sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 20,890
- 47,611
Hahaa..aisee. Naona msimu wa Xmas unakuja vizurii kwa upande wenu..sio kwa fursa hizi.
Haa haa....
Wanahitaji faraja watu wa aina hii...
Hahaa..aisee. Naona msimu wa Xmas unakuja vizurii kwa upande wenu..sio kwa fursa hizi.
Mshkaji umekaa kiumbea umbea. Samahani lakini.
I know I'm not perfect and I have my flaws but I was faithful. Tulikua vizuri kabisa yani wiki baada ya yeye kuhamia sehemu mpya ndo haya yameanza. Sijui kapata mwingine au vipi lakini naomba ujibu swali langu.
You spend your time pursuing a woman akikubali unamuacha kwenye mataa.Mipango yenu inakua nini?? Umekuwa close na mtu halafu suddenly unamuacha. Unakua umemchoka au? Wakati we ndio ulimuanza. So all the work and energy you put into the relationship didn't mean anything to you or do you just lose interest overnight?
Some f.u.c.k.i.n.g loser broke my heart and I miss him a lot and getting over him will be hard ila sirudi asepe zake!
Anyway naombeni majibu yenu.
Hahaa pole dadaa I know how u feel....effort zote zinakuwaga kwaajili ya papuchi tu na si vinginevyo akishaipata aendelee kusubiria kitu gani tena?
Hawa watu hawana tofauti wote wapo sawa.
My dia kwanini umechukua maneno yangu?Yani lengo kubwa ndo hilo na akionja pupichi ajisubirishe kwa ajili ya nini?
utakuta alikuwa anampiga mizinga asubuhi jioni halafu akikimbiwa majanga. Me demu nikiona anapiga mizinga ya ovyo ovyo nammwaga faster
kweli? hao wanaochukuliwa jumla nao lengo ni papuchi tu? au zao zinatoa asali nyingine nyongo?!
You spend your time pursuing a woman akikubali unamuacha kwenye mataa.Mipango yenu inakua nini?? Umekuwa close na mtu halafu suddenly unamuacha. Unakua umemchoka au? Wakati we ndio ulimuanza. So all the work and energy you put into the relationship didn't mean anything to you or do you just lose interest overnight?
Some f.u.c.k.i.n.g loser broke my heart and I miss him a lot and getting over him will be hard ila sirudi asepe zake!
Anyway naombeni majibu yenu.
Hivi unadhani wote tuna shida na hela au? Tuna wazazi wanaotoa kuliko hizo hela unazolilia wewe. Sio kila mtu anawafanya ATM machine. Get that into your head!Na nyie wanawake mmezidi sana kupenda hela.
Mnatukubalia sisi wanaume kwa sababu mmeshapiga hesabu zenu kuwa mkitukubalia tutakuwa tunawahudumia na kutatua matatizo yenu.
Na mwanaume ambaye alikuwa hajadata kihivyo na wewe akishaona unataka kumgeuza ATM aendelee kukaa hapo anasubiri nini?? Wakati hizo hela anaweza kutumia kupata papuchi zingine zilizomzunguka na anazokutana nazo maana wanawake wazuri wamekuwa wengi, kila kona.
Pia kuwa na mahusiano na mwanamke mmoja ni full stress. Ni bora kujichanganya.
Thank you for your honesty.Vibaya mno. Men we like that ni vigumu sana kumuachia demu coz tunafeel vibaya sana kuwaumiza that'sy unakuta tuko na wengi coz kutamka kuwa hatukutaki ni ngumu mno. But kwa mademu mmh wao ni fasta
Khaaaa... Shikamoo RRkweli? hao wanaochukuliwa jumla nao lengo ni papuchi tu? au zao zinatoa asali nyingine nyongo?!
What's karma got to do with this?Karma is a w.h.o.r.e
Hivi unadhani wote tuna shida na hela au? Tuna wazazi wanaotoa kuliko hizo hela unazolilia wewe. Sio kila mtu anawafanya ATM machine. Get that into your head!