Mene.. Tekeli.. Peresi...

Mene.. Tekeli.. Peresi...

Wewe ni lijinga huelewi kitu. Kufa lazima watu wafe! Ujinga wako ni kuamini korona unaweza kuizuia kwa njia hizo fake za wachina.
Mungu akusamehe na kukupigania... ID feki isiwe sababu ya kukufanya ukose hekima na heshima kiasi hicho Mudawote

Jr
 
.
IMG_20200609_041327.jpg


Jr
 
Mkuu!mshanar nadhani ccm wapo sana madarakani!!!nadhani mungu anaipenda ccm ndio maana hadi leo haijaangushwa!hata oktoba mwendo ni ule ule wa kutumia dola!!!
 
Mkuu!mshanar nadhani ccm wapo sana madarakani!!!nadhani mungu anaipenda ccm ndio maana hadi leo haijaangushwa!hata oktoba mwendo ni ule ule wa kutumia dola!!!
Ni mtazamo pia.. Hebu tuupe wakati muda

Jr
 
Mkuu!mshanar nadhani ccm wapo sana madarakani!!!nadhani mungu anaipenda ccm ndio maana hadi leo haijaangushwa!hata oktoba mwendo ni ule ule wa kutumia dola!!!
For in the darkest hour of time there will always be a twinkle of light to lead through
 
upinzani tz bado sana ,viongozi wenyewe miyeyusho kuchenjiana kila wakati,ila kijani itakimbiza sana;mtoa mada code ngumu hii
 
Back
Top Bottom