ilboru1995
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 2,329
- 269
Mengi anasema kuwa Dhahabu yote ya Tanzania inathamani ya dolla 60 Billion ambapo wageni wanamiliki 99.99% Iweje Gesi yenye thamani ya dola 500 Billion iendelee kumilikiwa na wageni kwa 100%?... Mengi hapa anapoint, wananchi wa Mtwara nao wanastahili kuungwa mkono kwa nguvu zote!!! Dhahabu inakwisha, Almasi wameshaimiliki kabla ya uhuru, Tembo na wanyama wengine wanauawa, iko siku Mt Kilimanjaro nayo watailipua...sijui tutabaki na nini zaidi ya mabusha na vitumbua...Prof Muhongo pamoja na kwamba wewe ni EHM unaetumiwa na mabwana zako wa ulaya lazima utambue kuwa nchi hii inatuhusu sote...fedha za Mobutu ziko wapi? mitego ya kuwekewa fedha Uswis ni wa kishamba wanakuhadaa hao mabazazi... siku si nyingi utatukumbuka ...