Mentor utaoa lini...



Nipo curious na hiyo fantasy ya BelindaJacob ..lol
 
Last edited by a moderator:

ndo maana mpaka leo hujaoa kaka mkubwa pole zako ndo wadaa wa mjini hao hata JF wamo pia..
 
au kumpiga doggystyle trafic wa kike na uniform zake kwenye majani majani lol

Haahahaha..u r worse than I thought bro!

ha ha ha..
you are a great story teller Mentor!
ndiyo mambo ya mjini haya lakini...
siku hizi waoaji wamekuwa wachache kwa hivo wadada wanapata stress

At her age? Nimeshazoea kusikia wale waliofika 30's ndo wanakuwa desperate...bt anyway...bado nipo nipo sana bro!!!
 
Haahahaha..u r worse than I thought bro!



At her age? Nimeshazoea kusikia wale waliofika 30's ndo wanakuwa desperate...bt anyway...bado nipo nipo sana bro!!!


my biggest fantasy ni niwe nimeshtakiwa na hakim ni mwanamke mtamu mtamu hivi lol
usiku wa kusomewa hukumu nifanikiwe kumpata hakimu usiku kucha lol
nimpagawishe vya kutosha
halafu asubuhi nivae vizuuri kwenda kusubuiri hukumu mahakamani with a big smile lol
cc BelindaJacob .....
 
Last edited by a moderator:
Nipo curious na hiyo fantasy ya BelindaJacob ..lol

Ask her...she is WILD...!!!!


:sorry::sorry::sorry::sorry::mimba::mimba::mimba::mimba::mimba::mimba::mimba::mimba::mimba::mimba::mimba:

If you weren't :mimba:, would you? hehehe..
Cc: Ngauti Nicas Mtei


ndo maana mpaka leo hujaoa kaka mkubwa pole zako ndo wadaa wa mjini hao hata JF wamo pia..

Aa..kumbe??:A S 39:

Unaongea from experience ama speculation?
 
Last edited by a moderator:

Cc: Asnam a.k.a Millen Magese wa JF:yo:
 
Last edited by a moderator:
Pole wangu kwa masahibwa yaliyokukuta mbona hukuniambia kuwa ulipitia hayo mambo? hee inabidi umwombe Mungu sana kwani umeshafungwa na huyo mdada na ndomana troubles zinapatikana sikuelewa mie heee! mweee! malafyale mma po ndisi lelo
 
Mkuu Mentor pole sana.
Pia najua utapata pm za sympath za kutosha, kwani hii nayo ni mbinu ya kutafuta mchumba kiaina.
 
Last edited by a moderator:
aiseeeeeeeeeeeeeeeee... Kweli dunia ina mambo

Ngauti, ndo yaliyonitokea mwenzio kabla sijakutana na mdogo wake Nivea ndo najifunza kusahau now...

Nimeipenda hii,
"Being deeply loved by someone gives you strength, while loving someone deeply gives you courage."
 
Last edited by a moderator:
Ngauti, ndo yaliyonitokea mwenzio kabla sijakutana na mdogo wake Nivea ndo najifunza kusahau now...

Nimeipenda hii,
"Being deeply loved by someone gives you strength, while loving someone deeply gives you courage."

Ngauti kwa hiyo uliamua kumuacha huyo dada bila hata kumpeleka kwa watumishi wa Mungu wamfanyie maombi?
 
Pole wangu kwa masahibwa yaliyokukuta mbona hukuniambia kuwa ulipitia hayo mambo? hee inabidi umwombe Mungu sana kwani umeshafungwa na huyo mdada na ndomana troubles zinapatikana sikuelewa mie heee! mweee! malafyale mma po ndisi lelo

Taratibu mamii..ndo nini hicho umeandika??

Mkuu Mentor pole sana.
Pia najua utapata pm za sympath za kutosha, kwani hii nayo ni mbinu ya kutafuta mchumba kiaina.

Hahahah KakaJambazi, unataka nizi-divert kwako!??
 
Last edited by a moderator:
Ngauti kwa hiyo uliamua kumuacha huyo dada bila hata kumpeleka kwa watumishi wa Mungu wamfanyie maombi?

Haaaaa Ngauti, kirahisi hivyo?

aisee nilimuombea tu ila kuanzia ile siku sijawahi hata kusikia sauti yake...nilichoma moto kila kilichokuwa chake, nilihama nyumba mwisho wa mwezi na sijawahi mtia machoni since then!!!


Do u mean to tell me wewe ungekuwa na guts za kuongea naye bado let alone kuona sura yake???:nono:
 
Some girls would do about anything to get a man!
 
Some girls would do about anything to get a man!

Is it to get a man? or it depends with the man?
isit about those girls or its about some guys with some kind of attractions?
 

Sure Ngauti mimi ningejitahidi kumpeleka walau akafanyiwe maombi kwa imani ya dini yake ili aachane na hayo mambo ya ushirikina, na inaonekana yule dada yake ndo amemuharibu. Nisingekubali kumuona anaendelea kupotea dhambini.... kama angekataa hilo ningemtafutia wataalamu wa saikolojia wampe ushauri wa kisaikolojia ili aweze kujiamini zaidi kuwa anaweza kumpata yeyote bila hata kutumia ushirikina kutokana na jinsi alivyo...Tatizo lake kubwa hapo ni Kutojiamini na Kutojitambua... Ni case ambazo unaweza kuzi solve kisha mkaendelea na uhusiano wenu kama kawaida kama upo serious lakini.. Baada ya kuwa fit kisaikolojia na kujitambua ndipo sasa ningeanza zoezi la kumshawishi aombe Toba kwa Mungu ili asamehewe yote pia avunje maagano na mambo yote ya kishirikina....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…