu ya UA, atakuwa anampenda mwenzake zaidi. Asubuhi kipepeo dume alienda mapema sana na kukaa juu ya UA.<br />Masikini kumbe jike alifika tangu jana kumwonesha mpenzi wake ni jinsi gani anavyompenda...!!<br />Jee...!! wewe, utamuonesha nini umpendaye ili aone ni kiac gani<br />.<br />.........................<br /><br /> kipi unataka kutoka kwangu Mwez huu wa july hii?<br />1=Moyo wangu<br /><br />2=Tabasamu langu<br /><br />3=Penzi langu<br /><br />4=Hadithi<br /><br />5=Urafiki<br /><br />6=Muungano na mimi<br /><br />7=Msamaha<br /><br />8=Mahusiao<br /><br />9=Tuchat sana<br /><br />10=Muda wangu<br /><br />11=Kwenda kuburudika na mimi sehem<br /><br />12=Kuja kulala kwetu<br /><br />13=Kuyashirikisha maisha na mimi.<br /><br />14=Ushaur <br /><br />15=Kukuchum.<br /><br />Watumie sms hii rafiki zako woote ,uone nn wanataka uwafanyie,Lakini nijibu mm kwanza tafadhal...<br />........................<br /><br /> Tukiwa tupo mwezi wa 9 robo 3 ya mwaka 2013 nachukua fursa hii kukushukuru sana kwa kutumia muda wako mwingi na fedha zako ili kuwasiliana nami. Kila niliposoma sms zako zenye nasaha,mzaha,kuelimisha n.k. niligundua mambo makubwa matano<br />1:KUNIJALI<br />2:UPENDO<br />3:FURAHA<br />4:WEMA<br />5:KUNITHAMINI<br />Nilipogundua hayo nilifarijika na nikayaona MAISHA ni ya maana sn kwangu,sikuhisi UPWEKE wa kukosa rafiki katika huu uso wa DUNIA,nakuomba unisamehe nilipokosea na ninakuombea Kwa MUNGU akupe MAFANIKIO MEMA KTK MAISHA YAKO.<br /><br />......................<br />WEWE NI MFANO WA TUNDA GANI KATI YA HAYA?<br />1.EMBE-Furaha ya ndoa.<br />2.CHUNGWA-Mpweke lakin unatafuta.<br />3.LIMAU-Unampenda mtu lakin unaogopa kumwambia.<br />4.SHOKISHOKI-Upo ktk mahusiano ama ndoa lakin unaye mwengine ambaye unampenda.<br />5.PEASI-Bado unampenda mtu wako wa zaman.<br />6.PARACHICHI-Upo ktk mahusiano na m2 asiyekufaa na hujui ni kwann unaendelea naye. 7.ZABIBU-Mpweke lakin ni mwenye furaha<br />8.NANASI-Huna habari na mapenz 9.TANGO-Upo ktk mahusiano lakin hujui kitakachotokea baadae.<br />10.PERA-Unampenda m2 ambaye naye anampenda m2 mwengine<br />11.PENSHENI-Umechanganyikiwa...*Nijibu tafadhari ila Kuwa mkweli*<br /><br />.......................<br />"MAISHA" ni ugomvi unapoyatafuta tayari umeingia bifu na walimwengu <br /><br />"MAISHA" ni vita kali sana inahitaji maandalizi na zifuatazo ni silaha 9 Muhimu lazima uwenazo:-<br /><br />1. Jiamini na uwe na nia ya unachokitafuta.<br /><br />2. Uvumilivu kwa litakalokukuta.<br /><br />3. Kuwa muaminifu kwa kila mtu.<br /><br />4. Usikate tamaa iwapo haujafanikiwa.<br /><br />5. Kuwa na malengo ktk kipato chako.<br /><br />6. Jenga upendo kwa kila mtu.<br /><br />7. Chunguza utakalo ambiwa kabla hujachukua hatua.<br /><br />8. Epuka marafiki wanaopenda starehe.<br /><br />9. Jua kuna faida na hasara!<br /><br />NAKUTAKIA MSIMAMO MWEMA.<br /><br /> "nakutakia cku njema" <br />.................................