Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,530
- 13,469
Bado wewe!
Yaani kama ulikuwa mawazoni mwangu! LOL
Dawa yake ni kukaminimize tu kadudu kake.
Bado wewe!
Pole yake!
Afu unaeza kukuta wala mdada wa watu hajamfanya chochote anajihisi tu!......afu ukishakuwa na woga kwenye tatizo lolote lazima tatizo liongezeke mara dufu......aache woga, asipaniki, aondoe mawazo kuwa kalogwa, aende akawaone wataalamu wa saikolojia kwa msaada na ushauri zaidi!....awaeleze kile anachofikiria watamsaidia kukiondoa!
Pole yake!
Afu unaeza kukuta wala mdada wa watu hajamfanya chochote anajihisi tu!......afu ukishakuwa na woga kwenye tatizo lolote lazima tatizo liongezeke mara dufu......aache woga, asipaniki, aondoe mawazo kuwa kalogwa, aende akawaone wataalamu wa saikolojia kwa msaada na ushauri zaidi!....awaeleze kile anachofikiria watamsaidia kukiondoa!
Mkiambiwa mtulie na mmoja mnajifanya hamsikii!