Kwa nini jamaa linakuwa na nyama ngumu kiasi cha kuniumiza meno? Nadhani ndio anavyofikiria Suarez akiwa ameshika meno yake. Mimi tangu huyu jamaa alivyodaka mpira na kuwanyima Ghana nafasi ya kuendelea kule SA sijawahi kumkuali.
Suarez ana matatizo ya akili. Kama hii ingekuwa ni mara ya kwanza tungeweza kusema ni bahati mbaya, lakini ni mara ya tatu sasa anamg'ata mchezaji wa timu pinzani.
Mkuu si madini ya chumvi ni chuma...(Iron deficiency).....Nimesahau lugha yake ya kitaalamu...
Ila situation ya namna hiyo huwa inaweza mtokea mtu yeyote.....Mf. Kuna watu huwa wanajing'ata ulimi au Lower lip(Midomo ya ndani) halafu anafyonza damu yake....
Kuna wengine wanang'ata vidole kwa pembeni mpaka aone damu halafu ananyonya kidole(damu)........NB: Madini ya chuma yanapatika kwa wingi kwenye damu.....Ref: Red Blood cell Formation na jinsi complex ile inavyofanyika....
Wengine huwa wanatamani kumumunya chuma au coin.....Yote hayo ni kwasababu ya ukosefu wa madini ya chuma....So the body automatically inaji-tune kutafuta madini ya chuma physically....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.