HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 69,367
- 94,549
Sisomi comment za humu ndani Tena maana naweza kufa kwa kucheka..... Watu wana mambo kweli....Umechekea nini
Bora mie ambae huwa sisomi kabisa vitabu, Mara ya mwisho nimesoma 2015
Zaidi ya hapo nasoma biblia na lesoni tu