lara 1
JF-Expert Member
- Jun 10, 2012
- 15,700
- 29,190
"lara 1; mbona mifano ulitoa inapingana na hoja yako hapo juu!"
SINGLE MOM is a victim of her own making just same as "Sonnet's case" we are discussing.
Why should a girl fall into a love trap!
Why the well to do women live single!
ARE MEN TO BLAME?
falsafa yangu ya maisha ni kwamba "nime ingia dunia mwenyewe na nitatoka dunia mwenyeww, hivyo maisha ni yangu mwenyewe pale ninapoanza kutambua mabaya na mazuri".
SIO VICTIMS NAKATAAAA. Kama hawa hawakuzaa zaa labda walibakwa au vipi. WALI DATE NA BABY DADDYS WAKAISHI KABISAA SEMA VIKAGOMAAAA. Jamani sio vyote vina click, vyengine vinagomaaaa. Sasa kama maelewano hamna ingekuwa kwao wana dhiki wangevumilia kuishi kwa maombi ya kukesha kanisani sababu ndo imebidi ila they had options.
Wakaachana na wazazi wenza, they got to keep their homes, baby dady wapo na wapo active play dates, meetings, ada, kodi matumizi kila kitu wanahudumiaaa. Ila ndo kuzini kila mtu anazini pengine.
HIO MTU UKIZAA NAE LAZIMA UDUMUA NAE SIO KWELI, HATA NDOA WATU WANAOANA MIAKA 20 INAFIKA MAHALI WANAAMUA IMETOSHA KILA MTU ANASEPA KWAKE.