Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,276
- 87,078
Kyuti fundi sana, sema mvivu anaweza kutumia siku nzima kupika![]()


Anapika siku nzima?
Anakuwa anapika makande au?
Kyuti fundi sana, sema mvivu anaweza kutumia siku nzima kupika![]()


Anapika kabla hajamaliza anaenda kulala, anarudi anaendelea tena, yupo slow sana
Anapika siku nzima?
Anakuwa anapika makande au?
Na asu mabakuli ana pua kali ananusa huyo!! Hatajwi lazima ajilete na mabakuli yake.
Anahisi anaibiwa muda wote![]()





nimecheka km chizii, anakaba had penalty.. Woiiiiih.Anacho cha pesa sio km cha asu mabakuli cha michicha ya chooni![]()




wee shemeji wa lamomy hebuu njoo nikuoneee, nijiridhishe, uje na hilo gari prado.Anapika kabla hajamaliza anaenda kulala, anarudi anaendelea tena, yupo slow sana
Ile mikono laini mno

Hilo limeisha...Njoo pm nikupe namba uniletee huo msosi![]()
Naolewa kimya kimya mie? Akati harusi itakua ktk Chanel mbali mbali za TV.Cacastic kumbe unataka kuolewa kimya kimya





nimecheka km chizii, anakaba had penalty.. Woiiiiih.
Afu haogopiii sasa


wee shemeji wa lamomy hebuu njoo nikuoneee, nijiridhishe, uje na hilo gari prado.


Hapo ndio ananivuruga sana, sema kikiiva kipo vizuri sana. Ni lifundi sema basi tu anajilemazaKyuti anadeka ndio mapishi gani hayo ya kupika na kwenda kulala kabla chakula hakijaiva?![]()
Naolewa kimya kimya mie? Akati harusi itakua ktk Chanel mbali mbali za TV.
JF kutakua na crew yao.
Star km mie, afu kimya kimya? Nani kasema.

Jf yote ipo kiganjani mwako, sema huwa una mikwara sanaNaolewa kimya kimya mie? Akati harusi itakua ktk Chanel mbali mbali za TV.
JF kutakua na crew yao.
Star km mie, afu kimya kimya? Nani kasema.


Wee
Atakuwa ndugu na Wagner huyo
Au Alshabab kyuti?
Nimeona wana hasira muda wote, vocha za bure kwishney




vocha za buree wanapataa, si shem wao kwa toleo jipyaa, anawapa kwa muamalaa.


sisi wengine, JF iko mabegani kila tunapo timba oyaaa oyaaa.Noumaaaa!!!hataree