MENOPAUSE: Kumbe tunapochukua dogodogo tunachangia...........

MENOPAUSE: Kumbe tunapochukua dogodogo tunachangia...........

aaaah wapi siku hizi ngoma droo huruma ya nini rafiki? ye akienda kwa binti kigori we unaelekea kwa kijana shabab!

Halahala msiongezeane dozi na hizo harakati za pimbi!
 
hiyo tafiti kama kuna ka uongo kamepita kidogo (kijana wa kiume na bibi mzungu ndo kunaamsha popo barabara,na binti kigori na babu mzungu ndo anamrudisha 18! hakuna kulala,sasa apo how ndugu mleta mada?

kipya huwa ni kinyemi!
 
Taarifa za kitaalamu zinadai wanaumme tunapochukua dogodogo na kuachana na wale wa saizi yetu tunawasababishia kukataa tamaa ya kuzaa na hivyo kujikita kilaini kwenye MENOPAUSE.

Yabidi tuwe na huruma na wale wa rika letu na tuache kuwanyanyapaa na kuwaachia maumivu makali.






'Cradle snatchers' cause menopause, says biologist




Michael-Douglas-and-Cathe-010.jpg

Michael Douglas and Catherine Zeta Jones. Prof Rama Singh argues that the male preference for young mates has led to the menopause. Photograph: Jim Spellman/WireImage
Tnauguza majeruhi wa milipuko ya mabomu yaliotokea jumamosi hapa Arusha!
 
Kuwahi menopause ni poa tu. Akili huwa inahamia kwenye maeneo mengine yenye tija zaidi kiuchumi

Hujui hilo ndilo kichocheo cha tija ile mbaya?
 
hapa kuna watu wa heshima sana
ndo maana naongea kwa step
Utamu umekuja utamu umekata,EMBU MALIZIA MWENYEWE BHANAA...uzuri gani na mimi nitafuta wa juu ya umri wangu,kama sio wa chini kabisa ya umri nimpe maraha! Naona Kongosho hajazungumzia hili.!
 
Back
Top Bottom