Mere prediction about the future: Yajayo yanafurahisha, upo tayari?









 
Sipo vizuri kwenye kuandika ila ntajaribu kidogo kwa uelewa wangu

Imagine kama kuna izo machine zenye uwezo wa kuprint kitu in 3d way mfano nyumba,gari,kikombe nk
Kwaio mtu unachotakiwa kufanya ni kua na uthibitisho wa muamala wa kitu ulicho tumiwa mf. Tv
Utakwenda kwa wakala mwenye io mashine yenye uwezo wa kuprint ambapo kwa wakati uo ztakua zimesambaa kila kona kama vile m pesa. Then utamuonesha muamala wako wa kitu ulichotumiwa mf. TV .baada ya apo ataprinti ndani ya dakika 3 unaondoka na TV yako

Ndo mm nmefkria nkaona kama kuna ka uwezekano wa hiki kitu kwa staili io
 
Daah nmekitamani
 
I believe the only problem will be economy, when you put a system on tha basis of economy many wont afford(I will). But most will wander and have nothing to do except opt out... Me thinking, we'll adapt to the future.
 
Lakini hiyo program ya computer iliyoshindana na bwana Gary si umetengenezwa na binadamu?
So, binadamu bado yupo juu
 
Wewe ki upload tu ..tutakutoa mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
The list hatar sana
 
ONTALIO BOY jamaa wa FX teh teh teh ...nilivo ona thread hii nimecheka sana wengi wamefaidika na wengine wengi sana kupitia FX umewapoteza
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…