baharia 1
JF-Expert Member
- Sep 13, 2019
- 1,778
- 2,052
20-04- 201...
It was a sad day, my Dad was gone. Historia kubwa kuliko kwenye Maisha yangu. my lovely Dad akifariki Kwa husda za binadamu, kwanini baba uliwapuuzia.
uliniacha kwenye kipindi kigumu sana Daima upo moyoni mwangu Baba yangu kipenzi na pengo lako ni kubwa mno.
vita umeniachia Mimi naelemewa baba
Nakumbuka sana Baba
Nakupenda Baba
Pumzika Kwa Amani Baba.
It was a sad day, my Dad was gone. Historia kubwa kuliko kwenye Maisha yangu. my lovely Dad akifariki Kwa husda za binadamu, kwanini baba uliwapuuzia.
uliniacha kwenye kipindi kigumu sana Daima upo moyoni mwangu Baba yangu kipenzi na pengo lako ni kubwa mno.

vita umeniachia Mimi naelemewa baba

Nakumbuka sana Baba
Nakupenda Baba
Pumzika Kwa Amani Baba.
