wacha matani bana inawezekana kabisa....mie nikiwa mmoja wapo. i just havent found the right woman.
Kumbe mnatudanganya eeeh eti nina miaka mitano i love u so much
wizi mtupu ngoja
Kama wewe huwezi,usidhani na wengine,ama wote hatuwezi... Udhaifu wako huo usitushirikishe kana kwamba ni kitu cha kawaida...
Kumbe mnatudanganya eeeh eti nina miaka mitano i love u so much
wizi mtupu ngoja
Hiyo haipo, miaka mitatu bila kunanihii...... sijui.
MBONA mapadri na mabruda wanakaa kwa lifetime yote bila kufanya!