Ndugu zangu mnakumbuka jinsi watu walivyofungua biashara za kiti moto hapo DAR mara baada ya MWINYI KUDAI NI RHUKSA KULA NGURUWE!
Badala ya kuandaa mpango maalum wa kuwaanda wananchi ili tusirudi utumwani kwenye dunia mpya ya ushindani...Yeye akawaambia wabongo,tena waislam wenzake wale nguruwe!
Na kweli wakala sana tu!
Hata mfungo wa ramadhani wengine walisneak na kwenda kula!
Na hata mara baada ya MKAPA kuja na white paper...
CHARLES HILLARY BADO NA YEYE AKAFUNGUA KITI MOTO YAKE HUKO SINZA!
SASA TUMEGUNDUA NCHI IMEUZWA KWA VIONGOZI WETU KUTUMIA LOOPHOLES!
REKEBISHENI MAKOSA,RUDISHENI NCHI KWA WANANCHI...THEN TUANZE NA TAIFA JIPYA NA LENYE MATUMAINI!
Ndugu zangu mnakumbuka jinsi watu walivyofungua biashara za kiti moto hapo DAR mara baada ya MWINYI KUDAI NI RHUKSA KULA NGURUWE!Yeye akawaambia wabongo,tena waislam wenzake wale nguruwe!
Na kweli wakala sana tu!
Badala ya kuandaa mpango maalum wa kuwaanda wananchi ili tusirudi utumwani kwenye dunia mpya ya ushindani...
Hata mfungo wa ramadhani wengine walisneak na kwenda kula!
...
Mwinyi Alipewa Jina La Rhuksa Kwasababu Gani?
Mnataka Tulete Hotuba Yake Aliyosema Ni Rhuksa Kula Nguruwe?
Tena Akasema Hata Kula Chura!
Na Kwa Uelewa Wangu...chura Waliko Tanzania Ni Un Consumable!
Chura Wetu Ni Sumu!
Usile!
Yeye Angewatayarisha Wananchi Na Kuwaambia Sasa Ni Dunia Ya Soko Huria Ama Globalization Na Hivyo Wananchi Watayarishwe!
Na Si Uswahili!
Ama Unataka Takwimu Za Walaji Nguruwe Hapo Bongo,bucha Mrema Alizopigana Nazo Na Kitimoto Kila Pahala Na Hata Ya Ndugu Yetu Charles Hillry Hapo Sinza Kwa Mugabe?
Una assume kwamba Usalama wa Taifa wao sio mafisadi.
Ukiangalia viongozi wa juu wa Usalama, hususana waliotoka kustaafu (hawa wa sasa hivi sifahamu kwa sana) wanavyo ishi na mali waliyojilimbikizia, sidhani kama mishahara yao ingetosha kufanya mavitu yao.
Tusi assume kwamba ukiwapa wao ulinzi wa mali ya Umma basi itakuwa poa.
Hata Plato ali spin alipoulizwa "nani atalinda walinzi"?
...Tena Akasema Hata Kula Chura!
Na Kwa Uelewa Wangu...chura Waliko Tanzania Ni Un Consumable!
Chura Wetu Ni Sumu!
Usile!
Mh. Zitto, hongera sana, nimepata furaha sana kusoma ulichosema leo bungeni, maana sijui kama kuna huwazi zaidi ya ulioueleza,umesahau tu kutaja majina ya hao wahusika haswa wa meremeta.
ushauri wangu:nakuomba kuwa muangalifu sana(sina maana huwe muoga),hao uwt wanatumiwa vibaya na hao mafisadi,jichunge bro taifa linakuitaji vibaya mno!
Jmushi1
Punguza kuandika kama uko kwenye genge la kahawa.
Kuhani
...Naomba nikueleweshe tu... Kama kweli usalama wa taifa ungelikuwa unafanya kazi zake ipasavyo tusingekuwa tunazungumzia mambo ya meremeta hapa!!
Na mimi naomba nikueleweshe kitu.
Kazi za idara yeyote inayoanzishwa kwa mujibu wa Sheria, haitakiwi kufanya yale ambayo sheria haisemi.
Usalama wa Taifa hauna majukumu kisheria kuzuia Umeremeta na Urichmonduli.
Tulishachambua hapa ndani na nje sheria za 1970 na 1996 za Usalama. Usalama wa Taifa haujumuishi kuzuia wizi. Hakuna kitu hicho.
Halafu nikuulize hivi: Kwa nini unadhani kwamba mkataba ukipitiwa na Chief of Intilligence ndio utachambuliwa vizuri kuliko Attorney General? Huyu Chenge si mnamuita Harvard Lawyer (even though he ain't), kwani yeye hakuwa na competence ya kupitia Mikataba? Kabla ya kuipeleka kwa Othman, kwanza nionyesha kwamba Chenge aliingia mkenge kwa sababu hakuwa na nyeti fulani ambazo RO angezishtukia.
Wakati mwingine inategemea na dhamira ya anae saini na kupitia mkataba. Usalama wa Taifa nako kuna ufisadi wa hali ya juu. Hata kama wao ndio walikuwa wanapitia mikataba, sidhani kama ingepona hii.
Ndio maana nasema usi assume kwamba mikataba ikienda Usalama itanyooshwa, kana kwamba mwanasheria wa wa Usalama ni muadilifu kuliko wa ofisi ya Attorney General.
Tunarudi pale pale:
"Who will watch the watchers?"
NB:Hivi kwenye genge la kahawa watu wanaadika na nini?How?
Hivi unaamini maneno yangu hapo juu ni pumba?
Mheshimiwa Mwenyekiti, nitatoa mfano wa masuala matatu tu. Kwa mfano, suala la nishati ni suala la Usalama wa Taifa, national security concerned ilikuwaje nchi yetu ikaingia mikataba ya nishati bila clearance ya Usalama wa Taifa. (Makofi)
Koba... usiwe na shaka ndugu yangu... mapambano safari hii yanapiganwa kitaalamu zaidi.. misingi huwekwa na jengo hujengwa.. tumpe support na kundi la wabunge wengine wanaokuja mbeleni... mabadiliko ni lazima, na yatatoka kwa wananchi wenyewe.
Kwa uelewa wangu mimi genge la kahawa waongea chochote kile (hawana focus yaani katika maongezi yao wanachanganya utumbo, steki, kachumbari, kiburu, machalari,kande, ugali, sukari na shubiri bila kuacha pilipili kichaa kwa pamoja) tu ili mradi saa ziende wacall it a day na mwisho wa siku wanaevaluate nani kaongea sana, sio nani kaongea nini.
Jmushi01
Mkuu niko hapa kuona Threads hazichafuliwi, kama kweli hoja yako inasimama huna sababu ya kupost four or five posts at a go andika tu hata kama ni ndefu then post.
Kila member akifanya unavyoandika patakuwa hapatoshi hapa, ukiangalia mawazo yako yanakuwa yanajirudia rudia bila direction. Kuna wasomi hapa ambao wanauwezo wa hali ya juu kuchanganua habari.
Natumaini umenielewa.
whats this?
Mheshimiwa Mwenyekiti, nitatoa mfano wa masuala matatu tu. Kwa mfano, suala la nishati ni suala la Usalama wa Taifa, national security concerned ilikuwaje nchi yetu ikaingia mikataba ya nishati bila clearance ya Usalama wa Taifa. (Makofi)