Mengi: Natishwa

Mpanzi

JF-Expert Member
Jan 11, 2011
785
440

Chanzo:raiamwema

My take
Hii ni mara ya nne mzee wetu huyu kudai maisha yake yako hatarini. Mara ya kwanza wakati akiwa katika mzozo na wamiliki wa DTV, mara ya pili wakati wa Sakata la ufisadi na mara ya tatu wakati alipogombana na Waziri kijana ambaye hakumtaja.

Serikali impe ulinzi mzee wetu.
 
Wanamtisha kwa kuwa kwa mara ya kwanza bunge lieonyeshwa kupitia itv mhongo kuthibitisha ni muongo? Mbona mim nilionyesha live kupitia ramli? Waje wantishe basi cha moto wakione
 
Sijawahi kuona serikali yoyote makini ambayo ni adui kwa wawekezaji wazawa kama serikali ya Tanzania

Mzee Mengi ametukanwa na kudhalilishwa sana na baadhi ya watu wenye dhamana serikalini huku wakilinda kuwanyenyekea wageni.Haiwezekani hata kidogo

Pia ikifikia hatua Mwenyekiti wa Bunge la katiba ambaye ni waziri anatishia ITV kwa kutekeleza wajibu wake ujue kuna serious hostility dhidi ya mmiliki wake
 
Inawezekana kweli maisha yake yapo hatarini, Jamaa amewatapeli watu ardhi zao unategemea nini? Mengi ni mwizi, tapeli na fisadi. yule yumo katika kashfa ya "looting" kule arusha yeye na mdogo wake.

 
Wageni wenyewe ndio hawa kina Harbinder.
 

Mengi anaponzwa na tamaa zake na ubinafsi uliopitiliza.

Anataka watanzania tuumuunge mkono kila akiwa na ugomvi wake binafsi.

Suala la vitalu vya gesi Prof. Muhongo alishalitolea ufafanuzi wa kina kabisa, kuwa hakuna Mtanzania aliyenyimwa kumiliki vitalu, ila wafuate utaratibu wa kununua hisa TPDC.

Mengi ni mnafiki sana!
 

you nailed.
 

Waziri mwenye dhamana anapodai kuwa wawekezaji wa Tanzania hawana uwezo wa kuwekeza kwenye gesi hivyo wawekeze kwenye juice ,Matunda na Maandazi unalichukuliaje?
 

ZABURI 91:10-11... Atamlinda tu haitaji ulinzi wa mafisadi
 

Mengi is an attention seeker angelikuwa anatishiwa tusingelikuwa tunapishana nae mjini free kabisa bila ya hata body guard? Angelikuwa anahofia maisha yake tusingelikuwa tunapigana vikumbo katika kumbi za starehe tuache hizi dirty politics jamani kama anatishwa aombe ulinzi wa serikali tutamwelewa he is serious.
 
Iringa kwetu hakuna waarabu mbaya zaidi wezi. Hakuna nabisha, Lukuvi mwenyewe na wasiwasi nae kama ni mzawa wa huko kwetu.

Acha ubaguzi wa rangi, dunia sasa ni kijiji, ndio maana hata Marekani rais wake ni mweusi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