Men, Do you ever feel guilty for breaking a woman's heart?

Men, Do you ever feel guilty for breaking a woman's heart?

Young Master umenena vyema sijui nikupe nini ujue furaha yangu imetosheka kwa point hii
umenitouch sana yaani mm nashindwa kusema hapa ngoja nitakuPM?
 
Last edited by a moderator:
Mna taibia hiyo jamani inabidi mjirekebishe
vibaya mno. Men we like that ni vigumu sana kumuachia demu coz tunafeel vibaya sana kuwaumiza that'sy unakuta tuko na wengi coz kutamka kuwa hatukutaki ni ngumu mno. But kwa mademu mmh wao ni fasta
 
I know I'm not perfect and I have my flaws but I was faithful. Tulikua vizuri kabisa yani wiki baada ya yeye kuhamia sehemu mpya ndo haya yameanza. Sijui kapata mwingine au vipi lakini naomba ujibu swali langu.

Vizuri umejitambua na wewe kama binadamu hujakamilika, hivyo na mwanaume wako hajakamilika.

Ubaya ni pale kuona mapungufu yako ni ya kikawaida kama binadamu ila ya mwenzako ndio mapungufu mabaya yaliyopelekea kuumizwa moyo. Mlisha kaa na mwenzako mkazungumzia tofauti na mapungufu yenu? Mlipata suluhisho gani ili mjenge mapenzi imara?

Unadhani hadi mwenzio kufikia kukuumiza moyo na kukuacha ni kwa sababu gani? Kulikiwa na ugomvi au kutokuelewana? Wewe ulifanya nini kulitetea penzi lenu? Je unahisi lilikuwa penzi la upande mmoja au wote mlipendana kwa dhati?
 
aliyeimba usinikubali haraka hakuwa punguani, mapenzi ni upofu ila ni vizuri tukajitahidi kubakia chongo kwanza kuliko kuingia kichwa kichwa ndo matokeo yake unaumia ivo
 
Inategemea na situation itavyokua. Unaweza kufukuzia mwanamke ukampata lakini usipate yale uliyotarajia kutoka kwake. Hapo ndio mizengwe inapoanza sasa.Pole sana dada hayo ndio maisha ya mapenzi.

unategemea uyakute umemuumba wewe?
 
umemsaidia vya kutosha sasa yeye ajitafakari mana shidaa yaweza kuwa upande mwingine au yeye mwenyewe
Vizuri umejitambua na wewe kama binadamu hujakamilika, hivyo na mwanaume wako hajakamilika.

Ubaya ni pale kuona mapungufu yako ni ya kikawaida kama binadamu ila ya mwenzako ndio mapungufu mabaya yaliyopelekea kuumizwa moyo. Mlisha kaa na mwenzako mkazungumzia tofauti na mapungufu yenu? Mlipata suluhisho gani ili mjenge mapenzi imara?

Unadhani hadi mwenzio kufikia kukuumiza moyo na kukuacha ni kwa sababu gani? Kulikiwa na ugomvi au kutokuelewana? Wewe ulifanya nini kulitetea penzi lenu? Je unahisi lilikuwa penzi la upande mmoja au wote mlipendana kwa dhati?
 
You spend your time pursuing a woman akikubali unamuacha kwenye mataa.Mipango yenu inakua nini?? Umekuwa close na mtu halafu suddenly unamuacha. Unakua umemchoka au? Wakati we ndio ulimuanza. So all the work and energy you put into the relationship didn't mean anything to you or do you just lose interest overnight?
Some f.u.c.k.i.n.g loser broke my heart and I miss him a lot and getting over him will be hard ila sirudi asepe zake!
Anyway naombeni majibu yenu.



He does not deserve you, he got what he wanted from you.He is a liar. Dust yourself up and move on.
As a matter of fact thank God for removing him from your life. Sometimes when they leave us, its not because something is wrong with us, but it is because we are way better than them in such a way that they cant handle us. He is not for you. Something better will come for you. One that can appreciate you.
 
Huwa yanatokea hayo... Ndo mazoez hayo kabla ya mechi yenyewe (ndoa). So furahia tu ukitoka hapo utakuwa umeiva na utakuwa tayari kwa hatua inayofuata
 
Yeah. I messed up a few times while growing up. My ego always tripped. And I would really wish I never did that, 'til I upgrade to a finer piece.

Here's the trick. We always miss those who move on and turn out reaaally fine after the break up. Long as they don't keep the bitterness, and they're no longer available to us.
Underline this......"and they're no longer available to us".....
 
umemsaidia vya kutosha sasa yeye ajitafakari mana shidaa yaweza kuwa upande mwingine au yeye mwenyewe

Huo ndio ukweli, tatizo thread karibu yote mmetukandamiza sisi wanaume sana, kama tatizo lipo kwake pia ajue mahusiano mapya yatakuwa na changamoto zile zile au kubwa zaidi.(simuombei mabaya ) ila ni vizuri kuangalia pande zote.

Wapi alikosea, wapi hakuwa fair n.k....naamini hadi huyo mwanaume kumtongoza alivutiwa nae, kuna kitu kilimvutia. Sasa kwanini alimuacha? Mimi na wewe hatuwezi kujua! Majibu sahihi anayomuhusika.
 
Hahaa pole dadaa I know how u feel....effort zote zinakuwaga kwaajili ya papuchi tu na si vinginevyo akishaipata aendelee kusubiria kitu gani tena?


So papuchi inaishaga utamu au inakuwaje
 
Back
Top Bottom