uwiiiiiiiiiiiii pole yake! very soon watamgongea wife, chezeiya vidume vya bongo vikipata mwanya?! lolest! hivi inalalaje jamani?? ina maana hata kwa kuboost hainyanyuki?
Mbo.....ga za majani!
lol... yani nimecheka sana.. plz sweetlady dont kill me with kicheko.. Eti mbo ...ga za majani, i like the writen tafsida lol
Jamani tumsaidie kijana mwenzetu kwa ushauri na hapo hapo tujifunze, not to play with women's feelings.
Huyu jamaa aliwagonganisha wanawake wawili, wao hawakujuana kwa muda wa miaka3. Jamaa alipoamua kuoa, akamtosa mmoja. Yule alotoswa alimpenda sana jamaa na aliumia sana jamaa alipooa ila alimwambia kuwa iko siku atajuta kumuacha.
Soon baada ya harusi, jamaa alipoteza uwezo wa kufanya mapenzi na mkewe wa ndoa. Huu ni mwezi wa 4 sasa jogoo hawiki! Jamaa amehangaika sana hospitali, kwa waganga wa kienyeji na hata kwenye maombi lakini wapi, bado tatizo liko pale pale. Mkewe hadi sasa yuko nae bega kwa bega katika kutafuta suluhu ya tatizo ila hajui kuwa jamaa alikuwa na mwanamke mwingine.
The guy is desparate, hajui la kufanya. Yeye anahisi yule mdada alomtosa ndo kamsababishia hilo tatizo. Aliniomba nimshauri ila nikaona nije kwenu waungwana mnisaidie ushauri wa kumpa.
NOTE:WANAUME, MSICHEZE NA HISIA ZA WANAWAKE!
Mkiambiwa mtulie na mmoja mnajifanya hamsikii!
Anaitaji ushauri wa haraka huyu jamaa ili kunusuru ndoa yake, mwezi wa 4 huu wanatizamana tu na mkewe ndani, looh! Anatamani usiku usiwepo
utapanda ulichovuna, usimtende mwenzio kitu ambacho hutotamani kutendewa wewe. Akimwombe bibie msamaha kwa kumtosa hata kama hahusiki ktk hayo yaliyomkuta.
Jamani tumsaidie kijana mwenzetu kwa ushauri na hapo hapo tujifunze, not to play with women's feelings.
Huyu jamaa aliwagonganisha wanawake wawili, wao hawakujuana kwa muda wa miaka3. Jamaa alipoamua kuoa, akamtosa mmoja. Yule alotoswa alimpenda sana jamaa na aliumia sana jamaa alipooa ila alimwambia kuwa iko siku atajuta kumuacha.
Soon baada ya harusi, jamaa alipoteza uwezo wa kufanya mapenzi na mkewe wa ndoa. Huu ni mwezi wa 4 sasa jogoo hawiki! Jamaa amehangaika sana hospitali, kwa waganga wa kienyeji na hata kwenye maombi lakini wapi, bado tatizo liko pale pale. Mkewe hadi sasa yuko nae bega kwa bega katika kutafuta suluhu ya tatizo ila hajui kuwa jamaa alikuwa na mwanamke mwingine.
The guy is desparate, hajui la kufanya. Yeye anahisi yule mdada alomtosa ndo kamsababishia hilo tatizo. Aliniomba nimshauri ila nikaona nije kwenu waungwana mnisaidie ushauri wa kumpa.
NOTE:WANAUME, MSICHEZE NA HISIA ZA WANAWAKE!
msaada wa mchina utafaa kwa muda mfupi ila utakapoishia utakuwa umeharibu totalyMchina hawezi saidia hapa jamani?