ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,579
- 44,825
Mameneja wengi wa bar kubwakubwa na za Kati hawajitambui potential yao unakuta meneja anakuzingua kisa umevunja glass. Meneja mjanja wa bar hatakiwi kukosa mtu wa kumuazima million 2 kwa sababu bar wanaingia watu wengi wengine Wana pesa nyingi kuliko hata mmiliki wa bar sema tu bar sio biashara zao.
Bar wanakuja watu wenye michongo mpaka ya million 400 ni suala la meneja kuhakikisha anawajua wateja wake wote na deal wanazofanya kwani unaweza ukafaidika na sekta mbalimbali. Mteja unakunywa mpaka laki tano kwa mwezi kwenye bar Ila siku umeishiwa pesa mfukoni muhudumu anakudai huna anamuita meneja Cha kushangaza meneja na mwenyewe badala atumie akili anakuwa upande wa muhudumu wanakuchangia wanakuabisha wengine mpaka simu wanaichukua.
Meneja wa bar ukitumia akili unapata pesa kuliko hata mwenye bar au hata meneja wa vibank kwa mfano case ya umejikuta huna hela mfukoni meneja anatakiwa awe neutral akunyenge Fulani uachie simu Ila baadae anakurudishia kimya kimya wewe kwa akili zako utaona meneja ni mwana hutaacha kuja kunywa pombe kwenye hio bar meneja mwingine hata motisha hatoi kila siku anakuona Ila anakulia buyu hata kukuagizia bia tatu hajawahi.
Bar wanakuja watu wenye michongo mpaka ya million 400 ni suala la meneja kuhakikisha anawajua wateja wake wote na deal wanazofanya kwani unaweza ukafaidika na sekta mbalimbali. Mteja unakunywa mpaka laki tano kwa mwezi kwenye bar Ila siku umeishiwa pesa mfukoni muhudumu anakudai huna anamuita meneja Cha kushangaza meneja na mwenyewe badala atumie akili anakuwa upande wa muhudumu wanakuchangia wanakuabisha wengine mpaka simu wanaichukua.
Meneja wa bar ukitumia akili unapata pesa kuliko hata mwenye bar au hata meneja wa vibank kwa mfano case ya umejikuta huna hela mfukoni meneja anatakiwa awe neutral akunyenge Fulani uachie simu Ila baadae anakurudishia kimya kimya wewe kwa akili zako utaona meneja ni mwana hutaacha kuja kunywa pombe kwenye hio bar meneja mwingine hata motisha hatoi kila siku anakuona Ila anakulia buyu hata kukuagizia bia tatu hajawahi.