Kama hujaelewa kitu uliza ueleweshwe... Angalia isifike mahali ukakimbia hata kivuli chako mwenyeweMnafurahisha sana pale kipindi cha moto wa #covid19 mlivyokejeli ila kwa sasa mnaamini huyo Mungu atawasaidia hadi kutumia Bible kama reference.
Mnafanya watu tutabasamu.

Kiyunani
Jr![]()
huo utakuwa ujumbe kwa tcha nn? Make na yeye ni tichaMene tekeli de lekasa de papel.. tafsiri na hiyo
Mene, mene, tekel, parsin, is an Aramaic phrase found in chapter five of the Book of Daniel, the story of Belshazzar and the handwriting on the wall. (This is where we get the colloquial phrase “writing on the wall”.)Kwenye corona: Mungu ni kitu gani? Yani italia na Saudia kulipoanzia dini hajamfuatisha Mungu sembuse tz?!
Kwenye uchaguzi wa oktoba: Mungu ndio kila kitu na maandiko yananukuliwa!
Hahahaa... Hizi ni dalili za homa ya kipigo.

Weka sasa hiyo maana uliyomaanisha wewe...Sababu watu wanauliza huwajibuKama hujaelewa kitu uliza ueleweshwe... Angalia isifike mahali ukakimbia hata kivuli chako mwenyewe
Jr![]()