Mengi: Prof. Muhongo ni muongo

Mnasahau kitu kimoja, Mengi alipewa udaktari mezani ila waziri yeye ni Profesa cheo cha taaluma ( academic title). siku ile Prof hakupepesa macho alitanguliza sayansi mbele. Mengi yeye ataka kutumia thesis yake ya masters kumdaganya Profesa, Data zote zipo Mengi aache kuwadanganya wa tz atahaibika akiendelea na ubishi wake.
 

Ndugu hii inaingia akilini? viko wapi? mara tatu ya dar! wapi?
 
Mengi ameshindwa mjadala anakuja kuseeck public sympathy, ni wajinga wasiopenda kuumiza kichwa wataacha kumsikiliza geologist prof sos mhongo na kumsikiliza mengi na porojo zake.

Kila mtu anasikilizwa kwa wakati wake...Muhongo alisema na tukamsikia,why Mengi tusimsikilize!? Hofu yako ni Nini?
 

Halafu uanze kusema maisha magumu muda wa kuandika mane no yote hay a umeutoa wapi vinginevyo unalipwa kwa kazi yako nzuri uliyotumwa kuifanya
 

Huwezi Kula na Kunya kwa mda ule ule... Lazima chakula kiyeyuke ndipo Unye...
 

TCU walishakanusha doctorate ya Mengi kutambuliwa Tanzania. Mengi ni Dr only kwenye ITV na wanaomuabudu tu.
 

Ukweli siyo unamiliki neo kubwa kiasi gani bali eneo hilo lina wingi kiasi gani ya madini. Satasi ya kifisadi
 
major mwendwa said:
...afu simple logic 1 sq km si ni 1000 sq metres hivi mengi na pesa alizonazo ni wakutudanganya hivyo. ...
Duh! Kaazi kweli kweli
 
mawaziri wa jk wote majanga kama raisi ni dhaifu unategemea waliopo chini yake chini yake watakuwa ccm chama chakavu kama mawaziri wake
 
Huyu mengi tamaa imemzidi kila kitu anataka mkono wake yeye tu uwepo? Hana biashara yoyote kwenye msururu wa biashara-tamaa zake ambayo ina mfano wa biashara ya kufua gesi. Unafikiri mradi wa gesi ni sawa na kutengeneza penseli na visima vya maji ya kunywa? Halafu hapo hapo kelele apige kwenye TV na radio stations zake lukuki na magazeti yake yasiyohesabika! Tamaa imekuzidi mzee wewe! Huna hata aibu! Mtu unawauzia watu hata maji ya kunywa mamilioni ya lita kila siku, hutosheki? Jenga basi hata hospitali moja yenye hadhi ya Muhimbili au University kubwa angalau urudishe kwa wananchi
 
Pofessor Muhongo's point ni kwamba Mengi ana tamaa. Hata kama atakuwa ame-exaggerate ukubwa wa maeneno anayomiliki Mengi, lakini he succeeded in making in his point.
 
nahic hata hyo muhongo alkuw hana cha kuwaambia audience kw wakat ule..thus why aka2mia uongo!!
 
alitakiwa saa 3 asb tar10 aende akapatiwe kitalu kwa vigezo stahiki je alikwenda???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…