OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,209
- 103,789
Zahera anamtuhumu Harub kuuza mechi dhidi ya Simba. Anasema Harub alionekana ofisini kwa Mo DewjiSababu?
Subiri mapovu yaje ya kuambiwa wewe si Mwana yanga halisi,ni shabiki Wa simba wewe.....Hiyo siyo kweli Mimi mwana Yanga hiyo gem lazima kufungwa kwani hatuna uwezo wa kushindana na Simba kwa sasa.
ZAhera anaujanja fulani kama alioutumia kwa Beno ili Kindoki apate nafasi ya kucheza.
Kwani Mo anajishugulisha na mpira pekeake?Kwa Nini Aende Kwa Mo Kisirisiri Bila Kuujulisha Uongozi? Huyu Aliuza Mechi
Unajibishana na mwehu,mchunie huyoKwani Mo anajishugulisha na mpira pekeake?
Na mimi hapo sielewi kati ya Meneja wa timu na kocha nani yupo juu ya mwenzake?Coach anampa adhabu Team manager huyu jamaa ameshawadharau sana Vyura.
Mtanilipa nini?posho yangu tu kwa mwezi 1.6mMkuu Kuna nafasi imetangazwa Yanga mtoa Habari Kwenye JF unaonaje ukiomba? Maana kwa siku kutengeneza nyuzi zaidi ya mbili kuhusu Yanga bila malipo haipendezi.
Na Canavaro yeye kasema alienda kumtafutia kazi mke wake ili wasaidiane majukumu Maaa yanga pale anafanya charity so kosa liko wapi??Zahera anamtuhumu Harub kuuza mechi dhidi ya Simba. Anasema Harub alionekana ofisini kwa Mo Dewji
Heee kwa hiyo akitaka kwenda kwa MO aite waandishi wa habari?? Haya Canavaro anasemekana alienda mtafutia kazi mke wake hilo nalo hadi awajulishe??Kwa Nini Aende Kwa Mo Kisirisiri Bila Kuujulisha Uongozi? Huyu Aliuza Mechi