- Thread starter
- #21
Hahahahahahahahahahaaaa
Acha nicheke tu.
Vijana fanyeni kazi, hakuna pesa za bure.
Kama wewe umeweza kuzipata hizo movie basi na wengine watazipata tu bila kulipia 30k kwa mwezi.
Mkuu its sad unavyohangaika kunikwamisha wakat i already have paying clients