Mere prediction about the future: Yajayo yanafurahisha, upo tayari?

Sio kweli. Angalia smartphones leo hii tunazitumia. Teknolojia haina mipaka.
Smartphone unaitumia kufanya nn ndugu? Serikalini wanatumia teknolojia gani latest mpaka sasa! Wameshindwa nn kutumia teleconference kutwa wapo Dar na wanajidai wamehamia Dodoma
 
Mh mkuu samahan sana of koz mm ni mshamba na sijui lolote wacha niwe tomaso mpakka apo nione nyumba ikchapishwa ndo ntaamini sasa tutachapisha watu na dunia tutaichaaposha kamaa sio kuitoa kopi
 
daaah asee nimevutiwa sana na huu uzi ningekuwa najua kingereza na me ningesoma vitabu ila daah! siwezi hata kusoma vitabu vya forex yan fursa zinanipita kisa kutojua lugha, inauma sana
Umenihuzunisha sana. Natamani ningekusaidia.
 
Hii hata mimi kila nikijaribu "kulisukumizia" kwenye ubongo wangu linakataa kabisa,sasa kama nyumba inakuwa printed inamaana hilo printer lenyewe lina ukubwa kiasi gani?......lakini pia kuna lile la kumfyatua binadamu kama tofali maabara,hili nalo japo ni tecknolojia ila nahisi kama "kamba" hivi ila sijui tuendelee kusubiri lakini sidhani.
Tukisema humu JF kuna matahira na watu kabla ya kujiunga wafanyiwe aptitude test ni shaur ya elimination ya matahira kama nyinyi. Unapojifunza jambo jipya assume zero understanding then dig for more information kabla ya kutoa reviews zako. Kuna google ipo search na soma ujue how it works. Kazi kuwa kama misenge tu. Mnakera sana vilaza koko nyinyi.
 
mkuu ONTARIO naomba ufafnuzi hapo kwenye technology ya 3D printing,hasa uliposema kuwa huko china kuna ghorofa la ngazi 5 limejengwa kwa siku 17 na kuhusu hilo gari la ku-print linafanya kazi au ni gari la pambo?
Mkuu vitu vingine mnatia aibu. Usipende kupikiwa, uandaliwe mezani, unawishwe na kulishwa ulishwe pia kweli?
Umechagua alias yenye hadhi sana - Econometrician, but you act like a dumb man.
Angalau kidogo ningekuelewa kama ungetumia lugha ya kusema, 'Ontario, hebu kwa faida ya wengine humu fafanua ABC ya moja mbili tatu'
 
Asante mkuu Ontario, hii ndo ije fasta kwa sisi dunia ya makazi duni, ...''Mwaka jana tumeshangazwa baada ya nyumba ya kwanza kuwa printed na 3D printers, start up company moja huko San fransisco wameweza kujenga nyumba nyumba nzima kwa 3D printer ndani ya masaa 24''....
 
Ukitaka kujua Tanzania bado sana,angalia comment za humu.Nazungumzia wale wa -ve comment.mtu kaweka reference lakini unakuta mtu bado anakomaza shingo kwamba haiwezekani.Na huo ndio mtazamo wa jamii ya walio wengi.Tukija kuzinduka tutakuwa tumeshapotea.
 
Nadhani wewe ndio una low IQ. Mtoa mada ameongelea mambo mengi hili unalolisema likiwa mojawapo. Wewe umechagua kushupalia hapo maana ndio umepaelewa, mambo mengine aliyoyaongelea yamekuzidi upeo.Kwa hiyo usiwe na wivu ndugu yangu kama hujaelewa hayo mengine.Wajinga watadharau waelevu watatoka na kitu.
Hapo ndio point yake kubwa.

Halafu it is so so sad,idadi kubwa ya population ni low IQ watamfuata huyu mwizi all the way through!

So sad!

No matter how you alert these fools,they will never learn!
 
Nadhani wewe ndio una low IQ. Mtoa mada ameongelea mambo mengi hili unalolisema likiwa mojawapo. Wewe umechagua kushupalia hapo maana ndio umepaelewa, mambo mengine aliyoyaongelea yamekuzidi upeo.Kwa hiyo usiwe na wivu ndugu yangu kama hujaelewa hayo mengine.Wajinga watadharau waelevu watatoka na kitu.


Mengine nimeyaelewa ndio maana sikuuliza kitu!

Hiki kingine nilikikomalia maana ana-cut corners!

Yote ya mwanzo ni real,na ni smoke screen tu,dhumuni lake kubwa ni hilo nililolikomalia.

Hujanyimwa kutoka na kitu.Sisi ni waongeaji,sio lazima utufate,mfate ONTARIO.

Umfuate usimfuate,ni lazima waongeaji tuongee.Huna haja ya kutusikiliza!

Hey,do yo' thang,upo free mkuu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom