Membershp Only Movie&Whatsapp Request Group

Hahahahahahahahahahaaaa
Acha nicheke tu.
Vijana fanyeni kazi, hakuna pesa za bure.
Kama wewe umeweza kuzipata hizo movie basi na wengine watazipata tu bila kulipia 30k kwa mwezi.

Mkuu its sad unavyohangaika kunikwamisha wakat i already have paying clients
 
Hello Everyone
Ninafungua a new Whatsapp group kwa wadau wote wa Movie,Series
It is an Exclusive group yenye kiingilio
Najua wengi mtakua mmeshangaa baada ya kusikia kuna kiingilio

Here is why!
Each member kila week atakua anaweza kuweka oda ya movie zozote 10 pamoja na seasons 5 per week anataftiwa na delivery inafanywa within 4days (So in short kwa mwez unaweza weka oda ya muvi 50,season 20)

Kwenye group zitakua zinatoka updates mpya za movie or series latest ambazo zimetoka pia Reviews pia

Kiingilio ni tsh.30,000/= tu (This is a monthly payment)

PS: FREE DELIVERY NI KWA WALE NDAND YA DAR NA KATIKA MAENEO YA KARBU

Kwa maelezo zaidi PM

Asanteni

Habar yko
Zinakuwa ktk mfumo gn maan nyingi mnazikomvet mnaziaharb kabisa n bora msiwe mnatafsir kabas ili ziwe ktk ubora
 
Habar yko
Zinakuwa ktk mfumo gn maan nyingi mnazikomvet mnaziaharb kabisa n bora msiwe mnatafsir kabas ili ziwe ktk ubora
Movie quality yake 720p, 1080p (Blueray) pamoja na HDRips hamna movie za giza giza wala translation za kiswahili.......Series ni HDTV,na 720p pia zipo. All you will get is Quality nothing less
 
Mbona hizi movie unaweza kuona free online? Unadownload app unaangalia weee bila kununua popote. Ila sina nia ya kuharibu biashara yako. Mimi nina tea tv app. Movie/ series nyingi naona free na terrarium tv app.zote naangalia
 
Mbona hizi movie unaweza kuona free online? Unadownload app unaangalia weee bila kununua popote. Ila sina nia ya kuharibu biashara yako. Mimi nina tea tv app. Movie/ series nyingi naona free na terrarium tv app.zote naangalia
Umesoma tangazo ukalielewa?
 
Wa Tanzania tunarudishana nyuma wenyewe kwa wenyewe, kama unaona huwezi acha wanaoona wanaweza watajiunga siyo kila mtu ana uwezo au anafikiri kama unavyo fikiri wewe. Sasa kuingiza makologesheni kwenye biashara ya mwenzako maana yake nini.? Hizo chuki binafsi.

Mkuu Olympus piga kazi, huu ni umasikini ndio unatufanya tunakua hivi.
 
Wa Tqnzania tunarudishana nyuma wenyewe kwa wenyewe, kama unaona huwezi acha wanaoona wanaweza watajiunga siyo kila mtu ana uwezo au anafikiri kama unavyo fikiri wewe. Sasa kuingiza makologesheni kwenye biashara ya mwenzako maana yake nini.? Hizo chuki binafsi.

Mkuu Olympus piga kazi, huu ni umasikini ndio unatufanya tunakua hivi.
THANK YOU. Mi nishawazoea mkuu wengi unakuta wanacomment wakiwa kwenye makochi ya shemej zao so kwa hili am not suprised.Uzur wakicomment thread yangu inabakia JUU zaid kwenye forum hii...So more views more customers more money!
 
Mkuu hawa watu wanabadilisha mind set za watu wengine. Hasa ikiwa comment ya kwanza ndio ya chuki. Mi kuni vitu nataka kuanzisha so I wish to introduce humu JF ila watu kama hawa wananipa funzo nahitaji kujipanga zaidi ili nikabiliane nao ikiwezekana niwapunguze nitakapo anzisha.

Cha msingi we jua wapo na hawawezi kukosekana.
THANK YOU. Mi nishawazoea mkuu wengi unakuta wanacomment wakiwa kwenye makochi ya shemej zao so kwa hili am not suprised.Uzur wakicomment thread yangu inabakia JUU zaid kwenye forum hii...So more views more customers more money!
 
Mkuu hawa watu wanabadilisha mind set za watu wengine. Hasa ikiwa comment ya kwanza ndio ya chuki. Mi kuni vitu nataka kuanzisha so I wish to introduce humu JF ila watu kama hawa wananipa funzo nahitaji kujipanga zaidi ili nikabiliane nao ikiwezekana niwapunguze nitakapo anzisha.

Cha msingi we jua wapo na hawawezi kukosekana.
Kwa. Hochote unachofanya mkuu lazima kuwe na changamoto...Just keep moving forward
 
Hello Everyone
Ninafungua a new Whatsapp group kwa wadau wote wa Movie,Series
It is an Exclusive group yenye kiingilio
Najua wengi mtakua mmeshangaa baada ya kusikia kuna kiingilio

Here is why!
Each member kila week atakua anaweza kuweka oda ya movie zozote 10 pamoja na seasons 5 per week anataftiwa na delivery inafanywa within 4days (So in short kwa mwez unaweza weka oda ya muvi 50,season 20)

Kwenye group zitakua zinatoka updates mpya za movie or series latest ambazo zimetoka pia Reviews pia

Kiingilio ni tsh.30,000/= tu (This is a monthly payment)

PS: FREE DELIVERY NI KWA WALE NDAND YA DAR NA KATIKA MAENEO YA KARBU

Kwa maelezo zaidi PM

Asanteni
Hiyo 30,000/= ndio ya kununulia hizo series na movies?
Au hiyo ya kua member tu, tukitaka movie tunalipia tena?
 
Unalipa once a month coz kila momth unapata 40 Movies+20Seasons
Hapo nimeleewa,
Swali langu ni kua hiyo 30,000/= ndo gharama za hizo movie? So zikitoka utafanya tu kutuletea from hiyo 30,000/= tuliokwishalipa?
 
Hapo nimeleewa,
Swali langu ni kua hiyo 30,000/= ndo gharama za hizo movie? So zikitoka utafanya tu kutuletea from hiyo 30,000/= tuliokwishalipa?
Yap within ndan ya mwez....delivery once a week
 
Ila wa-TZ Acheni uchawi mbona mnakuwa hivyo.

Yaani mtu anaandika kabisa hakuna hela bure, sasa hapo hela ya bure kivipi wakati mtu anatoa huduma, au kazi mpaka ushike jembe?

Kweli hii nchi ccm itaendelea kutawala mpaka ichoke, tunarudishana nyuma wenyewe kwa wenyewe.
 
Hahahahahahahahahahaaaa
Acha nicheke tu.
Vijana fanyeni kazi, hakuna pesa za bure.
Kama wewe umeweza kuzipata hizo movie basi na wengine watazipata tu bila kulipia 30k kwa mwezi.
Unahitaji ukombozi wa fikra
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom