Mere prediction about the future: Yajayo yanafurahisha, upo tayari?

Tatizo ni nini kijana mwenzangu?

Ni kheri wageuzwe misukule na wafanikiwe kuliko kuwa akili na chuki za kimaskini kama we we.
Umelishwa kinyama ww ndio sababu huwezi ona zaidi ya urefu wa pua yako.

Unalidhalilisha jina businessman dogo..Jiulize leo hii USA ni percentage ya youth wangapi wanaofanya icho mnachofanya au nyie ndio mna awarenes kuwazid wao..ww unahitaji huruma na maombi..
 
Aisee sipendi matapeli!I really hate them with passion!

F**ck'em!

Ukiona mtu anaanza na mbwembwe za "nimesoma vitabu 86...."Majitu yenye grandiosity namna hii hua ni magonjwa ya schizophrenia.

Acha utapeli na ukatubu!

Matapeli ni matapeli tu. Hata yaongee buzz words namna gani!

Ontario you are a pretender.You are trying hard to sound intelligent but you have been debunked to be a fraud in and out!

Majizi bwana

 
Inatia huruma sana kuona vijana wakigeuzwa misukule na mirija ya kunufaisha wengine..kwanini unawanyima vijana haki yao ya kutumia akili na nguvu zao za ujanani kutafuta mali na badala yake kuwaaminisha kuwa pesa zinapatikana kwa kuweka miguu mezani na bando la internet...hii ni DHAMBI KUBWA SANA!!

Kijana inabidi UTUBU..wenzetu wanahangaika kuzalisha tangible entrepreneurs wenye biashara zinazoekeweka huku vijana wamegeuzwa misukule na uyu dogo bila kujua..

Aisee TUBUNI iyo dhambi mapema..maana kuna misukule itazeeka inatafuta mali kwenye internet kuja kustuka uko 50's uwezi ata sukuma toroli. TUBUNI HII DHAMBI
3e00525c028ff0c3189aa3c39dcc865d.jpg


cade412cc7899d8b4df44c8778a85046.jpg

bb7ac0e820b6af98810d5bb1a13d2fee.jpg


The world belongs to people who read.
 
Inatia huruma sana kuona vijana wakigeuzwa misukule na mirija ya kunufaisha wengine..kwanini unawanyima vijana haki yao ya kutumia akili na nguvu zao za ujanani kutafuta mali na badala yake kuwaaminisha kuwa pesa zinapatikana kwa kuweka miguu mezani na bando la internet...hii ni DHAMBI KUBWA SANA!!

Kijana inabidi UTUBU..wenzetu wanahangaika kuzalisha tangible entrepreneurs wenye biashara zinazoekeweka huku vijana wamegeuzwa misukule na uyu dogo bila kujua..

Aisee TUBUNI iyo dhambi mapema..maana kuna misukule itazeeka inatafuta mali kwenye internet kuja kustuka uko 50's uwezi ata sukuma toroli. TUBUNI HII DHAMBI
You made my day mzee
 

Similar Discussions

233 Reactions
Reply
Back
Top Bottom