Mr Penal Code JF-Expert Member Jul 9, 2012 823 213 Jul 14, 2012 #1 hey jamani naomba mnisaidie memory card yangu ina vitu na inaonyesha ina vitu lkn nikiifungua inaonyesha ipo empyt tatito nini HELP plz
hey jamani naomba mnisaidie memory card yangu ina vitu na inaonyesha ina vitu lkn nikiifungua inaonyesha ipo empyt tatito nini HELP plz
A Aleyn JF-Expert Member Nov 12, 2011 19,172 32,321 Jul 14, 2012 #2 Kuna Memory Card feki nyingi sana siku hz ila nina uhakika Virus wanaweza wakawa ndo wanaichezea hy Memory Card
Kuna Memory Card feki nyingi sana siku hz ila nina uhakika Virus wanaweza wakawa ndo wanaichezea hy Memory Card
Emma. JF-Expert Member Jun 25, 2012 19,935 5,558 Jul 15, 2012 #5 Jaribu kuweka kwenye cm nyingine uangalia kama itaendelea hivyo ujue unatakiwa kuifomat na kuanza upya ..
Jaribu kuweka kwenye cm nyingine uangalia kama itaendelea hivyo ujue unatakiwa kuifomat na kuanza upya ..