Mene mene tekeli na peresi - Lema


 
nchi ipo gizani
 
Nape , karibu Chadema tufanye kazi yenye nia njema kwa Taifa.

Mkuu huyu anatakiwa kubaki ccm ili aweze kuleta vita ndani ya ccm, na siyo nape tu nawale wote ambao hawapendezwi na utawala huu wasihame sasa waendeleze vita ndani ya chama huku nje upinzani na wenyewe uendeleze mapambano ndiyo itakuwa vizuri
 
not necessarily, Waisrael ni taifa la Mungu, na walikaa utumwani Misri kwa miaka 400!.
Paskali
Hata Tanzania ni taifa la Mungu na hatujawahi kutoka utumwani hivyo nadhani huu sasa ndio wakati wa majilio. Mungu anaweza kumuinua dictator ili watu wake wawe huru, kwa jinsi ileile alivyomuinua Farao ili kuwakomboa wana wa Israel kutoka utumwani Misri!
 
ungeacha kwanza kugombana na meya wako Lazaro mpaka hamsalimiani
 
Mubasharaaaaaaaaaaa.ukifuga nyoka andaa na rungu.sisi marungu yetu ni kadi zetu za mpiga kura muacheni ajitutumue sisi ni rungu moko tu 2020
 

Attachments

Binafsi naona ukombozi unakaribia...naona nuru....naona tunatoka misri tunaelekea kanani....Tunaelekea Nchi ya Ahadi...Mungu ni mwaminifu atatutoa hapa..njia ni ngumu...kuna ukame...kuna wakati tunakosa chakula...kuna wakati tunabezwa....kuna wakati tunakumbuka tulipotoka....lakini tupige Goti 2020 sio mbali..Mungu wetu ni mwaminifu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…