Mene.. Tekeli.. Peresi...

Mene.. Tekeli.. Peresi...

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
365,195
Reaction score
843,330
*MENE*, Mungu ameuhesabu ufalme wako na kuukomesha.
*TEKELI*,umepimwa katika mizani nawe umeonekana kuwa umepunguka.
*PERESI*, ufalme wako umegawanyika, nao wamepewa Wamedi na Waajemi.

Jr
Me'ne Me'ne te'kel na par"sin
 
Haya sasa kumekucha..
.
1840194_IMG_20180907_195029_554-1.jpg


Jr
 
Kwenye corona: Mungu ni kitu gani? Yani italia na Saudia kulipoanzia dini hajamfuatisha Mungu sembuse tz?!

Kwenye uchaguzi wa oktoba: Mungu ndio kila kitu na maandiko yananukuliwa!

Hahahaa... Hizi ni dalili za homa ya kipigo.
 
Haya ni mapokeo tu,lakini haikutokea kama hivyo bali ni siasa za akina sanwel,
Waamed hawakulenga babel tu,,walijipanua kote mpaka asia,hicho kisa ni cha kubuni.
 
Kwenye corona: Mungu ni kitu gani? Yani italia na Saudia kulipoanzia dini hajamfuatisha Mungu sembuse tz?!

Kwenye uchaguzi wa oktoba: Mungu ndio kila kitu na maandiko yananukuliwa!

Hahahaa... Hizi ni dalili za homa ya kipigo.
Mene, mene, tekel, parsin, is an Aramaic phrase found in chapter five of the Book of Daniel, the story of Belshazzar and the handwriting on the wall. (This is where we get the colloquial phrase “writing on the wall”.)
rembrandt-mene-mene-tekel-parsin_bcccff05c25f7a936ec8e7afd5e552fc.jpg


Jr
 
Back
Top Bottom