macho_mdiliko
JF-Expert Member
- Mar 10, 2008
- 21,770
- 39,552
Lakini pia unaweza kuanzisha ma-group mawili au zaidi.Thank you mkuu kwa ushauri....nilikua na wazo hilo pia ila ubaya watu wengi hawatumii telegram
Asante sana kwa ushauri.
Lakini pia unaweza kuanzisha ma-group mawili au zaidi.Thank you mkuu kwa ushauri....nilikua na wazo hilo pia ila ubaya watu wengi hawatumii telegram
Asante sana kwa ushauri.
Ila wa-TZ Acheni uchawi mbona mnakuwa hivyo.
Yaani mtu anaandika kabisa hakuna hela bure, sasa hapo hela ya bure kivipi wakati mtu anatoa huduma, au kazi mpaka ushike jembe?
Kweli hii nchi ccm itaendelea kutawala mpaka ichoke, tunarudishana nyuma wenyewe kwa wenyewe.
Ndo maana hatufiki mbal mkuuInanishangazaga sana kiukweli watanzania watu wa ajabu sana.
Ndo maana hatufiki mbal mkuu
Ndo maana hatufiki mbal mkuu
Bro, mbona ule uzi tulikua tunachat siuoati tena. Nilitaka nisome ulivojibu request yangu ya 2TB HDD. Nafungua sioni kitu.
Reason: SpammingKapigwa bunn. Sijui hata kafanyaje
Reason: Spamming
Sijui reasoning yao ni niniNa uzi umefutwa..?
Wabomgo wengi ni watu wa ovyo sanaIla wa-TZ Acheni uchawi mbona mnakuwa hivyo.
Yaani mtu anaandika kabisa hakuna hela bure, sasa hapo hela ya bure kivipi wakati mtu anatoa huduma, au kazi mpaka ushike jembe?
Kweli hii nchi ccm itaendelea kutawala mpaka ichoke, tunarudishana nyuma wenyewe kwa wenyewe.
Ndo maana africa tupo nyuma sana na tunaongoza kwa low income earners...yani mna mind za kishamba shamba mnoTanzania Ni Pazuri Sana Nchi Ya Asali Na Maziwa
Vyanzo Vya Mapato Ni Vingi Sana
Ndugu Zangu Tufanye Kazi
Zero brainHahahahahahahahahahaaaa
Acha nicheke tu.
Vijana fanyeni kazi, hakuna pesa za bure.
Kama wewe umeweza kuzipata hizo movie basi na wengine watazipata tu bila kulipia 30k kwa mwezi.
IdiotZero brain
Punguza hasira dada, kwani mimi ndo nimekwamisha mpango wako!!??Zero brain
Inanshangaza unashndwa kutofautisha aliefungua thread na mimi kweli wewe ni ZERO BRAINBaada ya mpango kufeli hasira umehamishia kwangu! Pu.ng@ kweli we bibie.