Masikini_Jeuri
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 6,829
- 1,296
Kimsingi mimi watu kama hao huwa nawachukulia kama wenye upungufu vichwani mwao coz mtu timamu kichwani huwezi kukaa kijiweni unapoteza muda wako kuelezea jinsi gani unam-do your wife........it is disgusting aargh!!!!!!!!!!!
Bahati mbaya iliyoje kundi kubwa sana la wanaume tunatanatabia hii; sijui ni part ya show off ya our libido ama ni ushamba hata sijui!