CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,304
- 12,997
hao ni mende wanaitwa German cockroach ni wagumu sana kufariki na wanazaliana kwa wingi, ingelikuwa niko karibu na ulipo ningelikupa dawa lakini niko mbali
kama utaweza kuipata inaitwa DUPONT ADVION cockroach gel bait
Kuna spray inaitwa RAID IT, (na wala siyo HIT zingatia hilo)
Zamani kopo lake lilikua na rangi nyeusi na nyekundu, siku hz ni rangi ya dhambarau na nyeupe,hii ndio kiboko.
Kuna jamaa zangu wale wa MBAGALA ,waliwaamisha wale mende wao wote kule kwao ,wakawaleta ofisini,tukawamaliza wote.
Jamani mm nina shida na panya plz assist
please naomba nipatie maelekezo mazuri kuhusu hii dawa! Au nikigoogle ntapata kila kitu?
Ni process ndefu kidogo lakini inafanya kazi kwa uhakika 100%. Nenda kwa wachina-china kanunue mijusi uwachilie ndani kwako, watakuwa wanawala hawa mende kwa kasi ya ajabu. Mende wakiisha utakuwa na tatizo la mijusi kwa sababu watazaliana. Baada ya hapo nenda kakodishe paka uwaweke ndani kwako, watakula mijusi wote. Mijusi wakiisha warudishe paka kwao.wabwanga na wandee ja JF, heshima kwenu!!!
kuna kitu kinanikera jabu mwenzenu - mende!!! MENDE!!
Naombeni kujua ni dawa gani inaangamiza mende!!! nashukuru mungu nyumbani kwangu hakuna mende lakini ofisini hakuishi mende!!! nahisi nitawabeba na kuwapeleka nyumbani soon!! fumigation inafanyanyika lakini after some days - not even a week- mende utafikiri wametotoleshwa!!! aibu sana! unakuta mko kwenye meeting ghafla kimende kinajipitisha hapo mezani!!! ......hata sijui nishangaaje...
kuna watu pia nimeshawasikia wanalalamika huko majumbani kwao kuwa kuna "vijifactory" vya mende!!! najiuliza ni kuwa madawa ya fumigation yanachakachuliwa? au hayachanganywi vizuri? au mende wameshazoea dawa? au ni uchafu tuu wa mazingira? au ni nini jamani??
Mtambuzi hivi hapo kwenu mnazuiaje mende??? Madame B na mjeda wako (aitwa nani vile...) mnauaje mende? watu8 Asprin Kaizer amu Remmy Kipaji Halisi KakaKiiza figganigga sosoliso saudari Bujibuji charminglady King'asti............ Bishanga Jiwe Linaloishi Mamndenyi Vin Diesel KOKUTONA YNNAH mwaJ
mchango wenu katika kuangamiza mende unahitakija hapa
wabwanga na wandee ja JF, heshima kwenu!!!
kuna kitu kinanikera jabu mwenzenu - mende!!! MENDE!!
Naombeni kujua ni dawa gani inaangamiza mende!!! nashukuru mungu nyumbani kwangu hakuna mende lakini ofisini hakuishi mende!!! nahisi nitawabeba na kuwapeleka nyumbani soon!! fumigation inafanyanyika lakini after some days - not even a week- mende utafikiri wametotoleshwa!!! aibu sana! unakuta mko kwenye meeting ghafla kimende kinajipitisha hapo mezani!!! ......hata sijui nishangaaje...
kuna watu pia nimeshawasikia wanalalamika huko majumbani kwao kuwa kuna "vijifactory" vya mende!!! najiuliza ni kuwa madawa ya fumigation yanachakachuliwa? au hayachanganywi vizuri? au mende wameshazoea dawa? au ni uchafu tuu wa mazingira? au ni nini jamani??
Mtambuzi hivi hapo kwenu mnazuiaje mende??? Madame B na mjeda wako (aitwa nani vile...) mnauaje mende? watu8 Asprin Kaizer amu Remmy Kipaji Halisi KakaKiiza figganigga sosoliso saudari Bujibuji charminglady King'asti............ Bishanga Jiwe Linaloishi Mamndenyi Vin Diesel KOKUTONA YNNAH mwaJ
mchango wenu katika kuangamiza mende unahitakija hapa
ndo najua leo hii! Ina maana hata kama makaratasi ni masafi?
Jaribuni kupunguza kutupa vyakula kwenye madustbin yenu ofisini mwenu mende huwa wanapenda mazingira hayo. Vile vile kama inawezekana ofisini yenu wekeni tiles mende na panya hawapendi tiles. Na mwisho kabisa pigeni fumigation lakini na kuna dawa fulani kama chenga chenga nishasahau inaitwaje inauzwa kwa hao hao wanaouza dawa za fumigation muweke katika kila kona ya nyumba au ofisini usiku mende mtasahau.