Serikali inatakiwa siku zote ijali wazalendo wake. Serikali inatakiwa iwawezeshe wazalendo wake (indeginous empowerment) in all spheres, especilly owenrship of the economy. I doing so, policies and Acts must safe guard the long term and sustainable efforts of the citizens, especially indegionous. Je Tz inafanya hivyo??? Iko tayari kutetea interest za fisadi kwa kuwa anachangia siasa badala ya kutete interest za locals ambao wanachangia na kutetea sustainable and real economy??? Leo hii mifisadi yote na jamaa zao wa karibu wana uraia zaidi ya moja, sasa huyo ni sustainable!!!! ???Nachelea kusema hatuna serikali ya watanzania kwa manufaa ya watazania wazalendo, bali tuna serikali ya mafisadi tu. Samahani sana kwa wale ambao nawaudhii ila msimamo wangu ndiyo huu na si msimamo wa Uongozi wa Jamii Forums, its Founder, and any other member.
Ningekuwa naweza ningebadili uraia, au kuhamia nchi nyingine, ningekubali kuwa uhamishoni kama akina Kambona. Ila tu huko ugenini ningekuwa treated as a fifth class resident wakati Tanzania mgeni is a first class citizen (not resident), kuna tofauti hapo tena kubwa tu. Tunahitaji mapinduzi ya haraka.
Mkuu hasa hilo ndo shida kubwa, yaani watanzania tumejengewa dhana ya kujidharau sisi wenyewe, na hata kudharau vitu tunavyo vifanya wenyewe 'products' na kuamini vya wengine na hao wageni kwamba ni bora kuliko sisi! Nadhani mchawi wetu ni aliye pandikiza hii sumu!
Ndiyo maana RA kijana mdogo anaipeleka puta serikali nzima iliyo sheheni watu wazima na akili zao na umri wa kutosha!
Kwa mfano, hela za EPA alikwapua bilioni 40, akalamba 30 bil, 10 bil tu ndo alizo kigawia chama ambacho sasa amekigeuza kinga yake na kuigeuza dola nzima vibaraka! Pesa yetu, kakwapua, kawagawia kiduchu.. bado anawapelekesha na watu wazima wana haha usiku kucha akiguswa! Haiingii akilini kwakweli!