Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 365,088
- 842,973
- Thread starter
- #61
Angalia usiwe mjinga kama huyo aliyekuwa anawazukumizia watu kwenye nyumba za ibada ambako uwezekano wa kuambukizana corona ni mkubwa!Usiwe kama mpumabvu ndugu yangu. Kwenye suala la corona watu walikejeli kwa sababu kuna mjinga mmoja aliona njia ya kupambana nayo ni kusali tu! Mungu ametupa maarifa na kwenye biblia hakuna kifungu kinachosema binadamu azembee kwa kutokuchukuwa tahadhari za magonjwa bali ategemee sala tu. Umewahi kutumia neti ya kuzuia mbu? Kwa nini hukulala bila neti na kusali ili Mungu awafanye mbu wasikung'ate? Umewahi kunawa mikono wakati wa kula? Kwa nini hukula bila kunawa na kutegemea Mungu akuepushe na magonjwa? Sasa linapokuja suala la corona kwa nini watu wasichukue tahadhari zilizotolewa na wataalam lakini wahimizwe tu kusali? Angalia usiwe mjinga kama huyo aliyekuwa anawazukumizia watu kwenye nyumba za ibada ambako uwezekano wa kuambukizana corona ni mkubwa!





Jr

