NAPITA JF-Expert Member Joined Apr 2, 2012 Posts 5,077 Reaction score 2,248 Jun 24, 2014 Thread starter #2 Habari zimetoka kwamba <s>#</s>FIFA will investigate incident in which <s>#</s>Uruguay's <s>#</s>LuisSuarez appeared to bite Italy's <s>#</s>GiorgioChiellini during World Cup group D match
Habari zimetoka kwamba <s>#</s>FIFA will investigate incident in which <s>#</s>Uruguay's <s>#</s>LuisSuarez appeared to bite Italy's <s>#</s>GiorgioChiellini during World Cup group D match
NAPITA JF-Expert Member Joined Apr 2, 2012 Posts 5,077 Reaction score 2,248 Jun 24, 2014 Thread starter #3
NAPITA JF-Expert Member Joined Apr 2, 2012 Posts 5,077 Reaction score 2,248 Jun 24, 2014 Thread starter #4 Fifa VP Jim Boyce says Suarez's actions have "left him open to severe criticism". Says Fifa must "investigate the incident seriously".
Fifa VP Jim Boyce says Suarez's actions have "left him open to severe criticism". Says Fifa must "investigate the incident seriously".
Jonatus JF-Expert Member Joined Dec 16, 2013 Posts 1,403 Reaction score 379 Jun 24, 2014 #5 Huyo nae mtoto wa Mama mbona hamna hata alama ya Meno Hiyo ni Bahati mbaya tu
Rapherl JF-Expert Member Joined Jun 20, 2012 Posts 3,504 Reaction score 2,256 Jun 24, 2014 #6 Kwahyo kushika meno hivyo ndio anataka kumuaminisha refa kwamba amejigonga meno kwenye mabega ya mwenzake?!
Kwahyo kushika meno hivyo ndio anataka kumuaminisha refa kwamba amejigonga meno kwenye mabega ya mwenzake?!
The Don JF-Expert Member Joined Dec 2, 2011 Posts 3,499 Reaction score 1,172 Jun 24, 2014 #7 Evolution to zombieism n' vampire,kila saa anatamani damu ndo maana anangata hovyo
MO11 JF-Expert Member Joined Mar 23, 2014 Posts 19,553 Reaction score 41,467 Jun 24, 2014 #8 amsterdam canibal
The Boss JF-Expert Member Joined Aug 18, 2009 Posts 49,320 Reaction score 117,611 Jun 24, 2014 #9 Mchezaji bora wa hii world cup..wakimfungia...sijui itakuwaje
M MOSSAD II JF-Expert Member Joined Apr 14, 2013 Posts 3,971 Reaction score 947 Jun 24, 2014 #10 Jonatus said: Huyo nae mtoto wa Mama mbona hamna hata alama ya Meno Hiyo ni Bahati mbaya tu Click to expand... wewe utakuwa liverpool tu!!!!!!!!!!
Jonatus said: Huyo nae mtoto wa Mama mbona hamna hata alama ya Meno Hiyo ni Bahati mbaya tu Click to expand... wewe utakuwa liverpool tu!!!!!!!!!!
McDonaldJr JF-Expert Member Joined Sep 25, 2013 Posts 6,386 Reaction score 7,561 Jun 24, 2014 #11 Uyu Luis sio mzima ana tatizo hao FIFA wanamchelewesha sana apigwe ban gemu za kutosha ni mwehu kwa kurudi kosa na kwenye WC lazima afanye tukio.
Uyu Luis sio mzima ana tatizo hao FIFA wanamchelewesha sana apigwe ban gemu za kutosha ni mwehu kwa kurudi kosa na kwenye WC lazima afanye tukio.
Jonatus JF-Expert Member Joined Dec 16, 2013 Posts 1,403 Reaction score 379 Jun 24, 2014 #12 MOSSAD II said: wewe utakuwa liverpool tu!!!!!!!!!! Click to expand... Hahaha. .sinaga historia ya kuipenda Liverpool aisee.
MOSSAD II said: wewe utakuwa liverpool tu!!!!!!!!!! Click to expand... Hahaha. .sinaga historia ya kuipenda Liverpool aisee.
Kennedy Platinum Member Joined Dec 28, 2011 Posts 59,001 Reaction score 69,377 Jun 25, 2014 #13 Afungiwe tu pia imekuwa ni tabia yake kama mtoto sasa
Kind JF-Expert Member Joined Oct 29, 2011 Posts 247 Reaction score 40 Jun 25, 2014 #14 Huyu jamaa atakua ni vampire
Amavubi JF-Expert Member Joined Dec 9, 2010 Posts 30,156 Reaction score 13,267 Jun 25, 2014 #15 hata hivyo naona kama YAMEPITA tu hayajazama
Amavubi JF-Expert Member Joined Dec 9, 2010 Posts 30,156 Reaction score 13,267 Jun 25, 2014 #16 [video]9F825CD6301093275966698053632_ 14036314813422db3bb2672.mp4.mp 4[/video]
Deo Corleone JF-Expert Member Joined Jun 29, 2011 Posts 17,023 Reaction score 13,369 Jun 25, 2014 #17 Jonatus said: Huyo nae mtoto wa Mama mbona hamna hata alama ya Meno Hiyo ni Bahati mbaya tu Click to expand... Nawe unavuta bangi kawa huyo zombie?
Jonatus said: Huyo nae mtoto wa Mama mbona hamna hata alama ya Meno Hiyo ni Bahati mbaya tu Click to expand... Nawe unavuta bangi kawa huyo zombie?
O Otorong'ong'o JF-Expert Member Joined Aug 17, 2011 Posts 38,900 Reaction score 28,012 Jun 25, 2014 #18 Huyu jamaa atakuwa na upungufu wa madini ya Chuma...
steveachi JF-Expert Member Joined Nov 7, 2011 Posts 11,340 Reaction score 13,364 Jun 25, 2014 #19 zombie satan suarezzz,mnyamaaaaaaa
L Leonardmwanja JF-Expert Member Joined Jul 27, 2011 Posts 236 Reaction score 35 Jun 25, 2014 #20 Ana pepo huyu lazima