secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 15,167
- 28,205
Mbona unajulikana mkuu?Mm sijulikanagi humu
Mbona unajulikana mkuu?Mm sijulikanagi humu
Inasikitisha sana mkuu 😭
GENTAMYCINE atakuwa anaagizwa akachukue vinywaji kwa usafiri wa baiskeli.
La hashaNdege kwa kupenda umbea sasa😂😂😂
Inaliza kabisa ujue!Inasikitisha sana mkuu 😭
Subir kuskia kwenye new thread Wana JF nilipigwa kichapo sitorudia tena….min -me Dr am 4 real PhD Chick_tz bila kuwasahau mabondia watakaozichapa jumapili hii Intelligent businessman na Half american.
Harmful atakuwa refa katika pambano Hilo.
Kiwashe mapemaaa azam tv watakujamin -me Dr am 4 real PhD Chick_tz bila kuwasahau mabondia watakaozichapa jumapili hii Intelligent businessman na Half american.
Harmful atakuwa refa katika pambano Hilo.
Ngoja nitangaze pambano lao tuone tambo zao.Subir kuskia kwenye new thread Wana JF nilipigwa kichapo sitorudia tena….
Yeah, intelligent biznezman anasema Niko poa.Kiwashe mapemaaa azam tv watakuja
😎Mbona unajulikana mkuu?
Haha doze doze Dj shikilia...
Refa nikijiandaa kukwepa ngumi za Intelligent businessman na Half american baada ya kupata taarifa kwa dosho12 kuwa mabondia Wana matatizo ya machomin -me Dr am 4 real PhD Chick_tz bila kuwasahau mabondia watakaozichapa jumapili hii Intelligent businessman na Half american.
Harmful atakuwa refa katika pambano Hilo.
Hahaha🤣Refa nikijiandaa kukwepa ngumi za Intelligent businessman na Half american baada ya kupata taarifa kwa dosho12 kuwa mabondia Wana matatizo ya machoView attachment 3393600
Naomba nikutakie wiki end njema secretarybird
Na wewe pia.Naomba nikutakie wiki end njema secretarybird
Nipo kiongozi nimetoka kufukuzwa kwenye kazi ya kubeba zege hapa, mafundi wanasema niko taratibu sana hivyo nawachelewesha.
Nipo kiongozi, nipo.