Mende!! Mende!!

Mende!! Mende!!

Mimi nasumbuliwa na mijusi, l have no idea what to do.
 
heheheheheh mende wale wadogo usishangae ukawabeba hadi kwako......au ukiwa na mashosti ndo wanaibuka...... wakati fulani ofisi fulani niliamua kupulizia expel kila jioni baada ya malalamiko yangu kuona hayafanyiwi kazi sijui itakusaidia????
 
Tumia Rungu, wakati unafunga ofisi puliza dawa ya kutosha hadi kwenye penyo zote kesho yake ukija utakuta kibao wamekufa na wengine wataendelea kufa kadri ya siku zinavyokwenda.
Ushuhuda: mimi nimeanza kazi mwaka jana nilipewa nyumba ambayo ilikuwa na mende kibao kabla ya kudeki nilipuliza dawa kila kona nikaacha kama siku tatu hivi mende wote wameisha na sasa naishi kwa raha zangu. Dawa si lazima rungu ila spray yeyote inafaa ingawa mimi natumia mara nyingi na Hatari

asante mkuu! Ni rungu tu au yoyote tu?
 
heheheheheh mende wale wadogo usishangae ukawabeba hadi kwako......au ukiwa na mashosti ndo wanaibuka...... wakati fulani ofisi fulani niliamua kupulizia expel kila jioni baada ya malalamiko yangu kuona hayafanyiwi kazi sijui itakusaidia????

aibu sana mwenzangu!
 
Fumigation iwe ni mara kwa mara ili vile vimende vidogo viwe vinakufa kabla ya kutaga mayai. Pia kuzingatia usafi, msiache mabaki ya chakula yalale ndani. Pia msiache vyombo vichafu.
 
Fumigation iwe ni mara kwa mara ili vile vimende vidogo viwe vinakufa kabla ya kutaga mayai. Pia kuzingatia usafi, msiache mabaki ya chakula yalale ndani. Pia msiache vyombo vichafu.

mamito, usafi unafanyika sana! Msosi tunalia dining, uchafu unatolewa asubuh na saa tisa! Hatuli chakula kwenye ofice desks! Ni ishu!
 
wabwanga na wandee ja JF, heshima kwenu!!!

kuna kitu kinanikera jabu mwenzenu - mende!!! MENDE!!
Naombeni kujua ni dawa gani inaangamiza mende!!! nashukuru mungu nyumbani kwangu hakuna mende lakini ofisini hakuishi mende!!! nahisi nitawabeba na kuwapeleka nyumbani soon!! fumigation inafanyanyika lakini after some days - not even a week- mende utafikiri wametotoleshwa!!! aibu sana! unakuta mko kwenye meeting ghafla kimende kinajipitisha hapo mezani!!! ......hata sijui nishangaaje...
kuna watu pia nimeshawasikia wanalalamika huko majumbani kwao kuwa kuna "vijifactory" vya mende!!! najiuliza ni kuwa madawa ya fumigation yanachakachuliwa? au hayachanganywi vizuri? au mende wameshazoea dawa? au ni uchafu tuu wa mazingira? au ni nini jamani??
Mtambuzi hivi hapo kwenu mnazuiaje mende??? Madame B na mjeda wako (aitwa nani vile...) mnauaje mende? watu8 Asprin Kaizer amu Remmy Kipaji Halisi KakaKiiza figganigga sosoliso saudari Bujibuji charminglady King'asti............ Bishanga Jiwe Linaloishi Mamndenyi Vin Diesel KOKUTONA YNNAH mwaJ
mchango wenu katika kuangamiza mende unahitakija hapa

Shost.... Huwezi kuamini nami nina tatizo kama lako... mbaya zaidi mende wa ofisini kwetu huwa wanaingia mpaka kwenye fridge afu wanafia humo humo!!! Ngoja tuwasikize wadau.....
 
Back
Top Bottom