Men, Do you ever feel guilty for breaking a woman's heart?

Men, Do you ever feel guilty for breaking a woman's heart?

Anonymous101

Senior Member
Joined
Sep 21, 2015
Posts
176
Reaction score
66
You spend your time pursuing a woman akikubali unamuacha kwenye mataa.Mipango yenu inakua nini?? Umekuwa close na mtu halafu suddenly unamuacha. Unakua umemchoka au? Wakati we ndio ulimuanza. So all the work and energy you put into the relationship didn't mean anything to you or do you just lose interest overnight?
Some f.u.c.k.i.n.g loser broke my heart and I miss him a lot and getting over him will be hard ila sirudi asepe zake!
Anyway naombeni majibu yenu.
 
Mbona povu linakunwagika?wakati anakutongoza yuko pia aliekua na mapenzi ya dhati na wewe alikua anakutongoza na ukamkataa.
 
Mbona povu linakunwagika?wakati anakutongoza yuko pia aliekua na mapenzi ya dhati na wewe alikua anakutongoza na ukamkataa.
Si bora mimi ambaye sikumpotezea muda huyo niliyemkataa.
 
Something wrong must be happen to you,relaaaax life goes on,there is a second chance called tomorrow
 
Hahaa pole dadaa I know how u feel....effort zote zinakuwaga kwaajili ya papuchi tu na si vinginevyo akishaipata aendelee kusubiria kitu gani tena?
 
Welp...such is life.

Likewise, there are plenty of women who break men's hearts as well.

So it's not just a one-way street.
 
You spend your time pursuing a woman akikubali unamuacha kwenye mataa.Mipango yenu inakua nini?? Umekuwa close na mtu halafu suddenly unamuacha. Unakua umemchoka au? Wakati we ndio ulimuanza. So all the work and energy you put into the relationship didn't mean anything to you or do you just lose interest overnight?
Some f.u.c.k.i.n.g loser broke my heart and I miss him a lot and getting over him will be hard ila sirudi asepe zake!
Anyway naombeni majibu yenu.
1.Umejichunguza kujua nafasi yako kwenye kwenye kuchangia kuvunjika hayo mahusiano ni nini..??
2. Ni mqhusiano yako ya kwanza au..?? Kama hapana nini sababu ya kuvunjika kwa mahusiano ya kwanza..??
3. Wakati unamkubali huyo jamaa, alikuwa na asilimia ngapi ya vigezo uvitakavyo..?
4. Wakati inakubali kuanzisha mahusiano, nia ilikuwa nini..? Ndoa au kupitisha muda tu..??
5. Wakati upo na jamaa ulishawahi kuwa na mtu mwigine..?
 
Inategemea na situation itavyokua. Unaweza kufukuzia mwanamke ukampata lakini usipate yale uliyotarajia kutoka kwake. Hapo ndio mizengwe inapoanza sasa.Pole sana dada hayo ndio maisha ya mapenzi.
 
1.Umejichunguza kujua nafasi yako kwenye kwenye kuchangia kuvunjika hayo mahusiano ni nini..??
2. Ni mqhusiano yako ya kwanza au..?? Kama hapana nini sababu ya kuvunjika kwa mahusiano ya kwanza..??
3. Wakati unamkubali huyo jamaa, alikuwa na asilimia ngapi ya vigezo uvitakavyo..?
4. Wakati inakubali kuanzisha mahusiano, nia ilikuwa nini..? Ndoa au kupitisha muda tu..??
5. Wakati upo na jamaa ulishawahi kuwa na mtu mwigine..?
I know I'm not perfect and I have my flaws but I was faithful. Tulikua vizuri kabisa yani wiki baada ya yeye kuhamia sehemu mpya ndo haya yameanza. Sijui kapata mwingine au vipi lakini naomba ujibu swali langu.
 
Mapenzi ni kamali.hapa umeliwa.

Utacheza tena au umesusa???.

Kikubwa cha kujivunia ni kwamba umejifunza kitu kipya katika maisha yako.
 
Binti amka acha huzunika
Binti amka acha sikitika
Binti amka jikaze anza mwendo
Binti umrembo na bado wang'ara.
 
Yeah. I messed up a few times while growing up. My ego always tripped. And I would really wish I never did that, 'til I upgrade to a finer piece.

Here's the trick. We always miss those who move on and turn out reaaally fine after the break up. Long as they don't keep the bitterness, and they're no longer available to us.
 
Yeah. I messed up a few times while growing up. My ego always tripped. And I would really wish I never did that, 'til I upgrade to a finer piece.

Here's the trick. We always miss those who move on and turn out reaaally fine after the break up. Long as they don't keep the bitterness, and they're no longer available to us.
H
Interesting. I'll hold on to that.
 
Hahaa pole dadaa I know how u feel....effort zote zinakuwaga kwaajili ya papuchi tu na si vinginevyo akishaipata aendelee kusubiria kitu gani tena?

My dia kwanini umechukua maneno yangu?Yani lengo kubwa ndo hilo na akionja pupichi ajisubirishe kwa ajili ya nini?
 
Back
Top Bottom