<br /><br /> Salamu ni moyo ktk "IMANI". Salamu ni uhai ktk "UPENDO". Salamu ni ufunguo wa "RIZIKI" salamu ni chakula cha "NAFSI" salamu ni "MSAMAHA" wa kudumu milele. Salamu ni kinga ya maradhi" salamu huondosha "UADUI" Hakika salamu ni"UTAKASO" wa "NAFSI". Nami nakupa wewe niliyekutunuku. *****MCHANA MWEMA!*****<br />..................... <br />.....................<br /><br />Neno gani? linaumiza zaidi kutoka kwa mpenzi wako unae mpenda kwa dhati kati ya haya:- 1.Tuachane.<br /><br />2.Sikutaki tena. 3.Nimepata mwngne.<br /><br />4.Mbona king'ang'anizi wewe. 5.Sikupendi.<br /><br />6.Wazazi wangu hawakutaki.<br /><br />7.Siwezi kua na wewe.<br /><br />8.Kama nilikosea njia tu. 9.Huna mvuto. 10.Najuta kuwa na ww.<br /><br />naomba jibu<br /><br />…………………………………….<br /><br />UKITAKA KUWA NA FURAHA KILA SIKU..fanya hivi...amini kuwa Mungu pekee ndie ana mamlaka ya kuamua lolote juu yako..na si binadamu....mpende anaekutakia mabaya kwa kuamini hajui atendalo...ishi kwa uhalisia wako na usìige maisha au mtindo wa maisha ya mtu...tii haja za moyo wako si maneno ya watu..ridhika na ulichonacho kwa kuamini ndicho mungu alichokupa na kuna siku utapata zaidi...Jipende jinsi ulivyo maana kuna wenye kasoro zaidi yako....wanaokudharau waheshim maana wanakupa uchungu wa kutafuta mafanikio...amini wewe ni bora na muhimu kwa jamii, ndio maana umeumbwa. Asubui.njema<br /><br />……………………………………………………<br /><br />Röhö håinå furaha sababü ya ükimyä wåkö,näfsi håinå raha kükösä såuti yako,möyöni näsonönekä kükösä salam yäkö,håkikå nitäfürähikä kuijuä häli yåko "ümzima"?.<br /><br />……………………………………………….<br /><br />Kanuni za kudumisha "PENZI" Milele. 1.Ukipenda ucpende tena. 2.Penda kwa dhati.3.Mheshimu Mpenzi wako. 4.Kuwa mvumilivu 5.Mjali umpendae 6.Jivunie kuwa nae 7.Ucmfiche jambo 8.Ucpende achukie 9.Unapokosea omba radhi.10.Uckubali kumpoteza (ukifanya hivyo mtapendana milele) nakupenda Sana.<br /><br />……………………………………………………………..<br /><br />Mapito ni mengi, ktk maisha... Utaumia, utalia, utahuzunika, utakata tamaa, utavunjika moyo na wakati mwingine kujuta kwanini ulizaliwa, lakini kaa ukijua hayo yote yanatakiwa kuwepo ili, kukufanya jasiri ktk kuzifikia ndoto na malengo yako, usikate tamaa MUNGU yupo pamoja na wewe.UCIKU MWEMA<br /><br />…………………………………………..<br /><br />ITAKUA" Kama "NDOTO" Pale "MOYO" Wangu Utakapozima Kama "MSHUMAA" Uliopulizwa Kwa Upepo. Utatamani Niamke Angalau Usikie "SAUTI" Yangu Lakini Utakuwa umesha chelewa, ''KILIO' 'HUZUNI' SIMANZI'' na "MAJONZI zitakuwa zimetanda ktk KUTA za MOYO wako MACHOZI Yatakutoka kila utakapo kumbuka ucheshi WANGU tkwako na MOYO Utakuwa Mpweke kila utakapoiona namba YANGU Kwenye Cm YAKO Utatamani uifute ila ROHO Itakuuma kwa KUWA Umenizoea Hivyo Jaribu Kufurahia Uwepo WANGU Kabla Sijatoweka Dunian Ata Chura Ujua Umuhim Wa Maji Pindi Yanapo Kauka Tuishi Kwa Aman Na Upendo Maish Ya Dunian Ni Mafupi%<br />*********************************<br />Ukiona vipi mpe haya maua<br />
<br />Kumbuka kila Meseji malizia na neno <b>MIA</b>. Mia