Mengi: Manji anatoa wapi kiburi na ujasiri?

You dont have to look far to knw manji..angalieni board of directors ya NSSF..Link it to the present cabinet...mtamjua manji anatoa wapi kiburi!
Umesahau kuangalia na kamati ya ufundi ya yanga, udiwani CCM na kijiji cha msoga huko pia ndio kwenye nguvu zake
 
Wakati huu Kiburi kitaisha tu, anatapatapa tu aonekane bado yupo ila kiukweli mambo yashamfika shingoni. Subiri uone akitoka hospitali tu watu watamrudisha tena hukohuko chezea pressure za Jpm.
 
Raisi shikilia gia hiyo hiyo mpaka hawa wezi wa Mali za umma akili ziwakae sawa au Waikimbie nchi...


Kumbe wafanyakazi hatupewi fedha zetu za nssf na mifuko ya kijamii kwa wizi wa watu wachache kama Manji...

Nakuomba raisi watu kama hawa waliosababishia nchi hasara na maisha magumu wanyongwe kabisa sio kwenda kula kodi zetu huko magerezani.....
 
Mkuu uliomba dua njema
 
Mkuu huwezi amini saivi wanaomtetea manji aliemtukana mstusi ya nguoni Mheshimiwa Ndesa Mburo R.I.P ni wanachama wa Chadema japo na mimi ni mwanachama lakini nashangaa sana huu uzumbukuku wa hawa wenzetu.
Mkuu huu ulimwengu ni wa kuogofya sana,ndio maana muda mwingine inabidi kumeditate ili kupunguza mauzauza tunayoyashuhudia kila siku
 
.
Jibu ni fupi tu.
PESA!!
 
Basi kapatikana safari hii!!
 
huyo ni kati ya wale wanaotoa maamuzi ktk nchi hii.yeye yupo juu ya sheria na katiba ya nchi hata jk anampigia magoti huyu bwana mkubwa.
Say this again.... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Naona huu ni Mwaka wa kufukua makaburi... Hahahahaa
 
Wapi nilipomtetea Manji wewe! Acha kukurupuka na kuandika pumba humu. Hebu weka huo ushahidi wa kuonyesha pale nilipomtetea Manji, au ni wale wa shule za kata kusoma kumekupiga chenga!?

Siku hizi mnamtetea bwana Manji, nyie watu wa ajabu sana, si ajabu 2020 mkampa nafasi ya kugombea uraisi kupitia Chadema
 
Hahahahaha akili ndogo siku zote haishindi akili kubwa. Msimamo wangu wa 2007 hautabadilika kuhusu fisadi yoyote yule. Acha kukurupuka kuandika uzushi bila ya kuwa na ushahidi hata chembe.

Huyo BAK mrija wa aibu ulishakata, ni mnafiki Kubenea na Kipanya wakasome
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…