Merry Christmas to all member of JF !!!

Merry Christmas to all member of JF !!!

engmtolera

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
5,149
Reaction score
1,441
Merry Christmas to all member of JF !!!
May the beauty and joy of Christmas remain with you throughout the new year !!!
Mungu aendelee kuwaongoza katika kila jambo na mwaka mpya ujao 2014 uwe ni mwaka wenye mafanikio yasiyokifani

Mungu ibariki Afrika,Mungu ibariki Tanzania na Mungu bariki kisima cha habari Jamiiforums
 
Merry Christmas to all member of JF !!!
May the beauty and joy of Christmas remain with you throughout the new year !!!
Mungu aendelee kuwaongoza katika kila jambo na mwaka mpya ujao 2014 uwe ni mwaka wenye mafanikio yasiyokifani

Mungu ibariki Afrika,Mungu ibariki Tanzania na Mungu bariki kisima cha habari Jamiiforums

Hizi salamu peleka kuzimu! Mchumia tumbo mkubwa wee!
 
Na wewe pia Engineer Mungu akupe uhai na maisha marefu yenye aman na upendo katika mwaka 2014
 
Hizi salamu peleka kuzimu! Mchumia tumbo mkubwa wee!

asante,hakuna asiyechumia tumbo na kama kungekuwa hakuna wachumia tumbo sidhani kama kungekuwa na haja ya kuwa na vyoo.
Vyoo vinajengwa ili kuweza kutoa kile binadamu amekichuma na kukila na kumbuka"asiyefanya kazi na asile"

mungu aendelee kukupa nguvu na amani,upendo na ukarimu kwa ndugu,jamaa na marafiki zako,chuki unayoionyesha kwangu usi-ionyeshe kwa familia yako,kwani utasababisha sikukuu hizi mbili ziwe mbaya kwao.
 
Kwani mtoa mada kafanya kosa gani ? Hizi ni salamu tu tofauti zetu kisiasa na kidini tuweke pembeni.

We bwana weeee
Tanzania tumefikia pabaya kweli,kama tunapingana ktk hoja ndio siasa ilivyo na kamwe tusiendeleze haya mitaani,nashukuru kwa kumpa elimu huyu ndugu yetu,mweleze na akumbuke kuwa
1.wachezi mpira mechi ikiisha hubaridhishana jezi-hata kama timu moja itakuwa imepoteza mechi hiyo
2.wabunge wetu wanarushiana ngumi-lakini nyuma ya kamera unawakuta chako ni chako wanapiga kuku wa kienyeji na gambe.
 
Same to you mkuu.......
Merry Christmas to all member of JF !!!
May the beauty and joy of Christmas remain with you throughout the new year !!!
Mungu aendelee kuwaongoza katika kila jambo na mwaka mpya ujao 2014 uwe ni mwaka wenye mafanikio yasiyokifani

Mungu ibariki Afrika,Mungu ibariki Tanzania na Mungu bariki kisima cha habari Jamiiforums
 
Una lako jambo wewe sio bure.... salamu tu unaripuka hivi?

ram
yawezekana akawa analake jambo,na anaumia nalo hilo,na kama tungekuwa tumegongana sehemu ama kugombania kitu mimi na yeye,lakini wapi,mazingira nilipo nagundua kuwa lake jambo litakuwa linahusu siasa tu ndani mitandao.
hii ni wishes tu,anakuwa mkali hivi,jamani tupendane wakati wote iwe kwa shida na raha pia.
 
Nakutakia sikukuu njema pia na Mwenyezi Mungu akubaliki katika ndoto zako na mipangilio yako mema yote.
 
...na wewe pia!

"wakuu leo kisa kilichonikuta, nimeenda kununua nyama ya kupikia pilau ya sikukuu kesho; kilo 8 nilipimiwa buchani' nilipokwenda kupima dukani ikagundulika kuwa ni kilo 6. Nimerudisha hiyo nyama kwenye hiyo bucha wakaiongoze 2kg zilizopungua bila ubishi
Wadau kuweni makini mnapokwenda kufanya manunuzi ya vitu vya sikukuu!!!
 
Back
Top Bottom