Mende!! Mende!!

Mende!! Mende!!

wewe naona unataka tukuweke katika ban kama mwenzako Rukazwe wewe angalia kwenye mifuko ya ko ya kaptura kama hakuna mende jamani akina dada wenzangu wa humu jf huyu anatutania na kutuchokoza hapa

mi mtakuwa mnanitoa kafara tu lakini Mtambuzi ndio kathibitisha hapa.. sababu ya kubeba mapochi makubwa badala ya vile vupima joto vya zamani
 
wenye kujua jinsi ya ku deal na hawa wadudu tafadhali sana jitokezeni mtueleze maana na mimi home kwangu ni balaa mpaka aibu, nshajaribu sumu na njia nyingi kuwateketeza mende, watakufa kwa wingi halafu baada ya muda wanazaliwa wengine kwa wingi, yaani nishachoka!



ukitaka mende waishe siku ya fumigation unatakiwa upige na kwa majirani zako ndipo utadhibiti
 
Duuh Paloma.. yaani kila ushauri nimeona unasema utaufatilia na zimetoka shauri nyingi tu hapa.. Angalieni msije mkadhurika staff na mende wakabakia kama walivyo..!

Ila vimende vidogo vimekuwa vingi sana na visumbufu mno.. Utafikiri kunguru hawa wa unguja.. Pole sana lakini..
 
Last edited by a moderator:
kama ulikuwepo1 ni wadogo aisee! :dizzy:
halafu huwa wanakera yaani usiweke kitu ukazima taa dk. moja ukiwasha taa utaona wanavyokimbizana yaani hawana tofauti na kunguni aisee.

Kuna kipindi na mimi walinisumbua sana ukifungua kabati unaona wanavyokimbia kujificha, ukiweka ndizi mbivu ohoo mpaka utaona kinyaa. mwisho niliamua kufanya fumigation nyumba nzima kuanzia uchagoni, makabatini na kila kona ninayojua baada ya fumigation sikudeki nyumba siku tatu, nakwambia walikufa, si mende, si mayai, si mijusi, si mbu, si buibui vyote hakuna kilichosalia sasa ni zaidi ya miaka 10, nawaona kwa jirani tu. hata wakiingia nii wale wakubwa wanaotoka nje ya nyumba nao asubuhi utakuta wamekufa.

Sio siri Mende wanakera kuliko sisimizi wanavyokera angalau sisimizi utamwagia mafuta ya taa watakufa mende balaa.
 
Mende hapo umemaanisha vitu vingi kwa jina hilo la mende hivyo Paloma sema mdudu mende ukiacha mende mhm!!
 
Last edited by a moderator:
Fuga mijusi

Hata mimi mwanzoni niliteseka sana na hawa wadudu, laikini baadae nilipata ufumbuzi na tiba halisi na ninakushauri uende kwenye maduka ya dawa za mifugo ulizia dawa fulani inaitwa FIPROFARM ni dawa ambayo iko kwenye kichupa kidogo. Ninakuhakikishia hii ukiispray ndani kwako usumbufu wote utaisha. Mimi nina mwaka sasa tangu nimeitumia na sijawaona mpaka leo
 
mkuu mtambuzi una maana lipstick zinageuka mende siku hizi au wanabeba chipsi za ofa kwenye mabegi pindi wakipata ofa na kushindwa kuzimaliza.
 
Back
Top Bottom