MO11
JF-Expert Member
- Mar 23, 2014
- 19,553
- 41,467
CHADEMA wangekuwa wameshika madaraka hawa wote wangekuwa wakuu wa wilaya!
Tatizo wewe umesahulika mambo yako sio safi
CHADEMA wangekuwa wameshika madaraka hawa wote wangekuwa wakuu wa wilaya!
Mkuu naomba nikusalimuuu, Igweeee.
Najib mapigo
CHADEMA wangekuwa wameshika madaraka hawa wote wangekuwa wakuu wa wilaya!
Ananipa ushawishi kuzama mtaroni
Mfereji pendwa sio! A.k.a banda la uani!
Mfereji pendwa sio! A.k.a banda la uani!
Haya mambo yanaushawish hatari
yani umenifanya weekend yangu iwe poa ngoja nilipigie moja la hivyo nije nijitafunie mie
Nimejikuta naona aibu, nipo cafe ghafla anapita mdada anayefanya kazi hapa anakuta nakodolea hizi mambo mchana wote huu.
Ebwanaeeeeeee! Duh! Liko poa sana hata kwa matumizi badala hapo banda la uani kwenye tundu pendwa la siku hizi!
Wew ni muumin wa hilo tundu^^?
Natumbukia siku moja moja nikipotea njia!
Ouh, nimekusoma mkuu
Wew ni muumin wa hilo tundu^^?