Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 27,402
- 54,845
Hapana mama unajua kwa sasa napitia changamoto kubwa sana sana tangu huyu mama mwenye nyumba anipunguzie kodi nimeanza kuwaza mengi je ana nia gani na mimi..Nikikuita huji, nikikutafuta uje home huonekani.
Mwanangu wa kiume mwenyewe ninaye mmoja tu na ananitenga.
Inaniuma sana 💔
Kwanini ananitafuta USIku wa manane na maswali yake ni kutaka kujua nipo na mkwe wake au nipo peke angu..
Amkekua mtu wa kuniuliza sana kama nimekula au laa maana analalamika nakonda sana shida nini. Hii ndo imepelkea kunipunguzia kodi ili pesa nayo pata niwekeze kwenye uji wa lishe..
Mama huko takuja ila kwa sasa acha kwanza nimalize hizi harakati na mama mwenye mjengo
