bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 8,094
- 7,840
Mchezaji bora wa hii world cup..wakimfungia...sijui itakuwaje
Nidhamu yake jee, ndiyo ajaribu ukali wa meno yake kwa wengine?
Mtoto wako akiwa hodari lakini mjeuri sana na mwenye dharau jee utamwacha tu na kumchekea?